andate
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 2,651
- 1,024
Hapo kwenye bold unamaana huyu huyu nchemba madelu? Kama ni yeye hapana aisee, ni bora Hitler afufuke aje kututawala lakini sio huyo.Hana Nguvu za kisiasa ndani ya CCM na wala hana sifa zozote kuwapita wenzake ndani ya CCM kama Lowassa, Membe, Sitta, Mwakyembe, Mwandosya, Wassira, Mwigulu, Nchimbi.
Ila sifa moja ya kiCCM ya msingi anayo, ambayo ni Ufisadi. Magufuli ni Fisadi mzuri sana.
Lakini pia ni mnafiki mkubwa, kwani ni juzi tu alimkana Sitta na kudai hana mpango wa Urais kabisa!!