gogo la shamba
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 6,669
- 2,165
alichoshindwa kuelewa Makufuli ni kwamba kwa ccm anaetakiwa kugombea urais wa nchi hii ni lazima atoke Zanzibar vinginevyo ccm itakufa kabla ya uchaguzi kufanyikaWaziri wa ujenzi bwana John Pombe Magufuli kaamua kuaanika wazi kuwa sasa anautamani urais wa Tanzania.
Kasema hayo huku akitanabaisha kuwa iwapo atakidhi vigezo vya katiba mpya.
Source: Nipashe