araway
JF-Expert Member
- Sep 26, 2007
- 534
- 147
kama marekani na uingereza zimejiunga basi jumuhia hiyo imepoteza muelekeo na sitashangaa kuona makao makuu yake yakiamia vatcan.kama kweli ni jumuia ya kiislamu walitakiwa wawe na vigezo kwa nchi zinazojiunga kama wataruhusu hata vatcan kujiunga maana yake ipo wapi sasa.