JK amteua Jaji Kiongozi mpya

JK amteua Jaji Kiongozi mpya

Kwa nini JK ateue karibu kila mtu???

hakuna vyombo vingine vya kuteua?


Ndiyo maana Mahakama hutoa hukumu hata saa 8 za usiku iwapo Serikali ina manufaa! Si wakumbuka hukumu ya Mahakama ya KAzi dhidi ya mgomo wa Walimu? Kuna Mwanazuoni mmoja mashuhuri alishangazwa hukumu kutolewa baada ya saa za kazi tena usiku!
 
Bado mpo.. I'm so done. Mambo mengine ninawaachia muendelee. Next.

Mzee Mwanakijiji, sioni sababu ya watu kukushambulia kiasi hiki. Naamini wamekereka na ukweli uliowazi katika mada yako. Ikumbukwe kuwa ulichosema ni kuhusu uteuzi wa Jundu na ukweli kuwa hakukulia mahakamani na kwamba tangu ameteuliwa kuwa Jaji hana muda mrefu. Masuala ya dini yake hukuyaanzisha wewe na anayejaribu kukuita mwongo lazima ana lake jambo. Tatizo letu wanaJF tunashindwa kuapreciate information na tunajaribu kuficha uozo wetu kwa kukosoa vitu vidogovidogo.

Mimi nitasema na sitachoka kusema kuwa nchi hii inaenda pabaya kwa teuzi hizi za kidini. Siamini na sitaki niamini kuwa Jundu ndiye Jaji Makini na Bora kuliko majaji wengine wote ambao waliteuliwa kabla yake. Na sidhani kuwa ni coincidence tu kwamba Majaji Viongozi wote walioteuliwa katika enzi za Maraisi wa awamu ya pili hadi sasa ni wa madhehebu ya aina moja. Lazima kuna kitu hapa ambacho kinafanyika na ambacho si kizuri kwa mstakabali wa nchi yetu. JK alianzia kwa mabalozi, akaingia majaji na sasa katika kipindi chake ameweka rekodi ya kuteua Majaji Kiongozi wawili ambao wana uzoefu kiduchu katika Mahakama. Hata majaji aliowateua kuingia mahakama kuu na mahakama ya rufani waliacha watu vinywa wazi. Je hii ndiyo tanzania tunayoijenga? Mtu akisema anashambuliwa kuwa kadanganya. Ninajua kuwa baadhi yetu tunamfahamu vilivyo Ndugu Fakihi Jundu na integrity yake pia inajulikana, but hii siyo forum ya kuanza hayo. Mwenye access na Kikwete amwambie kuwa anachofanya katika Taasisi zetu za umma ni kujenga uadui ambao utazalisha matatizo ambayo hatutaweza kuyathibiti in the long run. mwnyw kutukana na aendelee kutukana, but the truth/reality must be said!
 
Mimi nitasema na sitachoka kusema kuwa nchi hii inaenda pabaya kwa teuzi hizi za kidini. Siamini na sitaki niamini kuwa Jundu ndiye Jaji Makini na Bora kuliko majaji wengine wote ambao waliteuliwa kabla yake. Na sidhani kuwa ni coincidence tu kwamba Majaji Viongozi wote walioteuliwa katika enzi za Maraisi wa awamu ya pili hadi sasa ni wa madhehebu ya aina moja. Lazima kuna kitu hapa ambacho kinafanyika na ambacho si kizuri kwa mstakabali wa nchi yetu. JK alianzia kwa mabalozi, akaingia majaji na sasa katika kipindi chake ameweka rekodi ya kuteua Majaji Kiongozi wawili ambao wana uzoefu kiduchu katika Mahakama. Hata majaji aliowateua kuingia mahakama kuu na mahakama ya rufani waliacha watu vinywa wazi. Je hii ndiyo tanzania tunayoijenga? Mtu akisema anashambuliwa kuwa kadanganya. Ninajua kuwa baadhi yetu tunamfahamu vilivyo Ndugu Fakihi Jundu na integrity yake pia inajulikana, but hii siyo forum ya kuanza hayo. Mwenye access na Kikwete amwambie kuwa anachofanya katika Taasisi zetu za umma ni kujenga uadui ambao utazalisha matatizo ambayo hatutaweza kuyathibiti in the long run. mwnyw kutukana na aendelee kutukana, but the truth/reality must be said!


