JK na wabunge wa CCM Dodoma kimenuka

JK na wabunge wa CCM Dodoma kimenuka

Baija Bolobi

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2009
Posts
1,093
Reaction score
1,737
Wana jamvi
Hapa Dodoma kimenuka. JK kafika kutoka MWZ ili kuonana na wabunge. Wabunge wa CCM wakaitwa na kuingizwa ukumbini ili kumsubiri. Awali Katibu wao Jenester Mhagama alitoa tangazo kupitia Naibu Spika kuwa wabunge wote waache simu zao wazi ili kuitwa wakihitajika.
JK aliendelea kupata briefings na kuambiwa hali ni mbaya. Akashauriwa afanye reshuffle upesi ili kupoza moto. Kama kawaida akawa mbishi, lakini pia akasita kuingia ukumbini kuonana na wabunge. Mwishowe wabunge wameambiwa waende kulala kwa sababu JK bado ana kikao na watendaji.
Kuna hatari kesho ya reshufle. Mawaziri wote matumbo moto hususan Afya, Nishati, Fedha na Ujenzi. Vijana wa TISS wamemweleza kuwa baraza zima ni kama haliko kazini isipokuwa wizara moja tu- Ya Pombe Magufuli.
Vijana wa TISS wameingia kazini kwa kasi sana usiku huu kujaribu kubadili upepo miongoni mwa wabunge.

Chanzo: Mimi mwenyewe nikiwa Dodoma mjengoni.
 
Kwahiyo?? yupo na watendaji gani?
Pinda na Makinda hawa hawa aliowakana?
Watamwambia nini?
Au yupo na Ndugai......Bwana posho!!
 
acha watibuane, wafukunyuane mpaka wadhiilike mbele ya umma kuwa wabunge wa ccm ni wabovu pamoja na mwenyekiti wao. Mkuu tunashukuru kwa update tupo in touch
 
mamaaaaaaaaaaa...
naiwaza tanzania bila jakaya na ccm..
bado tuna safari ndefu
madaktari bingwa nao kinanukia sijui tunakwenda wapi...
neema ya Mungu ishuke tu
 
Haya ni madhara ya kwenda Chako ni Chako ukitegemea bia sh. 1,600/= kumbe bei imepanda kuanzia jana!
 
Wana jamvi
Hapa Dodoma kimenuka. JK kafika kutoka MWZ ili kuonana na wabunge. Wabunge wa CCM wakaitwa na kuingizwa ukumbini ili kumsubiri. Awali Katibu wao Jenester Mhagama alitoa tangazo kupitia Naibu Spika kuwa wabunge wote waache simu zao wazi ili kuitwa wakihitajika.
JK aliendelea kupata briefings na kuambiwa hali ni mbaya. Akashauriwa afanye reshuffle upesi ili kupoza moto. Kama kawaida akawa mbishi, lakini pia akasita kuingia ukumbini kuonana na wabunge. Mwishowe wabunge wameambiwa waende kulala kwa sababu JK bado ana kikao na watendaji.
Kuna hatari kesho ya reshufle. Mawaziri wote matumbo moto hususan Afya, Nishati, Fedha na Ujenzi. Vijana wa TISS wamemweleza kuwa baraza zima ni kama haliko kazini isipokuwa wizara moja tu- Ya Pombe Magufuli.
Vijana wa TISS wameingia kazini kwa kasi sana usiku huu kujaribu kubadili upepo miongoni mwa wabunge.

Chanzo: Mimi mwenyewe nikiwa Dodoma mjengoni.

Mkuu waliokuwa wanamshauri kufanya mabadiliko ni akina nani?make kwenye taarifa unaonyesha hakuonana na wabunge,ubishi wake kuna siku utafika mwisho nadhani somo alilolielewa kwenye uongozi ni kutokukubali ushauri,mawaziri wengi ni mzigo sana hata kuwajadili unaona kama ni kuwapandisha sifa.
 
TISS hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee RO hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee tumesikia vitu vyenu Dodoma
 
reshuffle inayohitajika ni ya serkali nzima yaani ikulu, wizara, bunge na mahakama pamoja na usalama wa taifa aka usalama wa ccm.
 
Kama kweli hawamsaidi Rais vya kutosha mabadiliko ni muhimu. Angalia hata suala la posho bungeni mawaziri hawakuisaidia serikali ingawa Rais alionyesha msimamo kwamba sio wakati muafaka.
 
