JK na wabunge wa CCM Dodoma kimenuka

Chini ya katiba ya sasa, mkuu wa wilaya ana mamlaka ya kumweka mtu ndani kwa masaa 24 bila sababu yoyote. Kwa maana hii, ukikutana bar na mkuu wa wilaya halafu yeye awe na hisia kwamba umemnunulia bia kimada wake, hiyo ni tosha kukuweka ndani nakuamuru utolewe kesho yake. Sasa hawa ni wa kuwapa usimamizi wa shughuli hii kweli?

Kuhusu wewe kutatizwa na suala la posho, inabidi uelewe the entire politics evolving;
Mkuu, "Preventive Detention Act" ni sheria ambayo constitutionality yake can pass a litmus test internationally. Hata US constitution.

Kwa hiyo hakuna mchakato ambao unaweza kuondoa vitu hivi, hii inaweza kuwa repealed hata kesho kama kina Lissu wataanza kuipigia kelele, but it's the kind of law that is reserved when major ish is about to happen. Hata wapinzani wanaminya in case wakitwaa madaraka itawafaa mbeleni.

Kuhusu posho, naelewa nini kinachoendelea, ila natatizwa nacho. Lakini sikubaliani na wewe unapomsafisha JK kwenye jambo hili, both the executive and the legislature(hata wapinzani) wanacheza mazingaombwe ambayo wananchi wa kawaida kama sisi yatatuletea umasikini. I can explain more if you didn't get my point.

It's lunch time here, be back in 30.
 
Rais hawezi kupigiwa kura ya kuwa na imani ni Waziri Mkuu kwa upande wa serikali anayeweza kupigiwa kura hiyo.
 
Mkuu, "Preventive Detention Act" ni sheria ambayo constitutionality yake can pass a litmus test internationally. Hata US constitution.

Kwa hiyo hakuna mchakato ambao unaweza kuondoa vitu hivi, hii inaweza kuwa repealed hata kesho kama kina Lissu wataanza kuipigia kelele, but it's the kind of law that is reserved when major ish is about to happen. Hata wapinzani wanaminya in case wakitwaa madaraka itawafaa mbeleni.

Kuhusu posho, naelewa nini kinachoendelea, ila natatizwa nacho. Lakini sikubaliani na wewe unapomsafisha JK kwenye jambo hili, both the executive and the legislature(hata wapinzani) wanacheza mazingaombwe ambayo wananchi wa kawaida kama sisi yatatuletea umasikini. I can explain more if you didn't get my point.

It's lunch time here, be back in 30.

Mkuu,

Nimsafishe JK humu Jamiiforums kwa sababu gani, kwani ananilipia nauli ya daladala? Sina maslahi yoyote na JK zaidi ya yeye kuwa Rais wangu na Mwenyekiti wa Chama Changu, kama vile atakavyokuwa yeyote yule mwingine uchaguzi ujao 2015. Nachokieleza ni fikra zangu huru zinazotokana na kuchanganua pande zote mbili, na sio zaidi ya hapo. Unless wewe unalitazama suala hili kwa mapana, kwani kama unaenda nje ya mpaka wa sasa, upo sahihi - both bunge na Ofisi ya Rais wana mapungufu yao, mengi tu. Laini mimi nime zero down kwenye hili la:

sakata ya chadema kwenda ikulu;
JK kukubali hoja za Chadema kurekebisha muswada wa mchakato wa katiba;
JK kupinga ongezeko posho za wabunge;
Wabunge wa CCM kupinga miswaada miwili ya serikali bungeni;
Wabunge wa CCM kutishia kupiga kura ya kutokuwa na imani na JK
Na kuhusu taarifa kwamba JK kuwaambia wakitaka wapige hiyo kura.

Katika mlolongo huu, mtazamo wangu ni kwamba JK yupo correct, lakini vilevile nadhani huo pia ni mtazamo wa wananchi walio wengi.
 
Na hao kina shellukindo tayari kwa siku nyingi agenda yao inafahamika ni nini. Wapo tayari hata kusogeza tarehe za 2015 zirudi nyuma zaidi ili ziendane na maneno matamu ya bishop joshua.

