Ndugu Mzizi na wote waliokupa likes bado mnadhani huyu bwana ni dhaifu kuliko JK au ametukazia vyuma hadi tumeisoma namba?Huyu atakuwa dhaifu kuliko JK! Mambo mengi ya kitaifa ananyamazia hatujui msimamo wake...kwanza toka lini injinia akawa raisi! Akajenge madaraja huko!