TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,890
- 11,288
Kufanya reshuffle?
usipoteze muda, wanaCCM wenye vichwa wanajulikana na wanaCCM wenye akili kama FF wanajulikana
upeo wake wote ndo kaishia hapo, ukiondoa historia, hata ripoti hawezi kuandika, atasumbua kila mtu ...sasa with that shoddy quality unadhani ana upeo upi?