John Magufuli: Ninautamani urais!

John Magufuli: Ninautamani urais!

Hana Nguvu za kisiasa ndani ya CCM na wala hana sifa zozote kuwapita wenzake ndani ya CCM kama Lowassa, Membe, Sitta, Mwakyembe, Mwandosya, Wassira, Mwigulu, Nchimbi.
Ila sifa moja ya kiCCM ya msingi anayo, ambayo ni Ufisadi. Magufuli ni Fisadi mzuri sana.
Lakini pia ni mnafiki mkubwa, kwani ni juzi tu alimkana Sitta na kudai hana mpango wa Urais kabisa!!
Si ndo mchukia ufisadi!!!..
 
Hii phd ya utomvu mbona ina maelezo mengi ya tofauti tofauti? Huo utomvu wa maganda ya korosho una kazi gani aliyoigunduwa?Kuna wanaosema umeme, wengine mnasema dawa za kuulia wadudu shambani. Kipi ni kipi?Ndo maana wakampoteza Ben Saanane, maana hamna kitu inaeleweka hapa.
Utotoni nliwahi kuchorea tatoo uo utomvu[emoji23][emoji23]
 
CCM hawawezi kumteua huyu apeperushe bendera ya urais maana atawafunga wote waliofanya ubadhilifu. Wanachofanya ni kumwekam2 atakayelinda mfumo wa kifisadi, wanataka m2 subjective sio objective kama Magufuli.
Mmh, kuna watu mnajua kubashiri mambo yajayo aisee!
 
Utotoni nliwahi kuchorea tatoo uo utomvu[emoji23][emoji23]
Daah!Umenikumbushia mbali sana mkuu! Kuna ndugu yangu mmoja anayo kama hiyo tatoo ya utomvu wa korosho.Huyo aliyegunduwa hiyo nadhani amekosa bahati na yeye ya phd. teh
 
Daah!Umenikumbushia mbali sana mkuu! Kuna ndugu yangu mmoja anayo kama hiyo tatoo ya utomvu wa korosho.Huyo aliyegunduwa hiyo nadhani amekosa bahati na yeye ya phd. teh
,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ina sound funny ila inafikirisha kwa kweli,
Maana tatoo ile acha,nawaza sijui aliwaza nn siku alipogundua..
Wa africa tunaweza bhasi tu hhh
 
Ah ah ah vitu adinu saana,
Vinapatkana hukhluhuku kwetu tu.
Mara paap utomvu wa ndizi unafanyiwa research unakua dawa ya mba [emoji23][emoji23][emoji23]
Lazima mtu apewe tuzo yake
😀😀😀😀😀😀😀 Fursa hiyo mkuu ya phd!
 
Tulidhani tumepata kumbe garasa anaogopa kwenda hata nchi za nje.
 
Udhaifu aliouzungumzia ni wa tofauti msiwe watu wa kukariri! Hata kushindwa kuongoza vyema ni udhaifu. Kushindwa kushghulikia watekaji, wauwaji na matukio ya upigwaji risasi kwa wale wenye mawazo ya tofauti ni udhaifu mkubwa sana wa kiuongozi.

nyie sijui mnaichukuliaje nchi? mnaichukulia kishamba sana mkuu. Nchi si ya watu flani tu hii. Kwahiyo ubabe ni kwenye maendeleo na siyo utekaji na uuwaji.

Mkuu comment ya jamaa one can also take it to mean "hayo uliyo yasema" kama yana weza kufanywa na mtu dhaifu! Ndio maana nimecheka.
 
Back
Top Bottom