Jobo kumbuka argument zako kwenye uteuzi wa majaji 2008. Udini!
 
Jobo kumbuka argument zako kwenye uteuzi wa majaji 2008. Udini!

Una kumbukumbu nzuri Mama! Naona bado anaendeleza yale yale na mimi kazi yangu ni kusema hadi pale Watanzania watakapoanza kuthamini uwezo wa mtu siyo dini, kabila au jinsia yake!
 
Last edited:
Wanaotukana mpaka sasa hawajatuletea Jaji Jandu aliteuliwa lini.
Siyo ukweli wote kuwa uzoefu siyo issue katika uteuzi kwa sababu Jaji Kiongozi ni mtawala wa mahakama Kuu. Tusianze mjadala mpya, bali tuletewe aliteuliwa lini?
 
Ndiyo maana Mahakama hutoa hukumu hata saa 8 za usiku iwapo Serikali ina manufaa! Si wakumbuka hukumu ya Mahakama ya KAzi dhidi ya mgomo wa Walimu? Kuna Mwanazuoni mmoja mashuhuri alishangazwa hukumu kutolewa baada ya saa za kazi tena usiku!

Salam Mkuu Ibrah;
Kutokana na Umuhimu wa taasisi hiyo (MAHAKAMA) Inabidi Majaji wa daraja fulani wawe kazini 24/7. Kama vile RAIS anakuwa kazini 24/7. hii ni kwa sababu ya mtukio ya DHARURA yanayohitaji IDHINI maalumu toka kwa Jaji au RAIS ili chombo cha serekali (Dola) kiweze kutekeleza WAJIBU wake kwa MUJIBU WAKATIBA AU SHERIA. pengine mgomo wa Waalimu haukuwa na umuhimu au dharura ya hivyo na ndio maana mwanachuo wetu alishangazwa, au tukio hilo ni geni kwake, kwani kwa nchi zilizobobea kisheria hayo ni matukio na maamuzi ya kawaida.
 
Dotori [* said:
Vile vile tuangalie upande mwingine wa shilingi. Je, inawezekana Raisi akawa anateua majaji "marafiki" ili watoe hukumu "nafuu" kwa "washtakiwa marafiki"?
[/LIST]

Now you are TALKING
Kila ngoma huanza na lele!!!! na hivi ndiyo walianza. Hawa watu ni hatari sana. They know technically how to do it. Now tayari kuna mtu wao amabye ni kinara wa majaji. Unategemea simba atamla simba mwenzake? Haitakuwa hivyo kamwe.
 
Last edited:
Tanzania inahitaji katiba mpya kwaajili ya kukabilana na changamoto za wakati wa sasa.Katiba yetu inampa rais madaraka makubwa kupita kiasi,hakuna sababu za msingi rais kuendelea kuteua majaji.kiundwe chombo huru kitakacho shughulika na ajira za majaji na wasajili wa mahakama kuu ili kuepukana na uteuzi ulio na mashaka unaofanywa na JK na hata rais atakaekuja baadaye.

Uteuzi wa jaji Jundu ni sehemu ndogo sana ya mdudu kulindana na kubebana kwa misingi ya ukabila,udini na urafiki anavyozidi kuliangamiza taifa.Kuna uteuzi wa mkuu wa mkoa nadhani wa Iringa aliteuliwa kuwa mkuu wa wilaya ndani ya miezi nadhani miwili akapandishwa cheo kuwa mkuu wa Iringa.
 
Una kumbukumbu nzuri Mama! Naona bado anaendeleza yale yale na mimi kazi yangu ni kusema hadi pale Watanzania watakapoanza kuthamini uwezo wa mtu siyo dini, kabila au jinsia yake!


Je Jaji Jundu hana uwezo?
 
Mwanakijiji tunashukuru kwa habari hiyo,kama una zaidi kuhusu hilo turushie.Teuzi nyingi zinazofanywa sasa zina maswali mengi lakini tusubiri muda utatuambia yanayojiri.
 
Baadhi tu ya uzoefu wa Jaji Fakhi Jundu . Ni habari za zamani kidogo lakini haidhuru kuzisoma!

