JK na wabunge wa CCM Dodoma kimenuka

Kufanya reshuffle?

usipoteze muda, wanaCCM wenye vichwa wanajulikana na wanaCCM wenye akili kama FF wanajulikana

upeo wake wote ndo kaishia hapo, ukiondoa historia, hata ripoti hawezi kuandika, atasumbua kila mtu ...sasa with that shoddy quality unadhani ana upeo upi?
 
bro,.... hivi huwezi kumuona umpe live yaishe?? au ndio haambiliki?

Mtu mdogo kama mimi ntamwona wapi mkuu, zaidi ya wakati wa kampeni za uchaguzi ambapo wote ndani ya CCM ndio mnakuwa familia moja, mnapigwa vumbi na jua pamoja n.k. CCM wakati wa chaguzi mnakuwa kama mpo msibani, hakuna cha mkubwa wala mdogo, wote mnajichanganya. Msiba ukiisha hali ni tofauti.
 
KUDOS.... and i am sure ndani ya CCM hasa jimboni kwako una maadui wengi because most of your party cheerleaders are almost imbeciles

:poa

Iwapo atleast 80% ya viongozi wa CCM Tanzania nzima ni darasa la saba au form four unategemea nini mkuu. Mwalimu hakuwa mjinga kuja na kauli ya chama kwamba "nitasema ukweli daima fitina kwangu mwiko" kwa sababu alijua kutokana na ulimbukeni wa viongozi wengi wa wakati ule, kazi yao itakuwa kuendesha siasa za fitina tu. Na hilo bado tunaliona hadi leo. Lakini hakuna kitu kizuri kama kumwambia mtu ukweli. Ni bora nikusanye maadui wanaotokana na mimi kuongea ukweli kuliko kukusanya maadui wanaotokana na mimi kuwa mfitini.

Nyerere aliwahi kutamka kwamba:

"Ukweli una tabia moja nzuri sana. Haujali mkubwa wala mdogo; haujali adui wala rafiki. Kwake watu wote ni sawa. Pia ukweli unayo tabia ya kujilipiza kisasi kama ukipuuzwa. Ukiniona nataka kulipiga teke jiwe kwa kuwa nafikiri kuwa ni dongo au mpira, natumaini utanionya. Lakini nikilipuuza onyo lake kwa sababu eti wewe ni mdogo au kwa sababu sikupendi, nikalipiga teke, basi litanivunja dole japo ningekuwa nani. Ukweli haupendi kupuuzwa puuzwa".

J.K. Nyerere – Tujisahihishe, 1962.
 
Mtu mdogo kama mimi ntamwona wapi mkuu, zaidi ya wakati wa kampeni za uchaguzi ambapo wote ndani ya CCM ndio mnakuwa familia moja, mnapigwa vumbi na jua pamoja n.k. CCM wakati wa chaguzi mnakuwa kama mpo msibani, hakuna cha mkubwa wala mdogo, wote mnajichanganya. Msiba ukiisha hali ni tofauti.
kuna msemo kiranga ameweka sehemu unasema singularity is near.... well he is an atheist, but to me i think we are heading towards tanzania, and leave politiki with the FF pact, who will perish in no time as their role (ushabiki mandazi) utakua umebanwa sana
 
Iwapo atleast 80% ya viongozi wa CCM Tanzania nzima ni darasa la saba au form four unategemea nini mkuu. Mwalimu hakuwa mjinga kuja na kauli ya chama kwamba "nitasema ukweli daima fitina kwangu mwiko" kwa sababu alijua kutokana na ulimbukeni wa viongozi wengi wa wakati ule, kazi yao itakuwa kuendesha siasa za fitina tu. Na hilo bado tunaliona hadi leo. Lakini hakuna kitu kizuri kama kumwambia mtu ukweli. Ni bora nikusanye maadui wanaotokana na mimi kuongea ukweli kuliko kukusanya maadui wanaotokana na mimi kuwa mfitini.
well we have the FF's everywhere
 
Mie nafikiri akipigiwa kura ya kutokuwa na imani naye basi na urais wake una koma, kunaitishwa uchaguzi mwingine. Sijui hapo heshima yake itakurudi vipi?

Nafikiri heshima itarudi baada ya kushindwa ktk uchaguzi na kukubali matokeo. Maana kura kura hiyo ikipigwa sioni kama atarudi tena kwa kura sahihi.
 