Ndugu Mchambuzi,

Hivi bado unaimani kubwa kuwa Kikwete kama Rais wa Jamhuri anaiongoza nchi kama kiongozi shupavu anavyotakiwa? Hawa wabunge mnavyowaongelea ni kama vile wao ndio chanzo cha matatizo yote yanayoisumbua CCM, kwa upande wangu naona mnajaribu (kwa makusudi au bila kujijua) kuturudisha kwenye ile famous propaganda line: "Kikwete anajitahidi ila watendaji wake ndio wanamuangusha".
As a political analyst mie nionavyo ni kuwa wabunge wanadai hiyo nyongeza sio kama hawajui hali ni mbaya ila ni kuwa wakati JK anachukua nchi toka kwa Mkapa hakuna mbunge aliyekuwa analalamika nyongeza kwa kuwa walikuwa hawaoni ufisadi wa direct way kama wa huyu muungwana. Under JK within short time huyu jamaa amesafiri 300+ plus nje ya nchi....wewe kama unavyojiita "Mchambuzi" umewahi kufanya utafiti kujua kila safari moja huwa anachota kiasi gani? Hao wabunge wenzie wa CCM wanajua anavuna kiasi gani ila wanashindwa kukisema wazi kuhofia matokeo. Sasa basi nao wameamua kuequalize ufisadi wake JK directly kwa wao nao wapate angalau stahili yao bila kujali wananchi watasema nini. Sasa basi kwa nini matunda ya hardwork ya Mkapa ayafahidi JK na familia yake binafsi badala ya wabunge "CCM family". In short wabunge wameshtuka na kila mmoja ameona achukue chake mapema kwani hiyo 2015 hakuna mwenye uhakika wa kurudi mjengoni let alone kugovern.

Hao kina January Makamba + Zitto wanajifanya kupinga posho kama political manouvre kujiweka vizuri wapate favour kutoka kwa wananchi pamoja na JK. Vile vile Januari tayari alishapata pesa ya kumsustain kupitia mgongo wa dada Mwamvita+Uhakika wa kipato kupitia ajira ya chamani etc Zitto yeye yupo katika battle yake na Mbowe kujijenga aonekane good statesman anadhani ukaribu na JK utampa favour...asisahau tu kuwa JK ni political operator mzuri (kinyonga hatari) aliyena mapungufu makubwa mno kwenye effective leadership skills.

Single biggest mistake ya JK pale atakapo ruhusu kura ya kutokuwa na imani naye kwani watamtoa....Kwa "Mamvi and Co" hayo madeni ya wabunge ni kama loose change, wanapesa za kutosha kuwalipia madeni yao wabunge karibu wote wa CCM pamoja na kuwapa pesa za kufanyia kampeni (kukodisha mabasi+pilau+nyama+mobile phone handsets etc).

Nawasilisha!
 
Ngoja mwenyekiti awaombe wakutane nao hao wabunge wa ccm halafu uone kama hata mmoja ataweza kunyanyua kadomo kake weeeeeeee heshima mbelee manake ubunge waliopata ni wachama ni sio kwa sababu wanakubalika umesoma mchezo
 
Mkuu Mchambuzi, everyone knows what the real issue is. In TZ, the head of state is backed by a constitution that gives him/her almost absolute power. For EL to paralyze the country for his stupid almost maniac quest to be the future president, and JK for no good reason to let him do that, ITS JK's FAULT AND NO ONE ELSE.

Rais wangu JK, ebu mpe huyu mtu kesi ya uhujumu uchumi, halafu mahakama itumie taratibu za haki tupate verdict yeyote whether Guilty or not guilty, lakini MSG itakuwa sent, na wapuuzi wote kina Beatrice shelukindo na wengine watatulia na kujua NCHI NI MUHIMU kuliko ambition za kipuuzi za kuja kutuibia huko mbeleni.

Hizi vurugu zote za kumtisha rais ni upuuzi wa hili group, ambalo kwa kweli siku zinavyokwenda wanazidi kuja na guts za ajabu, SASA WANAMTISHA RAIS TENA MBELE YA BUNGE (CCM Bunge caucus), eti tutampigia kura ya kutokuwa na imani, REALLY??

