John Magufuli: Ninautamani urais!

John Magufuli: Ninautamani urais!

signature yako bado inaonyesha matatizo ulionayo katika fikra
 
hongera watakatifu.
akili zilizoganda wapumbavu msiojua kesho yenu.
subirini,mtaisoma number msifikiri uwoga huu wa watanzania utadumu milele.

ameiba wake za watu,unaumia nini,amemuiba mama yako?
wewe ni wakili wake?stupid mind.
vinywa vyenu like public toilet,jifunzeni kuweka akiba ya maneno,kesho itawagharimu.

Ashiii first lady wenu huyo,
Yaani ukisia watu wanautaka urais roho kwatu unaumia,yaani kwa ----- wako na upumbavu unaonyesha hapa kweli uwe first lady wewe?ntahama nchi kabisa bora nikaishi Somalia kuliko kuishi nchi yenye first lady kilaza kama wewe
 
Hana Nguvu za kisiasa ndani ya CCM na wala hana sifa zozote kuwapita wenzake ndani ya CCM kama Lowassa, Membe, Sitta, Mwakyembe, Mwandosya, Wassira, mwigulu @Nchimbi.
Ila sifa moja ya kiCCM ya msingi anayo, ambayo ni Ufisadi. Magufuli ni Fisadi mzuri sana.
Lakini pia ni mnafiki mkubwa, kwani ni juzi tu alimkana Sitta na kudai hana mpango wa Urais kabisa!!

are you serious??
 
Ashiii first lady wenu huyo,
Yaani ukisia watu wanautaka urais roho kwatu unaumia,yaani kwa ----- wako na upumbavu unaonyesha hapa kweli uwe first lady wewe?ntahama nchi kabisa bora nikaishi Somalia kuliko kuishi nchi yenye first lady kilaza kama wewe

huyo Nape unasema first lady, usidanganyike na ID.
 
CCM kwa akili zao ndogo huyu hawamtaki wanataka Lowasa ili waendelee kuiba na kudhulumu rasilimali za wananchi kama madini na mikataba feki ya kuhujumu fedha za umma. hizo hela wanazolipwa dowans za kesi ndo anazozunguka nazo lowasa kufanya kampeni eti anachangia maendeleo kanisani, misikitini na kwa wamachinga. Buree kabsa ndo wanaemtaka ukiwambia magufuli weee wanarukaje mbali...
 
Magufuli hizo ni ndoto za mchana, kapime maralia kwanza!!!!!!
 
ila tuache ushabiki, ccm wakimsimamisha huyu jamaa uwezekano wa wapinzani kuchukua nchi utakuwa mdogo sana!
 
Aah wapi!kura yangu bora nimpe hata Mtikila kuliko huyu mzee wa visasi na bomoabomoa!urais ni zaidi ya umaarufu.unaweza kuwa popular lakini usiwe na hekima.huyu anapenda sifa na hivyo kuongozwa na hisia zaidi ya akili.mtu anaambiwa kuwa sheria anayotumia imepitwa na wakati bado anang'ang'ana tu kama si kutafuta sifa huko ni nini!simtaki kabisa huyu!
 
ila tuache ushabiki, ccm wakimsimamisha huyu jamaa uwezekano wa wapinzani kuchukua nchi utakuwa mdogo sana!

huyu jamaa anafaa sana kwa hali ilivyo sasa tz,anakubalika sana hasa mikoa ya kanda ya ziwa ambako kuna wapiga kura wengi
 
Aah wapi!kura yangu bora nimpe hata Mtikila kuliko huyu mzee wa visasi na bomoabomoa!urais ni zaidi ya umaarufu.unaweza kuwa popular lakini usiwe na hekima.huyu anapenda sifa na hivyo kuongozwa na hisia zaidi ya akili.mtu anaambiwa kuwa sheria anayotumia imepitwa na wakati bado anang'ang'ana tu kama si kutafuta sifa huko ni nini!simtaki kabisa huyu!

unataka rais awe mr zero mbowe? Nchi itakuwa sawa na danguro, itakuwa siyo nchi ya watz wote tena bali ya wachaga,hatuwezi fanya makosa hayo
 
huyu jamaa anafaa sana kwa hali ilivyo sasa tz,anakubalika sana hasa mikoa ya kanda ya ziwa ambako kuna wapiga kura wengi

ila kwa mizengwe iliyopo ccm sijui kama hata kwenye list atakuwemo! jk mwenyewe kang'ang'ana na membe kwa kuendekeza urafiki na upwani wao! subiri uone zengwe lao litakavyowacost kwa katiba hii, ni kuangukia pua tu!
 
