DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 8,795
- 18,227
- Thread starter
- #141
Bado hujasema lowasa alifanya nini?ungemuuliza Sokoine ni kitu gani alifanya Lowassa akaletwa Dar kijiweni mpaka akaombewa msamaha ndio akarudishwa kundini. Nyerere alishamuwekea X huyu mwizi siku nyingi. Japo simuungi au sikumuunga mkono Nyerere kwa mambo mengi lakini hili la kufumbua macho WaTZ wengi kuhusu mfisadi Lowasa namshukuru mno. Ukweli mimi nilikuwa miongoni mwa waliomshabikia sana Lowasa 1995 lakini baada ya Nyerere kumwanika na hapo na yeye mwenyewe Lowasa kuonyesha waziwazi alivyo duuuu
Mpaka sahz ila unatoa maneno matupu..
Ainisha sokoine alimuhamisha lowasa kwa sababu hii Na hii!
Wote tunajua kuwa Sokoine Dhumuni lake lilikuwa kuwa Rais wa Tanzania na yoyote yule aliyekuwa anaonyesha Dalili za kutaka urais Alimtafutia zongo kama sio kumjengea kamati