19.08.2008 0101 EAT

Ahukumiwa kunyongwa kwa kuchinja kichanga

Na Anita Boma, Iringa
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Iringa, imemhukumu Julio Makombe
(47), adhabu ya kunyongwa hadi kufa, baada ya kupatikana na hatia ya kukichinja kichanga cha wiki mbili, kutokana na mkewe kuzaa nje ya ndoa.
Jaji Fakhi Jundu, alitoa hukumu hiyo jana, baada ya kuridhika na ushahidi uliotolewa mahakamani, ukiwemo wa Stella Mbata (38) mama wa kichanga icho, Mwamvita Kiyeyeu.
Akitoa hukumu hiyo, Jaji Jundu alisema anatoa adhabu hiyo iwe fundisho kwa watu wengine wenye tabia ya kujichukulia sheria mkononi na kukatisha maisha ya wengine, hususan watoto ambao hawana hatia.
"Nimezingatia ushahidi uliotolewa mahakamani, pia ushahidi wako katika Mahakama ya Wilaya ulikubali kuwa ulikichinja kitoto hicho eti kwa sababu ulimchukia kwa kuwa mkeo hakuzaa na wewe. Hukuwa na sababu ya kuchukua uamuzi huo," alisema Jaji Jundu.
Jaji Jundu alisema kitendo hicho ni cha kinyama, ikizingatiwa mshitakiwa alimkimbia mkewe kwa miaka miwili na yeye katika kipindi hicho alizaa nje ya ndoa.
Stella akitoa ushahidi katika Mahakama ya Wilaya alidai waliishi na Makombe kama mke na mume kwa muda mrefu na walizaa watoto sita, wawili kati yao walikufa.
Alidai mwaka 2002, Makombe alisafiri kwenda wilayani Kilolo, ambako alikaa kwa miaka miwili bila ya kuwa na mawasiliano na hakuwa akitoa huduma zozote. Katika kipindi hicho alipata mwanaume mwingine, Pangalas Kiyeyeu aliyezaa naye.
Stella alidai Machi, 2004 Makombe alirudi na kumkuta akiwa na mimba na alijifungua mtoto wa kike Agosti 13, 2004, aliyempa jina la Mwamvita.
Alidai Agosti 30, 2004, Makombe alimtaka waende Kilolo akisema kuna mgonjwa, lakini kwa masharti akichinje kichanga hicho. Stella alidai hakukubali ushauri huo.
Stella alidai asubuhi ya Agosti 31, 2004, Makombe alikichukua kichanga hicho na kwenda nacho jikoni akiwa ameshika kisu, ambako alikilaza chini na kukichinja.
Mama huyo alidai baada ya unyama huo, alimtaka kukiweka kwenye mfuko wa rambo na kukitupa choo cha shuleni, lakini alikataa na alipiga kelele za kuomba msaada.
Makombe katika utetezi wake, alidai hakumuacha mkewe na mimba, lakini aliporudi alimkuta akiwa mjamzito na alikiri kwamba si yake.
"Nilichukua mtoto na kumchinja na nilipomaliza nilimwambia akamtupe ******, lakini nichukua uamuzi huo kwa sababu ya hasira, kwa nini mke wangu azaea na mume mwingine," alidai.
Kwa mara ya kwanza Makombe alifikishwa mahakamani Septemba 3, 2004 na kusomewa shitaka la mauaji yaliyotokea Agosti 31, 2004 katika kijiji cha Mgima.

Na nyingine hii ambayo ililipotiwa 13 April 2005

Kiula, Mlingwa let off the hook

2005-04-13 15:48:28
By Keregero Keregero


The High Court has terminated a criminal case facing former Minister for Works Nalaila Kiula and quashed the three-year jail sentence imposed on former Works Principal Secretary George Mlingwa.

In a precedent-setting two-hour ruling, Justice Faki Jundu dismissed the State’s appeals against the respondents yesterday, but upheld the one by Mlingwa who had challenged his conviction and the jail sentence.

Dismissing the appeal by the State against Kiula’s acquittal by a lower court, Justice Jundu said there was nothing irregular with the decision of the Kisutu Resident Magistrate’s Court.

“The lower court directed itself correctly and its decision is, therefore, upheld,” he declared.

He observed that on the basis of the evidence adduced, the prosecution had failed to prove its case beyond reasonable doubt.

The judge further punched holes into the State’s appeals by terming them as “not being legally tenable and credible” on the basis of evidence adduced.


