Huyu atakuwa dhaifu kuliko JK! Mambo mengi ya kitaifa ananyamazia hatujui msimamo wake...kwanza toka lini injinia akawa raisi! Akajenge madaraja huko!
Lowasa! Anapambana kuiwania magogoni. Hatima yake, haielezeki.
Hana haiba, uwezo, msimamo, ujasiri, wala IQ ya kutosha.
Huyu jamaa wala siyo injinia ila ni mkemia phd yake kafanyia kwenye magamba ya korosho yanavyoweza kuzalisha Umeme ndio maana hata yeye ni gamba[/QUOTE]
ha ha ha haa,a haaa, dah, nimechekajeeee!???
hizi ndo tunaitaga steriotype...mwisho mtakuja na "toka lini mhaya akawa raisi".
Hana haiba, uwezo, msimamo, ujasiri, wala IQ ya kutosha.