May God Bless Tanzania
Exactly! Mkuu nakubaliana na wewe 100%
 
Mkuu,

Nimsafishe JK humu Jamiiforums kwa sababu gani.....
mimi nime zero down kwenye hili la:

sakata ya chadema kwenda ikulu;
JK kukubali hoja za Chadema kurekebisha muswada wa mchakato wa katiba;
JK kupinga ongezeko posho za wabunge;
Wabunge wa CCM kupinga miswaada miwili ya serikali bungeni;
Wabunge wa CCM kutishia kupiga kura ya kutokuwa na imani na JK
Na kuhusu taarifa kwamba JK kuwaambia wakitaka wapige hiyo kura.

Katika mlolongo huu, mtazamo wangu ni kwamba JK yupo correct, lakini vilevile nadhani huo pia ni mtazamo wa wananchi walio wengi.
Kama ungesoma post yangu vizuri na mimi nimebase kwenye masuala hayohayo.

1. JK kukubali au kutokubali hakuta affect mchakato kutokana na sababu kubwa, nayo ni Muungano kutojadiliwa na siyo usimamizi wa mchakato. Usimamizi hautakuza wala kupunguza sovereignty.

2.kupinga ongezeko la posho hakuhitaji mkutano baina ya JK na wabunge,kunahitaji kutotia sahihi. Miswaada miwili iliyokataliwa ilikuwa bogus from the gets go.

3.Kama Mwanakijiji alivyosema, vote of no confidence is way different from impeachment.... the cabinet can raise that issue na kuipeleka bungeni. Na hiyo issue itapingwa na Supreme/high court.... Im not promising you, I guarantee that!

4.Ndiyo maana kawaambia wajaribu, High court ipo mikononi mwake.... who needs the legislature if you got top lawyerz feeding from your pockets? Ndiyo maana yupo very close na kina Chande.

Kuhusu wananchi, wananchi hawataki wabunge waongezwe posho.... it's as expensive as the recall of the General election.

Pole, lakini huo ndiyo ukweli.
 
We haven't come to a political impasse in the first place. Country's current woes are hugely attributed to failure by the head of state to accomplish his portfolio. Ironically, he is yet attempting to camouflage his own incapabilities with a surprise reshuffle. Changing of ministers will only temporarily smother people's noise but won't permanently solve the problem. In my view, source of problem remains entirely in himself for lacking leadership qualities and missing demanded intelligence necessary for his duty.

So you mean I fell short with my description of the current situation as a political 'deadlock'? In a word or two, how would you describe this Crisis then. I am still of the conviction that politically, we are in a 'deadlock'. And I think where you and I differ on this matter, is on the accent, otherwise we speak the same language. It follows that, in my opinion, the best way out of this mess is for the President to make a meaningful reshuffle of the Cabinet and also begin to implement 'good governance', more seriously, for the rest of his tenure in office.
 
HAPANA MKUU MCHAMBUZI.

Rais ndiye kiongozi pekee anayewakilisha watanzania bungeni.
Posho za wabunge ni sheria ya nchi yetu.
Rais hatakiwi ku-caucus na wabunge, bali wananchi kwa faida yetu na vizazi vijavyo.
Kila mswaada wa bunge hauna budi uwe na "bullet-proof" ya rais. Kabla hata haujapigiwa kura.
Je, kabla ya kupitishwa mswaada huu, rais alisema ataupitisha? i.e atapiga signature yake?
Akisema hajaubariki, ina maana atatia saini au hatatia saini?....
Au saini ya rais haihitajiki?

Nakuelewa lakini hayo yapo in a perfect republic kama ya Plato. Tanzania tupo kwenye a republic ambayo kwa miaka 13 (1964 - 1977) haikuwa inaendeshwa kwa katiba. Watu hawakulijua hili kwa sababu katiba mama ya nchi iligeuzwa kuwa ile ya TANU. Otherwise unalo zunguma, tunaweza kabisa kufika huko iwapo tutakuwa serious na mchakato wa katiba yetu mpya, kwani tutaondokana na hali ya nchi kuendeshwa na katiba ya CCM on the one hand, na Katiba ya nchi on the other hand.
 
Rais hawezi kupigiwa kura ya kuwa na imani ni Waziri Mkuu kwa upande wa serikali anayeweza kupigiwa kura hiyo.