Mie nafikiri akipigiwa kura ya kutokuwa na imani naye basi na urais wake una koma, kunaitishwa uchaguzi mwingine. Sijui hapo heshima yake itakurudi vipi?

Nafikiri heshima itarudi baada ya kushindwa ktk uchaguzi na kukubali matokeo. Maana kura kura hiyo ikipigwa sioni kama atarudi tena kwa kura sahihi.
hakuna wabunge walio tayari kurudi majimboni kuanza kampeni... kama wapo basi hawafiki 30 mkuu

hakuna hiyo kitu na anajua hawawezi kupiga kura ndio maana anawaambia wafanye, wabunge have more to lose than JK when it comes to kura ya imani
 
If anything all this proves we are a stupid lot according to the government, maana sielewi kiongozi wa chama na serikali anaweza vipi pitwa na muswada muhimu kama huu kabla aujafika bungeni na kujadiliwa. Or this emphasizes the argument of those who'd be warning us raisi wetu ana muda, yeye sasa anafuata upepo kutokana na kutokuwa makini na siasa za ndani na wasaidizi wake kujianizia bila ya izini yake yake regardless ana mlango wa kutokea, Mr President is useless to say the least.
Nilikuwa nafikiria, nieleze vipi maoni yangu.....
Halafu ukajitokeza na kushusha nondo hizi.
Hili ndiyo la kujiuliza, kuna mazingaombwe yanaendelea ila nilijua one of the great thinkerz hapa atang'amua.

Umeufunga mjadala.
 
If anything all this proves we are a stupid lot according to the government, maana sielewi kiongozi wa chama na serikali anaweza vipi pitwa na muswada muhimu kama huu kabla aujafika bungeni na kujadiliwa. Or this emphasizes the argument of those who'd be warning us raisi wetu ana muda, yeye sasa anafuata upepo kutokana na kutokuwa makini na siasa za ndani na wasaidizi wake kujianizia bila ya izini yake yake regardless ana mlango wa kutokea, Mr President is useless to say the least.

Lakini kama tunakumbuka, kuna taarifa zilivuja kwamba katika mkutano wake wa kwanza na Chadema, Rais aliwaeleza kwamba analifahamu fika suala wanalolizungumza Chadema lakini akifanya tofauti na maamuzi ya wabunge wa CCM, wabunge wa CCM pamoja na CCM kwa ujumla hawatamwelewa. Kwahiyo sio kweli kwamba Rais hakuwa makini kujua kilichojiri ndani ya muswada. Nadhani ni sahihi zaidi kusema kwamba, awali Rais alitawaliwa na uwoga juu ya kukubaliana na hoja za Chadema, jambo ambalo katika kikao chake na Chadema cha mara ya pili, ameamua liwalo liwe.
 
Lakini kama tunakumbuka, kuna taarifa zilivuja kwamba katika mkutano wake wa kwanza na Chadema, Rais aliwaeleza kwamba analifahamu fika suala wanalolizungumza Chadema lakini akifanya tofauti na maamuzi ya wabunge wa CCM, wabunge wa CCM pamoja na CCM kwa ujumla hawatamwelewa. Kwahiyo sio kweli kwamba Rais hakuwa makini kujua kilichojiri ndani ya muswada. Nadhani ni sahihi zaidi kusema kwamba, awali Rais alitawaliwa na uwoga juu ya kukubaliana na hoja za Chadema, jambo ambalo katika kikao chake na Chadema cha mara ya pili, ameamua liwalo liwe.

Kwani tatizo la wabunge wa ccm na na jk ni nini hasa?
 
unajua ukitaka kupandisha chati Tanzania iliyofilisika na kuiweka ktk kiwango cha kimataifa na pia wewe kuheshimika ni kufanya kitu kidogo sana.

RAIS jiuzulu vunja bunge, itisha uchaguzi mpya harafu wewe hugombei.
 
usipoteze muda, wanaCCM wenye vichwa wanajulikana na wanaCCM wenye akili kama FF wanajulikana

upeo wake wote ndo kaishia hapo, ukiondoa historia, hata ripoti hawezi kuandika, atasumbua kila mtu ...sasa with that shoddy quality unadhani ana upeo upi?
ni kweli mwana ccm FF huwezi hata siku moja kumfananisha na mwana ccm mchambuzi. ni vitu viwili tofauti mmoja ni kichwa mwingine ni kilaza..
 