Kwa wengi tulionunua viwanja halali pembezoni mwa Barabara, tumeona jinsi nyumba zetu zikipigwa X. Tulipofuatiria, tukaambiwa ni sehemu ya barabara. Nani aliyeandaa hiyo ramani? mbona nasi tulipewa viwanja ambavyo viliuzwa na wizara hiyohiyo ya ardhi? Hakuna aliyejibu maswali yetu, tulipofungua kesi mahakamani, kabla hukumu hazijatolewa, usiku wa manane, buldoza na mgambo wapo nje kubomoa nyumba zetu. Magufuli hakujali kama kulikuwa na watoto wamelala au wagonjwa, alivunja nyumba zetu wanyonge. Magufuli huyu anayetumia nguvu nyingi kuliko akili wala sheria, aliuza nyumba za serikali Oyster bay kwa bei ya kutupa. Nasema huyu baba akiupata Urais, masikini hatuna chetu, bora nikalale kwenye mahema nje kuliko ndani ya nchi ninayolipia kodi
 
anakubalika sana huyu, sio watu watu wa ajabu ajabu hao wengine wenye mikashfa mpaka ya kupora wake za watu

anakubalika wapi? Si ni pale lumumba tu! Sasa labda unataka watu washushe issue za watu hapa, kuchukua wake za watu lumumba ndio head quarter wakianza kutajwa ni balaa kuliko, halafu wanahonga rasilmali za taifa kwa vimada
 
unataka rais awe mr zero mbowe? Nchi itakuwa sawa na danguro, itakuwa siyo nchi ya watz wote tena bali ya wachaga,hatuwezi fanya makosa hayo

hii inaonyesha wazi ni nani mwanzilishi wa sera ya ukabila.sijawahi kumsikia Mbowe wala mtu yeyote wa Chadema akiwazungumzia viongozi wa CCM kwa makabila yao kama kigezo cha kuwanyima uongozi lakini nyinyi CCM mnafanya hivyo na wewe hapa umeshaonyesha hilo.kutwa kucha Mbowe mchaga,chagaa,chagaa,hata baadhi yenu mlidiriki kuja hapa kuwachafua hata baadhi ya mawaziri tena waadilifu wa JK kutoka huko huko CCM kisa tu wameoa wachaga.kati yenu nyinyi na Chadema nani mkabila hapo?hata humo CCM wapo watu waadilifu na baadhi yetu tunawajua watu makini waadilifu lakini hawapewi priority zaidi ya kupigwa vita tu.ukiona mtu anakuwa maarufu ndani ya CCM hii ya leo basi ujue mhuni mwenzao na lile kundi la wahuni ndani ya chama.hata humu ndani JF tayari wewe ushaibuka na uchaga wa Mbowe.unajionyesha ndio wale wale CCM ya wahuni na makaburu mliokwishaigawa Tz kikabila na kuwapuuza wale wanaowakosoa.kwa hiyo wewe unataka kuniambia kwenu CCM wachaga ni second class citizen,hawastahili kutoa viongozi?endeleeni,mnajionyesha taratibu sera zenu na wananchi tunaona!
 
Kuna mtoto wa shule ya awali (chekechea) moja mjini Mwanza naye alikuwa anautamani. Aliyasema hayo katika kipindi kimoja cha televisheni cha watoto mwaka 2009!!!!Hivyo si jambo la ajabu kutamani cheo hicho kikubwa hapa nchini mwetu :whistle:
 
Back
Top Bottom