Siyo kweli Bunge linaweza kupiga kura ya kutokuwa na imani na Rais (power of impeachment). Ila sema kuna procedure ndefu ambazo zinatakiwa zifuatwe, ambazo technically zinampa rais upenyo wa kuvunja bunge kabla hajapigiwa hiyo kura na kuitisha fresh election
 
Siyo kweli Bunge linaweza kupiga kura ya kutokuwa na imani na Rais (power of impeachment). Ila sema kuna procedure ndefu ambazo zinatakiwa zifuatwe, ambazo technically zinampa rais upenyo wa kuvunja bunge kabla hajapigiwa hiyo kura na kuitisha fresh election
A very big (actually, a humungous) NO!
Vote of no confidence is different from impeachment....
Bunge can do the earlier to the PM and the later to the President.
 
Ndugu Mchambuzi,

Hivi bado unaimani kubwa kuwa Kikwete kama Rais wa Jamhuri anaiongoza nchi kama kiongozi shupavu anavyotakiwa? Hawa wabunge mnavyowaongelea ni kama vile wao ndio chanzo cha matatizo yote yanayoisumbua CCM, kwa upande wangu naona mnajaribu (kwa makusudi au bila kujijua) kuturudisha kwenye ile famous propaganda line: "Kikwete anajitahidi ila watendaji wake ndio wanamuangusha".
As a political analyst mie nionavyo ni kuwa wabunge wanadai hiyo nyongeza sio kama hawajui hali ni mbaya ila ni kuwa wakati JK anachukua nchi toka kwa Mkapa hakuna mbunge aliyekuwa analalamika nyongeza kwa kuwa walikuwa hawaoni ufisadi wa direct way kama wa huyu muungwana. Under JK within short time huyu jamaa amesafiri 300+ plus nje ya nchi....wewe kama unavyojiita "Mchambuzi" umewahi kufanya utafiti kujua kila safari moja huwa anachota kiasi gani? Hao wabunge wenzie wa CCM wanajua anavuna kiasi gani ila wanashindwa kukisema wazi kuhofia matokeo. Sasa basi nao wameamua kuequalize ufisadi wake JK directly kwa wao nao wapate angalau stahili yao bila kujali wananchi watasema nini. Sasa basi kwa nini matunda ya hardwork ya Mkapa ayafahidi JK na familia yake binafsi badala ya wabunge "CCM family". In short wabunge wameshtuka na kila mmoja ameona achukue chake mapema kwani hiyo 2015 hakuna mwenye uhakika wa kurudi mjengoni let alone kugovern.

Hao kina January Makamba + Zitto wanajifanya kupinga posho kama political manouvre kujiweka vizuri wapate favour kutoka kwa wananchi pamoja na JK. Vile vile Januari tayari alishapata pesa ya kumsustain kupitia mgongo wa dada Mwamvita+Uhakika wa kipato kupitia ajira ya chamani etc Zitto yeye yupo katika battle yake na Mbowe kujijenga aonekane good statesman anadhani ukaribu na JK utampa favour...asisahau tu kuwa JK ni political operator mzuri (kinyonga hatari) aliyena mapungufu makubwa mno kwenye effective leadership skills.

Single biggest mistake ya JK pale atakapo ruhusu kura ya kutokuwa na imani naye kwani watamtoa....Kwa "Mamvi and Co" hayo madeni ya wabunge ni kama loose change, wanapesa za kutosha kuwalipia madeni yao wabunge karibu wote wa CCM pamoja na kuwapa pesa za kufanyia kampeni (kukodisha mabasi+pilau+nyama+mobile phone handsets etc).

Nawasilisha!

You missed my point pale niliposema kwamba nime zero down katika sakata hili tu kuanzia pale Chadema walivyopata baraka za JK ikulu kwamba muswada ule ubadilike, mpaka kufikia hali hii ya leo. Otherwise sikatai kwamba Ofisi ya Rais ina mapungufu, yapo mengi tu. Kuhusu wabunge, hoja yangu ya msingi ni kwamba wana kigeu geu, hawana msimamo unaoeleweka hasa kuhusu maslahi ya taifa hili. Na hilo ndio linapelekea wengio tuhoji, why this time around? Kwani matatizo nchi hii yameanza end of January 2012?? Walikuwa wapi muda wote, only to rush to the dance floor pale mziki wa posho ulivyowashwa na pia pale ile zomea zomea yao kwa chadema ilivyogeuzwa na rais.