Lakini kama tunakumbuka, kuna taarifa zilivuja kwamba katika mkutano wake wa kwanza na Chadema, Rais aliwaeleza kwamba analifahamu fika suala wanalolizungumza Chadema lakini akifanya tofauti na maamuzi ya wabunge wa CCM, wabunge wa CCM pamoja na CCM kwa ujumla hawatamwelewa. Kwahiyo sio kweli kwamba Rais hakuwa makini kujua kilichojiri ndani ya muswada. Nadhani ni sahihi zaidi kusema kwamba, awali Rais alitawaliwa na uwoga juu ya kukubaliana na hoja za Chadema, jambo ambalo katika kikao chake na Chadema cha mara ya pili, ameamua liwalo liwe.
HAPANA MKUU MCHAMBUZI.

Rais ndiye kiongozi pekee anayewakilisha watanzania bungeni.
Posho za wabunge ni sheria ya nchi yetu.
Rais hatakiwi ku-caucus na wabunge, bali wananchi kwa faida yetu na vizazi vijavyo.
Kila mswaada wa bunge hauna budi uwe na "bullet-proof" ya rais. Kabla hata haujapigiwa kura.
Je, kabla ya kupitishwa mswaada huu, rais alisema ataupitisha? i.e atapiga signature yake?
Akisema hajaubariki, ina maana atatia saini au hatatia saini?....
Au saini ya rais haihitajiki?
 
MkamaP,
Kuhusu swali lako: kinachoendelea ni kwamba - kwa mujibu wa taarifa zinazoenea, wabunge wa CCCM feel offended na kitendo cha Rais Kikwete kukubali mapendekezo ya Chadema kwamba kuna ulazima wa kubadilisha mambo kadhaa ndani ya muswada uliopitishwa na bunge la CCM na CUF mwaka jana, kuhusu mchakato wa katiba mpya. Nasema bunge la CCM na CUF kwasababu wabunge wote wa Chadema (pia nadhani na wachache kutoka NCCR) walisusa na hivyo kutoka nje ya bunge, huku wabunge wa CCM wakiongozwa na kina Anne Kilango na wengine wengi, wakiwazomea. Wabunge wa CCM wanadai kwamba kitendo cha rais kukubali kwa mfano mchakato usimamiwe na wakurugenzi wa halmashari/manispaa kama Chadema wanavyotaka, badala ya wakuu wa wilaya kama wabunge wa CCM wanavyotaka, kitafanya mchakato huo uwe controlled na Chadema kwa madai kwamba wakurugenzi wa halmashauri nchini ni wanachama wa chadema.

Ufa huu baina ya Rais na Wabunge umepanuka zaidi pale alipokataa kuidhinisha ongezeko la posho zao. Kwahiyo hivi sasa ni mkakati wa wewe mwaga ugali, sisi tunamwaga mboga. Na tumeona miswaada miwili ya serikali wiki iliyopita yote ikipigwa chini na wabunge wa CCM. Kwa kifupi hali ndio imekaa hivyo. Tunabaki kushangaa zile kauli za 'ndiyoooooooooo', zikiambatana na makofi kwenye meza kuunga hata hoja zile za kumchekesha matonya, sijui mzuka ule umeenda wapi.
 
Chanzo: Mimi mwenyewe nikiwa Dodoma mjengoni.
Siko Dodoma na sikuwa na sababu ya ku doubt unachoripoti, kwa hiyo nikakusoma mpaka pale ulipomwaga upupu wa "Usalama wa Taifa wamemweleza baraza zima haliko kazini..." Such pathetic doofus lies... Usama wa Taifa wanashauri kuondoa baraza la mawaziri!

 
Mkuu Mchambuzi, everyone knows what the real issue is. In TZ, the head of state is backed by a constitution that gives him/her almost absolute power. For EL to paralyze the country for his stupid almost maniac quest to be the future president, and JK for no good reason to let him do that, ITS JK's FAULT AND NO ONE ELSE.

Rais wangu JK, ebu mpe huyu mtu kesi ya uhujumu uchumi, halafu mahakama itumie taratibu za haki tupate verdict yeyote whether Guilty or not guilty, lakini MSG itakuwa sent, na wapuuzi wote kina Beatrice shelukindo na wengine watatulia na kujua NCHI NI MUHIMU kuliko ambition za kipuuzi za kuja kutuibia huko mbeleni.

