Wabunge wa CCM kupitia Bunge la 11 wamethibitisha pasi na shaka kwamba hakuna haja ya Vyama vya Upinzani Tanzania

The Sunk Cost Fallacy 2

JF-Expert Member
Nov 8, 2022
7,382
8,437
Kikao Cha Bunge la 12,Mkutano wa 9 umemalizika Jijini Dodoma..

Watanzania wote wamejionea jinsi wabunge wa chama Tawala walivyomudu kuisimamia Serikali,kuikosoa na kuja na maazimia mazito ili kuhakikisha Viongozi wanawajibika kadiri na nafsi zao..

Wameibua hoja nzito,wamejenga hoja murua za ushauri ikiwemo kuzuia mswaada wa Bima ya Afya Hadi Serikali ije na mswaada wenye tija..

Sasa.Ndugu zangu ikiwa Chama Tawala kimeweza kujikosoa na kuisimamia Serikali Kuna haha gani ya kuwa na Vyama vingi?..

Ukiacha kwamba hivyo Vyama vinaongeza mzigo kwa walipakodi lakini vinashadisia vurugu,matusi na uzushi badala ya kujenga hoja na kuja na njia mbadala..

Miaka ya zamani Mwl.Nyerere aliwahi kuwauliza Watz Kama wanataka Vyama vingi ,majibu Ni hapana ila yeye akalazimisha ili apate kuwafurahisha wazungu..

Kwa maoni yangu,demokrasia sio lazima kuwa westernised Kama Rais wa China alivyoshauri..Demokrasia ya ndani ya Chama Cha CCM inafanya kazi vizuri kwa Nini tulazimishe Vyama vya kuleta vurugu Nchini?
 
Fanya aah..
JamiiForums-586063353.jpg
 
Kikao Cha Bunge la 11 kimemalizika Jijini Dodoma..

Watanzania wote wamejionea jinsi wabunge wa chama Tawala walivyomudu kuisimamia Serikali,kuikosoa na kuja na maazimia mazito ili kuhakikisha Viongozi wanawajibika kadiri na nafsi zao..

Wameibua hoja nzito,wamejenga hoja murua za ushauri ikiwemo kuzuia mswaada wa Bima ya Afya Hadi Serikali ije na mswaada wenye tija..

Sasa.Ndugu zangu ikiwa Chama Tawala kimeweza kujikosoa na kuisimamia Serikali Kuna haha gani ya kuwa na Vyama vingi?..

Ukiacha kwamba hivyo Vyama vinaongeza mzigo kwa walipakodi lakini vinashadisia vurugu,matusi na uzushi badala ya kujenga hoja na kuja na njia mbadala..

Miaka ya zamani Mwl.Nyerere aliwahi kuwauliza Watz Kama wanataka Vyama vingi ,majibu Ni hapana ila yeye akalazimisha ili apate kuwafurahisha wazungu..

Kwa maoni yangu,demokrasia sio lazima kuwa westernised Kama Rais wa China alivyoshauri..Demokrasia ya ndani ya Chama Cha CCM inafanya kazi vizuri kwa Nini tulazimishe Vyama vya kuleta vurugu Nchini?

Watanzania wote wamejionea jinsi wabunge wa chama Tawala walivyomudu kuisimamia Serikali,kuikosoa na kuja na maazimia mazito ili kuhakikisha Viongozi wanawajibika kadiri na nafsi zao..
Chawa, chawa, chawa! Mheshimiwa Mungu....
nani kawajibika?
The sunk cost fallacy is our tendency to continue with something we've invested money, effort, or time into—even if the current costs outweigh the benefits.
 
Kama ni Kweli uyasemayo, iweje CCM ilazimishe kuwa COVID 19 ni wabunge wa CDM?

Kwann covid 19 wasijumlishwe na CCM wenzao Ili KAZI iendelee???
Sababu Ni zile zile za kipuuzi za Kutaka kufurahisha Wazungu na kulazimisha Demokrasia ya magharibi, upuuzi huo huo ndio Nyerere alifanya.
 
Unaonekana hujui kitu kimoja, tambua kama wapinzani wangekuwepo huko bungeni, hao wabunge wa CCM unaowasifia wote wangejiunga kuitetea serikali yao hata kwa hayo wanayoyapinga sasa hivi.

Hao ni wababaishaji wasio na misimamo, wakikalishwa kwenye vikao vya chama chao hawaoni aibu kuwageuka watanzania ili kulinda maslahi ya chama chao, ni matapeli.

Inawezekana hata huku kupinga kwao sasa [japo namuona Mpina pekee] inawezekana ni mpango tumechezewa ili warudishe ladha ya lile bunge kwa wananchi, wanajua lilivyopuuzwa.
 
Chawa, chawa, chawa! Mheshimiwa Mungu....
nani kawajibika?
The sunk cost fallacy is our tendency to continue with something we've invested money, effort, or time into—even if the current costs outweigh the benefits.
Jikite kwenye hoja..Je Kuna ulazima wa kuwa na Wapinzani?
 
Unaonekana hujui, kama wapinzani wangekuwepo huko bungeni, hao wabunge wa CCM unaowasifia wote wangejiunga kuitetea serikali yao hata kwa hayo wanayoyapinga sasa hivi.

Hao ni wababaishaji wasio na misimamo, wakikalishwa kwenye vikao vya chama chao hawaoni aibu kuwageuka watanzania ili kulinda maslahi ya chama chao, ni matapeli.

Inawezekana hata huku kupinga kwao sasa [japo namuona Mpina pekee] inawezekana ni mpango tumechezewa ili warudishe ladha ya lile bunge kwa wananchi, wanajua lilivyopuuzwa.
Sasa ndio nasema Hakuna haja ya kuwa na Wapinzani wakati wabunge wa CCM wanaweza ifanya hiyo kazi..
 
Kikao Cha Bunge la 11 kimemalizika Jijini Dodoma..

Watanzania wote wamejionea jinsi wabunge wa chama Tawala walivyomudu kuisimamia Serikali,kuikosoa na kuja na maazimia mazito ili kuhakikisha Viongozi wanawajibika kadiri na nafsi zao..

Wameibua hoja nzito,wamejenga hoja murua za ushauri ikiwemo kuzuia mswaada wa Bima ya Afya Hadi Serikali ije na mswaada wenye tija..

Sasa.Ndugu zangu ikiwa Chama Tawala kimeweza kujikosoa na kuisimamia Serikali Kuna haha gani ya kuwa na Vyama vingi?..

Ukiacha kwamba hivyo Vyama vinaongeza mzigo kwa walipakodi lakini vinashadisia vurugu,matusi na uzushi badala ya kujenga hoja na kuja na njia mbadala..

Miaka ya zamani Mwl.Nyerere aliwahi kuwauliza Watz Kama wanataka Vyama vingi ,majibu Ni hapana ila yeye akalazimisha ili apate kuwafurahisha wazungu..

Kwa maoni yangu,demokrasia sio lazima kuwa westernised Kama Rais wa China alivyoshauri..Demokrasia ya ndani ya Chama Cha CCM inafanya kazi vizuri kwa Nini tulazimishe Vyama vya kuleta vurugu Nchini?

Hapakuwa na vikao vya bunge labda vikao vya kitchen party
 
Back
Top Bottom