John Magufuli: Ninautamani urais!

John Magufuli: Ninautamani urais!

ccm/;_wakinipangia list hii kura yangu haina mjadala;
1.rais-j magufuri
2.m.rais-karume
3.w,mkuu-mwakyembe
4.w.fedha- aliopo
5.w.nishati- aliopo
* * * * *
mmmmhhh ccm wamuweke yeyote hataikiwemo lipumba na dr slaa wahamie huko siwapi inatakiwa ccm watoke ndo pona ya nchi hii!
 
Tatizo la nchi hii ni CCM na Systems zake ambazo wamezitengeneza! Tuna rasilimali kibao lakini CCM na sera zake na watendaji wake, na serikali zake ndiyo TATIZO!! MFUMO wote uko corrupt, so hata aje nani, given ni kupitia CCM hakuna jipya!!
 
mkuu tunajua magufuli ni mzuri na anafaa hii tarifa yako sisi tuiaminije halafu unasema sorce wewe mwenyewe.
 
mmmmhhh ccm wamuweke yeyote hataikiwemo lipumba na dr slaa wahamie huko siwapi inatakiwa ccm watoke ndo pona ya nchi hii!

chadema ni chama cha shetani hakipaswi kuongoza hata kwa mifugo tu,
 
Thubutu! kama ccm wanataka kufa kabisa wampitishe mafunguo Hafai hafai hafai na nasisitiza tena kuwa huyo mafunguo hafai.

watu wanaotumika utamjua tu wewe utakuwa na mgombea wako anayekulisha na kukunywesha ndiyo maana unaandika hivi lakini huna hoja yoyote ya maana katika haya maneno yako.
 
CCM/;_WAKINIPANGIA LIST HII KURA YANGU HAINA MJADALA;
1.Rais-j magufuri
2.m.rais-karume
3.w,mkuu-mwakyembe
4.w.fedha- aliopo
5.w.nishati- aliopo
* * * * *

Nkuu na 3 mpaka 5 umechemka, maana mpaka tunapiga kura ni wawili tu ambao watakuwa wanafahamika! Hivyo kura yako itapotea maana itakuwa ni pata potea!
 
kwa aina taifa tulilo nalo na huu utajiri wa mali uliopo rais ajaye anapaswa kuwa mwenye msimamo aina ya magufuli,nadhani anafaa sana na anastahili,
 
Hata mm mwenyewe wakimteuwa huyuu jembe bhana kwa mara ya kwanza ntapga kura. Nkimuamini huyu Dr wa ukweli. Ana maamuzi magumu yenye maslahi kwa taifa. Vijana wavivu na kaz yao kuzurura watakipata ama kwa hakka.
 
hongereni ccm ila KWA UPANDE WANGU MAGUFULI HAFAI
Arudishe kwanza zile nyumba za serikali alizogawa bure kwa wahindi na waarabu. Huyu amelisababishia taifa hili hasara kubwa sana kutokana na uuzaji wa nyumba za serikali kwa bei ya kutupa, ndiyo huyo tumuamini kwenye nafasi ya urais? Nitakuwa wa mwisho kumuunga mkono huyu mtu asiye na uwezo wa kufanya maamuzi yenye faida kwa nchi.
Lakini pia uamuzi wa kumpitisha magufuli utaipa tiketi ya moja kwa moja CHADEMA kuingia Ikulu. Maana yapo mengi ya kumpingia.
 
CCM/;_WAKINIPANGIA LIST HII KURA YANGU HAINA MJADALA;
1.Rais-j magufuri
2.m.rais-karume
3.w,mkuu-mwakyembe
4.w.fedha- aliopo
5.w.nishati- aliopo
* * * * *

wana usafi gani hawa? ukiona wanang'aka ujue wanachong'akia wamekosa 'mgao'
 
arudishe kwanza zile nyumba za serikali alizogawa bure kwa wahindi na waarabu. Huyu amelisababishia taifa hili hasara kubwa sana kutokana na uuzaji wa nyumba za serikali kwa bei ya kutupa, ndiyo huyo tumuamini kwenye nafasi ya urais? Nitakuwa wa mwisho kumuunga mkono huyu mtu asiye na uwezo wa kufanya maamuzi yenye faida kwa nchi.
Lakini pia uamuzi wa kumpitisha magufuli utaipa tiketi ya moja kwa moja chadema kuingia ikulu. Maana yapo mengi ya kumpingia.
mkuu mimi nitakuwa wakwanza kutokumuunga mkono! Hata akiwa magufuli peke yake bila wenginenibora nisiende kupiga kura
 
Hakuna uchaguzi 2015 kikwete aongezewe muda hadi 2020 nchi itakuwa km afrika kusini
 
Salim ahmed salim atatufaa sana kuiongoza ccm 2015 ccm hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee3eeeeeeeeeeeeee
 
hana hizo ssifa za kuwa raisi anafanyaga siasa kwenye majukwaa akiwa kwenye kazi za kiserikali tena ni mbinafsi sana yani afai kabisa magufuli
 
Back
Top Bottom