Na kuhusu hiyo quote hapo juu kuhusu Mh. Beatrice, my point was - kuna wabunge wapo tayari kumuondoa Kikwete hata sasa kwa njia za ovyo ovyo tu. Kumuondoa Rais wa nchi madarakani sio suala dogo, nchi itatikisika hasa, hapo ndio watu watajua nini nguvu na umuhimu wa Rais. Kama wana nia ya kumwondoa Kikwete kwa justifications wanazojua wenyewe, wapeleke hizo efforts kwenye kofia yake ya Chama kwani yeye ni kiongozi wa CCM lakini ni Rais wa CCM, Chadema, NCCR, CUF, CCK, Jahazi Asilia, hata watanzania wasio kuwa na vyama, na hata watanzania ambao hawana umri wa kupiga kura bado.

Kwa mtazamo wako, kwanini nchi inayumba na solution yake ni nini?
 
MkamaP,
Kuhusu swali lako: kinachoendelea ni kwamba - kwa mujibu wa taarifa zinazoenea, wabunge wa CCCM feel offended na kitendo cha Rais Kikwete kukubali mapendekezo ya Chadema kwamba kuna ulazima wa kubadilisha mambo kadhaa ndani ya muswada uliopitishwa na bunge la CCM na CUF mwaka jana, kuhusu mchakato wa katiba mpya. Nasema bunge la CCM na CUF kwasababu wabunge wote wa Chadema (pia nadhani na wachache kutoka NCCR) walisusa na hivyo kutoka nje ya bunge, huku wabunge wa CCM wakiongozwa na kina Anne Kilango na wengine wengi, wakiwazomea. Wabunge wa CCM wanadai kwamba kitendo cha rais kukubali kwa mfano mchakato usimamiwe na wakurugenzi wa halmashari/manispaa kama Chadema wanavyotaka, badala ya wakuu wa wilaya kama wabunge wa CCM wanavyotaka, kitafanya mchakato huo uwe controlled na Chadema kwa madai kwamba wakurugenzi wa halmashauri nchini ni wanachama wa chadema.

Ufa huu baina ya Rais na Wabunge umepanuka zaidi pale alipokataa kuidhinisha ongezeko la posho zao. Kwahiyo hivi sasa ni mkakati wa wewe mwaga ugali, sisi tunamwaga mboga. Na tumeona miswaada miwili ya serikali wiki iliyopita yote ikipigwa chini na wabunge wa CCM. Kwa kifupi hali ndio imekaa hivyo. Tunabaki kushangaa zile kauli za 'ndiyoooooooooo', zikiambatana na makofi kwenye meza kuunga hata hoja zile za kumchekesha matonya, sijui mzuka ule umeenda wapi.
Basi Kama hao ndio MPs wetu, iPo kazi
 
Dah! Sad but true, manake msibani huchagui sinia wala upande wenye nyama! Unakaa chini na kitambi chako, unafinya! Typical ccm!
Mtu mdogo kama mimi ntamwona wapi mkuu, zaidi ya wakati wa kampeni za uchaguzi ambapo wote ndani ya CCM ndio mnakuwa familia moja, mnapigwa vumbi na jua pamoja n.k. CCM wakati wa chaguzi mnakuwa kama mpo msibani, hakuna cha mkubwa wala mdogo, wote mnajichanganya. Msiba ukiisha hali ni tofauti.
 
A very big (actually, a humungous) NO!
Vote of no confidence is different from impeachment....
Bunge can do the earlier to the PM and the later to the President.

Thanks for clarification, can you narrate in swahili please, kwa faida ya wengine
 
Thanks for clarification, can you narrate in swahili please, kwa faida ya wengine
Dah, hapo utakuwa unautia madoa usharobaro wangu.

Vote of no confidence.... kura ya kutokuwa na imani, mara nyingi hutumika kwenye westminister systems ambapo waziri mkuu ndiye mkuu wa nchi. Ila hata kwenye presidential system kujaribu kuwang'oa au kupata suluhu, wabunge huitumia karata hii kwa kuwa huwa haihusishi sana mahakama.Au kama baraza la mawaziri likisema rais akili yake si nzuri, basi mahakama inaweza kuliambia bunge limng'oe...S'thing like that.

