John Magufuli: Ninautamani urais!

John Magufuli: Ninautamani urais!

Magufuli ni jembe,CCM wakimteua huyu watapata kazi rahisi sana kwenye uchaguzi wa 2015..

Kwa uwezo wa utendaji kazi,hakuna mwanasiasa yeyote hapa nchini anayemzidi Magufuli kwenye hilo, akiteuliwa huyu kura yangu anayo...
Vip mkuu
 
CCM hawawezi kumteua huyu apeperushe bendera ya urais maana atawafunga wote waliofanya ubadhilifu. Wanachofanya ni kumwekam2 atakayelinda mfumo wa kifisadi, wanataka m2 subjective sio objective kama Magufuli.
Habar za jion mkuu
 
Hahahaha nimecheka sana! Hahahah eti sema mwenyewe sasa!
sema mwenyewe sasa kama.jamaa.ni dhaifu ama laa
Udhaifu aliouzungumzia ni wa tofauti msiwe watu wa kukariri! Hata kushindwa kuongoza vyema ni udhaifu. Kushindwa kushghulikia watekaji, wauwaji na matukio ya upigwaji risasi kwa wale wenye mawazo ya tofauti ni udhaifu mkubwa sana wa kiuongozi.

nyie sijui mnaichukuliaje nchi? mnaichukulia kishamba sana mkuu. Nchi si ya watu flani tu hii. Kwahiyo ubabe ni kwenye maendeleo na siyo utekaji na uuwaji.
 
Jamaa amejawa na maono ya mbali sana. Kumbe kuna watu walishamuona huyu kwa darubini.
Heshima yako mkuu
Ukikaa na UA WARIDI LAZIMA NA WEWE UNUKIE HARUFU YA UA WARIDI.
Kwa hili nina mashaka huyu Bwana ndiyo wale wale.....
alisema hana ndoto,hakusema hautamani...na kwa style aliyosema kuwa anautamani urahisi inaonyesha kuwa hajali kama anakua rais au la,kwake siyo deal kubwa.
Soma signature yangu!
Jamaa anafaa kwa sasa Tanzania inahitaji kiongozi mwemye sifa km zake.
You are totally wrong. Jamaa huyo ni mjanja sana na ana mbinu kali sana za kuteka akili za watu lakini ni fisadi tu kama magamba wenzake. Anzia kwenye kuuza nyumba za serikali halafu umalizie na zile bilions za shilingi zaidi ya 200 ambazo report ya CAG imezianika kwamba hazina maelezo wizarani kwake na yeye mwenyewe akashindwa kuzitolea ufafanuzi kule bungeni. Zaidi ya hayo kama kila siku anamsifia Mr. Fastjet kwa kufanya safari nyingi za nje ya nchi yeye mwenyewe akipewa kiti si atasafiri kuzidi huyo?? Mabadiliko ni muhimu
CCM hawampi!! maana atawageuka!! na kuwabomoa kama barabara.
na afadhali iwe hivyo maaana akipendekzwa na ccm atapunguza kura za slaa
Hahahaa
 
Labda mgombea binafsi, ccmpolc inawenyewe, lkn Magufuli mnamjua vizuri au ni ushabiki usio na maana, watanzania ndo maana huwatunajuta baada ya kumchagua mtu imepita kama miaka 2 coz huwa hatuna utamaduni wakufanya critical analysis kwa wanaotangaza nia bali tunatawaliwa na ushabiki! Kwann tusiige kutoka hata mataifa mengine? We poor Tanzanians why this?
Uliona mbal
 
Magufuli (na wengine wachache CCM) anaweza kua Rais mzuri pale tu atakapopitishwa kwa kura za wanaCCM wengi bila ya kushikwa mkono na kakikundi cha watu fulani fulani au kupata huruma ya M/kiti...hapo atakua na "wide mandate" ya "kufanya" yale ambayo Magufuli tumezoea anafanya...otherwise Marais wote wa CCM watategemea a combination ya Dhaifu pamoja na kikundi fulani kitakachomfanya Rais ajaye wa CCM awe dhaifu mwingine (labda atokee kichaa atakayepiga sarakasi na kuwageuka wote waliomuweka kwenye kiti)....
Daah,maono haya yamekuwa kweli
 
Kwa wengi tulionunua viwanja halali pembezoni mwa Barabara, tumeona jinsi nyumba zetu zikipigwa X. Tulipofuatiria, tukaambiwa ni sehemu ya barabara. Nani aliyeandaa hiyo ramani? mbona nasi tulipewa viwanja ambavyo viliuzwa na wizara hiyohiyo ya ardhi? Hakuna aliyejibu maswali yetu, tulipofungua kesi mahakamani, kabla hukumu hazijatolewa, usiku wa manane, buldoza na mgambo wapo nje kubomoa nyumba zetu. Magufuli hakujali kama kulikuwa na watoto wamelala au wagonjwa, alivunja nyumba zetu wanyonge. Magufuli huyu anayetumia nguvu nyingi kuliko akili wala sheria, aliuza nyumba za serikali Oyster bay kwa bei ya kutupa. Nasema huyu baba akiupata Urais, masikini hatuna chetu, bora nikalale kwenye mahema nje kuliko ndani ya nchi ninayolipia kodi
CCM wampe Pombe URAISI hawajipendi
Itakuwa kama SATA Zambia atawaweka ndani zaidi ya nusu ya vigogo wa SASA.
Kama anataka inabidi aaze jivika ngozi ya kondoo kuanzia sasa ili wakimpa URAISI tuu anajivika ya SIMBA
Watu wana maneno lol
 
Back
Top Bottom