Wana jamvi
Hapa Dodoma kimenuka. JK kafika kutoka MWZ ili kuonana na wabunge. Wabunge wa CCM wakaitwa na kuingizwa ukumbini ili kumsubiri. Awali Katibu wao Jenester Mhagama alitoa tangazo kupitia Naibu Spika kuwa wabunge wote waache simu zao wazi ili kuitwa wakihitajika.
JK aliendelea kupata briefings na kuambiwa hali ni mbaya. Akashauriwa afanye reshuffle upesi ili kupoza moto. Kama kawaida akawa mbishi, lakini pia akasita kuingia ukumbini kuonana na wabunge. Mwishowe wabunge wameambiwa waende kulala kwa sababu JK bado ana kikao na watendaji.
Kuna hatari kesho ya reshufle. Mawaziri wote matumbo moto hususan Afya, Nishati, Fedha na Ujenzi. Vijana wa TISS wamemweleza kuwa baraza zima ni kama haliko kazini isipokuwa wizara moja tu- Ya Pombe Magufuli.
Vijana wa TISS wameingia kazini kwa kasi sana usiku huu kujaribu kubadili upepo miongoni mwa wabunge.

Chanzo: Mimi mwenyewe nikiwa Dodoma mjengoni.

Asante kwa taarifa mkuu. Lakini hali mbaya ipo mitaani na majumbani mwa watu kutokana na mfumuko wa bei, ukosefu wa haki za msingi kiuchumi, kijamii na kisiasa miongoni mwa wengi na mambo kama hayo. Iwapo Rais atafanya hayo mabadiliko ili kuokoa hali mbaya ya wabunge, bila kulenga hali mbaya ya wananchi, nchi itaendelea kuwa katika hali mbaya, pengine zaida. Tunatarajia mabadiliko hayo kama yanakuja, yasilenge kuokoa hali mbaya katika mahusiano ya Rais na wabunge bali, serikali ya CCM na wananchi. Huo ndio utakuwa uongozi bora.
 
Mkuu waliokuwa wanamshauri kufanya mabadiliko ni akina nani?make kwenye taarifa unaonyesha hakuonana na wabunge,ubishi wake kuna siku utafika mwisho nadhani somo alilolielewa kwenye uongozi ni kutokukubali ushauri,mawaziri wengi ni mzigo sana hata kuwajadili unaona kama ni kuwapandisha sifa.
=======
Waliokuwa wanamshauri ni viongozi wa CCM ndani ya bunge (kamati ya CCM) - Mhagama, Ndugai, PM na wajumbe wa Kamati Kuu walio katika serikali. Walikuwapo pia viongozi waandamizi wa TISS. Yeye kang'ang'ania eti Beatrice Shelukindo na wenzake wampigie kura ya kukosa imani naye. Mbishi kweli.
 
reshuffle inayohitajika ni ya serkali nzima yaani ikulu, wizara, bunge na mahakama pamoja na usalama wa taifa aka usalama wa ccm.

reshuffle hii ni ya chadema ya Jk tumwachie mwenyewe kadri atakavyoona inakidhi matakwa na mahitaji ya wakati.
 
Hahahahaahaahah JF siku hizi unaweza post chochote kutoka chanzo chochote! Home of Great thinker

tetesi ndiyo mwanzo wa habari,kama ukifuatilia kwa makini hizi habari toka dodoma zimekuwa za kweli mara nyingi,inavyoonekana kwako hao viongozi kutajwa kirahisi hivyo haiwezekani,hao ni watu wa kawaida kabisa mkuu,umenikumbusha wakati huo ambao nilikuwa mdogo kumwona waziri nilikuwa naona maajabu sana!!!bado leo waziri akienda mikoani watu wanatetemeka wakati hapa dar tunakunywa nao kwenye mabaa,jk akipita na msafara wake tunaunga ili kuepuka foleni kwa siku hiyo.
 
ni zama zake mabadiliko
ni zamu zao mahangaiko
ni hamu ya kuu anguko
watanganyika watachukua nchi yao.

sokoine wa sasa atarudi
kuchapa makuhadi
ufisadi hata nadi
jasho damu wanaililia nchi yao

nyerere yuko wapi
wanafunzi wake wako wapi
dira watanganyika hawawapi
nchi yao rasilimali zao zatokomezwa.

mandela njoo sasa
mkuruma rudi sasa
naser fufuka sasa
michael satta njoo huku

uchungu wa masikini hawana
machozi ya wajane hayana maana
ujinga mtoto mtanzania si manana
raha zao kero zetu kero zetu raha zao
 
I wish avunje baraza lote la mawaziri kuanzia waziri mkuu mpaka manaibu! Aweke sura mpya wachache wachapakazi waachwe.
 
Back
Top Bottom