John Magufuli: Ninautamani urais!

John Magufuli: Ninautamani urais!

"Kutokana na hali hiyo ninawazawadia Sh. 1,000,000 mfanye sherehe ya kujipongeza kwa kuwa natambua mmejitesa sana mpaka kufanikisha kikao hiki cha leo&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];na kwa kuwa hamna mradi wowote wa kuwaingizia kipato kama wazee, ninaahidi kuwapa Sh. 3,000,000 kutoka mfuko wa jimbo, ili muanzishe walau saccos ya kukopeshana," alisema.
Kumbe limezoea kutoa RUSHWA hadharani tangu zamani!
 
no thanks.... huna busara ktk maamuz na jazba zisizo na msingi!!!! nadhan FFU watafanya kazi sana huyu jamaa akiwa rais maana hana uvumilivu kabisa!!!
Helmet
IMG_20181028_094251.jpeg
 
Huyu atakuwa dhaifu kuliko JK! Mambo mengi ya kitaifa ananyamazia hatujui msimamo wake...kwanza toka lini injinia akawa raisi! Akajenge madaraja huko!
Ulianza vizuri kwa hilo nakupongeza maana ulikua na maono pia. Ila ulivyomuita Injinia tena akajenge madaraja hapo ndipo uliponivuruga. Anyways ulikua na maono kwakuwa ulishaonya kuwa atakua ni mtu wa aina gani
 
Too much expections, imekua vice versa
Magufuli ni jembe,CCM wakimteua huyu watapata kazi rahisi sana kwenye uchaguzi wa 2015..

Kwa uwezo wa utendaji kazi,hakuna mwanasiasa yeyote hapa nchini anayemzidi Magufuli kwenye hilo, akiteuliwa huyu kura yangu anayo...
 
Mtakao mpa kura ni nyie mnaomsikia kwenye vyombo vya habari ila sie tuliompa kura za ubunge tunajutia hata kwa hilo, ndo maana anatamani urais maana anajua hawezi kuupata ubunge tena chato. Pole sana Magufuli huku jimboni hata udiwani hupati.
[emoji41] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Back
Top Bottom