Impeachment ni wakati rais akivunja sheria au katiba na mahakama huangalia kama uvunjaji huo unawezaje kuathiri nchi i.e nia yake, au kwa mfano kama rais akifumwa akiwa anabwia coccaine.
 
tanzania tanzania nakupenda kwa moyo wote
tanzania tanzania viongozi wako siwapendi popote
nilalapo niamkapo nakuota wewe kwa yote
nchi tangu tanzania jina lako tamu kote

Hueleweki lolote
huelekei kokote
sio kuchezea popote
na nisikuone tena popote
 
Dah, hapo utakuwa unautia madoa usharobaro wangu.

Vote of no confidence.... kura ya kutokuwa na imani, mara nyingi hutumika kwenye westminister systems ambapo waziri mkuu ndiye mkuu wa nchi. Ila hata kwenye presidential system kujaribu kuwang'oa au kupata suluhu, wabunge huitumia karata hii kwa kuwa huwa haihusishi sana mahakama.Au kama baraza la mawaziri likisema rais akili yake si nzuri, basi mahakama inaweza kuliambia bunge limng'oe...S'thing like that.

Impeachment ni wakati rais akivunja sheria au katiba na mahakama huangalia kama uvunjaji huo unawezaje kuathiri nchi i.e nia yake, au kwa mfano kama rais akifumwa akiwa anabwia coccaine.

Kwa kuongezea,

there is a very thin line lakini a big difference. Tofauti na kura ya kutokuwa na imani, impeachment sio kitu rahisi sana kutokea kwani viongozi are always in good conduct when they are in office.

Impeachment maana yake ni Mashkata; Kwahiyo ni mashkata ya kibunge dhidi ya kiongozi. Mashtaka haya ulenga vitu viwili vikuu: (1) Uhalifu; (2) Tabia mbaya/mwenendo mbaya wa kiongozi wakati yupo madarakani. Mfano, kupokea rushwa, kuhujumu uchumi, kufanya vitendo vya kuhatarisha usalama wa taifa kama vile kuwa na mahusiano/urafiki na watu au makundi yasiyokubalika na usalama wa taifa wa nchi husika (kwa mfano wahalifu wa madawa ya kulevya au terrorists), kuwa na mwenendo mbaya/mbovu katika jamii kama vile kutembea na wanawake/wanaume ovyo ovyo, kubaka, kutumia madawa ya kulevya, n.k.

Kura ya Kutokuwa na Imani inatokana na masuala mengine nje ya hayo hapo juu – yasiyohusiana na uhalifu au tabia mbaya. Badala yake, kura hii ni matokeo ya Bunge kutoridhika na utendaji au maamuzi ya kiongozi husika. Mfano, uwezo mdogo wa kuongoza; kutokuwa na uwezo wa kufanya maamuzi muhimu kwa maslahi ya taifa; kiongozi kuwa na mazoea ya kufanya maamuzi ya ovyo ovyo bila kushauriana na vyombo husika; kiongozi kutoheshimu mihimili mingine ya dola (bunge na mahakama kwa mfano), au kiongozi kufanya maamuzi yasiyostahili na yanayo toa kwa umma taswira mbaya ya serikali au chama husika.

Na haya mawili yanaweza kumtokea kiongozi yeyote wa serikali,sio lazima Rais, bali hata mawaziri.
 
....ajabu ukiwasikia mitaani eti wanajiita watunga sheria!!badala ya kujiita wapitisha sheria.

Kuna ya pili umeisahau ''kuisimamia serikali''

Usipofaham mambo yao humo mjengoni unaweza kuwaona wana maana kumbe hamna lolote.....wakati mwingine wanakuwa wajinga hata mtoto wa darasa la pili ana maana.

Mtoto mdogo Maji atasema Maji na Moto atasema Moto, lakin wao Maji wanaweza kukulaghai wakasema unyevu unyevu na Moto wakasema Joto, kisha wakapigiana makofi alaf Bibi yao pale mbele akahitimisha kwa kuwahoji;

''wanaosema SIO semeni NDIO na wanaosema NDIO semeni NDIO'' kwisha sheria inapita, sasa hapo unahitaj elimu ili upate hiyo kazi? Tena wakati mwingine yule mama anawaambia wanyooshe mikono alaf eti anawahesabu...hahahah!

Japo wapo wachache sana ambao kweli wanafanya kazi yao na tunawafaham na wao huwa hawana hata hofu ya uchaguzi.
 
Back
Top Bottom