We kijana, nikufanyie mpango kwa Madame B?haha haha!... Mtalingolo uko fresh chalii angu?
mkono wa Idd siutaki!..labda kama huyo Idd ni DEAL...lol!
likizo yako lini wewe jombaa?
Hahahaha! Weye bana, haya hebu nideku hapo nikiwa na mke wangu wa kwanza BADILI TABIA...
khaaaaaaaa! kwani kutajana napo crime eee?? Mphamvu ckuoni nowdays, lol, my hubby Asprin marufuku kutajana kuanzia sasa, wake wenzangu Yummy na BADILI TABIA mi luv u! sweetlady nakumiss mno, vp kadogoo?? Kongosho asali ya hubby wetu we luv u! charminglady plizzzzzz come bak, already tunakumiss, mashemeji zangu, Kaizer, KARIA, Rejao, klorokwini, TANMO, wapekuzi maarufu Erickb52 na Young_Master salamu kwenu! CUTE u r also lost toka Ruhazwe JR akupende kisirisiri! gfsonwin my dada wa moyoni, mwahhhhh! Erotica na twins wako hope mpo sawa, mashostiso Kaunga, Zinduna, Smile, Chauro, Cantalisia, Mwali mi luv u loads! ili kufanikisha zoezi Madame B uwe kiranja! wadogo zangu Ronn M na Excellent muwe good boys plzzzzzz! Eiyer tunza ubikira wako unalipa sana! Roulette kuanzia sasa watakaotajana toa ban, lol! mwahhhhhhhh kwa chit chatters! morning to u guys!
ujumbe no mo kutajana! lol!
Nimeushtukia mapema, Madame B
Mie niko pande hzi za nyarwana Salam Club.
Muda si mrefu utaona list yangu
Ngoja kwanza niblock inbox kwenye PM box yangu, Lol
Wapi papaaa Kaizer na mai sweethat wake charminglady
Bila kusahau Young Master na mheshimiwa sana Mtambuzi.
Lol, Kwa hisani ya watu wa pande hiz
umenionea wapi mkweo PakaJimmy? mwambie amsalimu Saint Ivuga na St. Paka Mweusi! lolMithd u more.... Kidogo nianze hii makitu kwa hasira asee...
Ngoja kwanza nipambane na maisha. Bila kazi wake zangu mtakula nini? Waambie Yummy na BADILI TABIA chini ya usimamizi wa Kongosho nawasalimu eti. Hapa si nakuwa nimewataja wote hata wewe cacico?
khaaaaaaaa! kwani kutajana napo crime eee?? [B]Mphamvu ckuoni nowdays,[/B] lol, my hubby Asprin marufuku kutajana kuanzia sasa, wake wenzangu Yummy na BADILI TABIA mi luv u! sweetlady nakumiss mno, vp kadogoo?? Kongosho asali ya hubby wetu we luv u! charminglady plizzzzzz come bak, already tunakumiss, mashemeji zangu, Kaizer, KARIA, Rejao, klorokwini, TANMO, wapekuzi maarufu Erickb52 na Young_Master salamu kwenu! CUTE u r also lost toka Ruhazwe JR akupende kisirisiri! gfsonwin my dada wa moyoni, mwahhhhh! Erotica na twins wako hope mpo sawa, mashostiso Kaunga, Zinduna, Smile, Chauro, Cantalisia, Mwali mi luv u loads! ili kufanikisha zoezi Madame B uwe kiranja! wadogo zangu Ronn M na Excellent muwe good boys plzzzzzz! Eiyer tunza ubikira wako unalipa sana! Roulette kuanzia sasa watakaotajana toa ban, lol! mwahhhhhhhh kwa chit chatters! morning to u guys!
ujumbe no mo kutajana! lol!
Saint Ivuga alinikatili kwa CUTE, tangu yatokee hayo sina hamu tena na humu... Siku hizi niko zangu fesibuku kwa sana!
muosha huoshwa! zamuye yaja, msubiri tu!Saint Ivuga alinikatili kwa CUTE, tangu yatokee hayo sina hamu tena na humu... Siku hizi niko zangu fesibuku kwa sana!