Hizi vurugu zote za kumtisha rais ni upuuzi wa hili group, ambalo kwa kweli siku zinavyokwenda wanazidi kuja na guts za ajabu, SASA WANAMTISHA RAIS TENA MBELE YA BUNGE (CCM Bunge caucus), eti tutampigia kura ya kutokuwa na imani, REALLY??

May God Bless Tanzania
 
MkamaP,
Kuhusu swali lako: kinachoendelea ni kwamba - kwa mujibu wa taarifa zinazoenea, wabunge wa CCCM feel offended na kitendo cha Rais Kikwete kukubali mapendekezo ya Chadema kwamba kuna ulazima wa kubadilisha mambo kadhaa ndani ya muswada uliopitishwa na bunge la CCM na CUF mwaka jana, kuhusu mchakato wa katiba mpya. Nasema bunge la CCM na CUF kwasababu wabunge wote wa Chadema (pia nadhani na wachache kutoka NCCR) walisusa na hivyo kutoka nje ya bunge, huku wabunge wa CCM wakiongozwa na kina Anne Kilango na wengine wengi, wakiwazomea. Wabunge wa CCM wanadai kwamba kitendo cha rais kukubali kwa mfano mchakato usimamiwe na wakurugenzi wa halmashari/manispaa kama Chadema wanavyotaka, badala ya wakuu wa wilaya kama wabunge wa CCM wanavyotaka, kitafanya mchakato huo uwe controlled na Chadema kwa madai kwamba wakurugenzi wa halmashauri nchini ni wanachama wa chadema.

Ufa huu baina ya Rais na Wabunge umepanuka zaidi pale alipokataa kuidhinisha ongezeko la posho zao. Kwahiyo hivi sasa ni mkakati wa wewe mwaga ugali, sisi tunamwaga mboga. Na tumeona miswaada miwili ya serikali wiki iliyopita yote ikipigwa chini na wabunge wa CCM. Kwa kifupi hali ndio imekaa hivyo. Tunabaki kushangaa zile kauli za 'ndiyoooooooooo', zikiambatana na makofi kwenye meza kuunga hata hoja zile za kumchekesha matonya, sijui mzuka ule umeenda wapi.
Kuhusu katiba, wala sidhani kama ni big deal. Kitu ambacho wapinzani wangemkwaza JK ni kuhusu status ya muungano.
Katika status ya sasa hivi ya muungano, democracy is a bit tainted kwani unazuia mambo mengi kama vile mgombea binafsi etc...
Kwa hiyo, hata kama wakuu wa vituo vya polisi watasimamia mchakato huu, au tuseme hata kama wanafunzi wa UDSM watasimamia, hakuna cha maana kitakachofanyika.
Suala la posho ndiyo linalonitatiza sana. Imekuwaje wabunge na Rais wagombane kuhusu posho?, akataze kuongezwa kwa posho,period. Sioni kwanini anataka kuongea nao.
 
Mkuu umechambua vizuri sana nimekugongea thanks kubwaa! Wabunge wa ccm wana kazi kubwa kwenye sura za watz na hili wanatakiwa walijue tangu sasa, manake wanaonekana kama wasaliti wa wananchi.
MkamaP,
Kuhusu swali lako: kinachoendelea ni kwamba - kwa mujibu wa taarifa zinazoenea, wabunge wa CCCM feel offended na kitendo cha Rais Kikwete kukubali mapendekezo ya Chadema kwamba kuna ulazima wa kubadilisha mambo kadhaa ndani ya muswada uliopitishwa na bunge la CCM na CUF mwaka jana, kuhusu mchakato wa katiba mpya. Nasema bunge la CCM na CUF kwasababu wabunge wote wa Chadema (pia nadhani na wachache kutoka NCCR) walisusa na hivyo kutoka nje ya bunge, huku wabunge wa CCM wakiongozwa na kina Anne Kilango na wengine wengi, wakiwazomea. Wabunge wa CCM wanadai kwamba kitendo cha rais kukubali kwa mfano mchakato usimamiwe na wakurugenzi wa halmashari/manispaa kama Chadema wanavyotaka, badala ya wakuu wa wilaya kama wabunge wa CCM wanavyotaka, kitafanya mchakato huo uwe controlled na Chadema kwa madai kwamba wakurugenzi wa halmashauri nchini ni wanachama wa chadema.

