Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,966
- 32,237
Hapa ndio matatizo yanapoanzia sasa,nitaachaje kukutamani na paka kaumbwa kutamani vipitavyo..
Mabwaku haya jamani.
Ukining'ata je?
Hapa ndio matatizo yanapoanzia sasa,nitaachaje kukutamani na paka kaumbwa kutamani vipitavyo..
Shabash ... mi nimeona hapo tu,wapi beibe nasty mamaa ya kunibania musalimie kibabuu Asprin muzee ya wake mingi,usimusahau cacico ,wapi shemeji langu la ukweli princess enny....
Shentembeee nipo hapa beibe nasty muke yake na judgement, werawera hivi ndo kweli cl kasepa jaman
shemeji Kaizer nimefurahi kuuona mwandiko wako! am humbled, lol!Nipemo kitendawili Madame B! khaaa Nani Kanuna? siye tujitege tu na kujitegua.....lol
cacico my shem where are you maana my sweetlo gfsonwin tangu mgomo namwona mahudhurio yake sio ki viiile halafu huyu Asprin ameshamaliza msiba maana nasikia hajaonekana nyumbani tokea wakati huo! Na Erickb52 kakumbwa na nini?
Ahsante kwa kutufungia mjadala.Mdogo wangu beibe nasty upo?
Mwambie mtoa mada thread bila kutajana majina hainogi,
wapi Papaa Msofe,wapi kesi yako yaendaje,motema na ng'ai mithili ya washawasha,washawasha e,eee!
Yebaa!!
ruttashobolwa u wapi mutu ya watu,wakuache miaka mia moja,wapi Invisible mutu ya Jf,
Wapi Paw mutu ya kucharaza bakora za ban kwa wabishi,japo ban inauma .
Wapi Erickb52,wapi mwnfnz wng Kaizer,
wapi charminglady mutu ya kuchimba biti ya kuondoka Jf,Jf hatoki mtu,
wakati ndio sasa umefanikiwa?
Asante ndugu mtangazaji.
ai khaa!Saint Ivuga alinikatili kwa CUTE, tangu yatokee hayo sina hamu tena na humu... Siku hizi niko zangu fesibuku kwa sana!
cacico u made ma day khaa! binti ww sikuwezi...nimechekaje sasakhaaaaaaaa! kwani kutajana napo crime eee?? Mphamvu ckuoni nowdays, lol, my hubby Asprin marufuku kutajana kuanzia sasa, wake wenzangu Yummy na BADILI TABIA mi luv u! sweetlady nakumiss mno, vp kadogoo?? Kongosho asali ya hubby wetu we luv u! charminglady plizzzzzz come bak, already tunakumiss, mashemeji zangu, Kaizer, KARIA, Rejao, klorokwini, TANMO, wapekuzi maarufu Erickb52 na Young_Master salamu kwenu! CUTE u r also lost toka Ruhazwe JR akupende kisirisiri! gfsonwin my dada wa moyoni, mwahhhhh! Erotica na twins wako hope mpo sawa, mashostiso Kaunga, Zinduna, Smile, Chauro, Cantalisia, Mwali mi luv u loads! ili kufanikisha zoezi Madame B uwe kiranja! wadogo zangu Ronn M na Excellent muwe good boys plzzzzzz! Eiyer tunza ubikira wako unalipa sana! Roulette kuanzia sasa watakaotajana toa ban, lol! mwahhhhhhhh kwa chit chatters! morning to u guys!
ujumbe no mo kutajana! lol!
ha ha h wap my wife arabela...
Salamu ming ming kwa ma shem eversmilng..
ha ha h wap my wife arabela...
Salamu ming ming kwa ma shem eversmilng..