Ufa huu baina ya Rais na Wabunge umepanuka zaidi pale alipokataa kuidhinisha ongezeko la posho zao. Kwahiyo hivi sasa ni mkakati wa wewe mwaga ugali, sisi tunamwaga mboga. Na tumeona miswaada miwili ya serikali wiki iliyopita yote ikipigwa chini na wabunge wa CCM. Kwa kifupi hali ndio imekaa hivyo. Tunabaki kushangaa zile kauli za 'ndiyoooooooooo', zikiambatana na makofi kwenye meza kuunga hata hoja zile za kumchekesha matonya, sijui mzuka ule umeenda wapi.
 
Kuhusu katiba, wala sidhani kama ni big deal. Kitu ambacho wapinzani wangemkwaza JK ni kuhusu status ya muungano.
Katika status ya sasa hivi ya muungano, democracy is a bit tainted kwani unazuia mambo mengi kama vile mgombea binafsi etc...
Kwa hiyo, hata kama wakuu wa vituo vya polisi watasimamia mchakato huu, au tuseme hata kama wanafunzi wa UDSM watasimamia, hakuna cha maana kitakachofanyika.
Suala la posho ndiyo linalonitatiza sana. Imekuwaje wabunge na Rais wagombane kuhusu posho?, akataze kuongezwa kwa posho,period. Sioni kwanini anataka kuongea nao.

Chini ya katiba ya sasa, mkuu wa wilaya ana mamlaka ya kumweka mtu ndani kwa masaa 24 bila sababu yoyote. Kwa maana hii, ukikutana bar na mkuu wa wilaya halafu yeye awe na hisia kwamba umemnunulia bia kimada wake, hiyo ni tosha kukuweka ndani nakuamuru utolewe kesho yake. Sasa hawa ni wa kuwapa usimamizi wa shughuli hii kweli?

Kuhusu wewe kutatizwa na suala la posho, inabidi uelewe the entire politics evolving;
 
Mkuu Mchambuzi, everyone knows what the real issue is. In TZ, the head of state is backed by a constitution that gives him/her almost absolute power.

Upo sahihi, lakini tatizo lililopo ni kwamba, tangia uhuru, Serikali ya Tanzania imekuwa inaendesha nchi yetu kupitia katiba ya chama cha mapinduzi zaidi, huku ikikiuka katiba ya nchi kila kukicha. Kwa maana hii, ukishika chama, umeshika nchi.

Mifano ni mingi, lakini mikubwa ni kwamba kwa miaka karibia 13, yani between muungano 1964 na 1977, Tanzania haikuwa na katiba, bali katiba ya mpito. Ndio maana katiba ya sasa inaitwa katiba ya 1977. Mfano mwingine ni kwamba, kama unavyokumbuka, Maalim Seif na Hamad Rashid walifukuzwa CCM miaka ya 1980 na kuwekwa kizuizini kwa muda. Lakini Katiba ya Tanzania haina kipengele kinachoelezea hatima ya mbunge aliyefukuzwa ni nini, badala yake inaelezea hatima ya mbunge kufariki au kujiuzulu. Ndio maana Hamad na Kafulila, kama wakitaka wataendelea na ubunge kupitia vyama vyao hadi 2015. Suala la kuwafukuza Maalim Seif na Hamad miaka ile liliwezekana kwa sababu Tanzania ilikuwa inaongozwa na katiba ya CCM iliyoweka wazi jinsi gani mtu anaweza poteza uanachama including kufukuzwa, huku katiba ya nchi ikimkinga kwa kiasi fulani iwapo suala ni "kufukuzwa". Ndio maana hata suala la magamba, hakuna atakayeweza kufukuzwa kirahisi hivyo kwani wakikimbilia kwenye katiba ya nchi, wao bado wabunge. Inawezekana pale tu mbunge anapoamua kuacha kiti kwa ridhaa yake, kupoteza jimbo au kufariki dunia.

Tatizo lililopo ni kwamba nchi hii ilijengewa mazingira kama vile CCM na Utanzania vingebakia kama chanda na pete daima.
 
Back
Top Bottom