On the appeal by Dr Mlingwa against both the conviction and sentence, Justice Jundu said the trial magistrate misdirected himself in law and fact by convicting the appellant in a matter that, although related to the appellant’s bank account, was no longer relevant for the purpose of the case.

“The trial magistrate did not properly direct his mind on the evidence available; there was no account at all as it was long closed before he received a notice from PCB (Prevention of Corruption Bureau) requiring him to give the number of the said account. There was, therefore, no ground for conviction and sentencing,” he stated.

The judge declared that the trial magistrate made a “fatal error” when he entered conviction and sentence as they were both based on “unfounded allegations” which, nevertheless, were not related to the matter at all.
PCB had alleged that Dr Mlingwa had failed to disclose details of his Holland House Bank Branch account on April 16, 1999.

Justice Jundu further observed that the prosecution had given questionable evidence regarding the place where the offence was committed.

The prosecution initially claimed that the offence was committed in Dodoma, but later said it was at Holland House in Dar es Salaam
.

Nadhani kwa sasa tunaweza kusema kwa uhakika, Bw Fakhi Jundu aliteuliwa kuwa Jaji kabla ya tarehe 13 April 2005. Lakini, bado hatujapata jibu lini hasa aliteuliwa kuwa Jaji.
 
Uwezo wake siujui lakini uzoefu hana.


Kwa hiyo unaongelea vitu viwili hapa.

Kwanza uwezo wake na pili uzoefu wake.


Kipi muhimu kati ya uwezo na uzoefu? Unayejali uzoefu kuliko uwezo wa muhusika?
 
SMU.. hiyo kesi ya pili ndiyo sababu ya Jundu kuteuliwa...!!! Ni ujumbe umetumwa!!
 
Mzee Mwanakijiji, sioni sababu ya watu kukushambulia kiasi hiki. Naamini wamekereka na ukweli uliowazi katika mada yako. Ikumbukwe kuwa ulichosema ni kuhusu uteuzi wa Jundu na ukweli kuwa hakukulia mahakamani na kwamba tangu ameteuliwa kuwa Jaji hana muda mrefu. Masuala ya dini yake hukuyaanzisha wewe na anayejaribu kukuita mwongo lazima ana lake jambo. Tatizo letu wanaJF tunashindwa kuapreciate information na tunajaribu kuficha uozo wetu kwa kukosoa vitu vidogovidogo.

Mimi nitasema na sitachoka kusema kuwa nchi hii inaenda pabaya kwa teuzi hizi za kidini. Siamini na sitaki niamini kuwa Jundu ndiye Jaji Makini na Bora kuliko majaji wengine wote ambao waliteuliwa kabla yake. Na sidhani kuwa ni coincidence tu kwamba Majaji Viongozi wote walioteuliwa katika enzi za Maraisi wa awamu ya pili hadi sasa ni wa madhehebu ya aina moja. Lazima kuna kitu hapa ambacho kinafanyika na ambacho si kizuri kwa mstakabali wa nchi yetu. JK alianzia kwa mabalozi, akaingia majaji na sasa katika kipindi chake ameweka rekodi ya kuteua Majaji Kiongozi wawili ambao wana uzoefu kiduchu katika Mahakama. Hata majaji aliowateua kuingia mahakama kuu na mahakama ya rufani waliacha watu vinywa wazi. Je hii ndiyo tanzania tunayoijenga? Mtu akisema anashambuliwa kuwa kadanganya. Ninajua kuwa baadhi yetu tunamfahamu vilivyo Ndugu Fakihi Jundu na integrity yake pia inajulikana, but hii siyo forum ya kuanza hayo. Mwenye access na Kikwete amwambie kuwa anachofanya katika Taasisi zetu za umma ni kujenga uadui ambao utazalisha matatizo ambayo hatutaweza kuyathibiti in the long run. mwnyw kutukana na aendelee kutukana, but the truth/reality must be said!

Jopo wewe akichaguliwa mtu ktk Majina yaliyo ktk Uislam ndio UDINI?...ina maana nyie wakristo mshakuwa na HAKI MILIKI YA KUONGOZA NCHI HII sio? acha ubwege.!!!!...Jadili Utendaji wa mtu kama anapendelea kundi unahaki ya kusema. Huyu Jundu akiingia una khofu gani?....unayo historia ya kuwa ameshawahi kuwa mtendaji Mbaya au Muovu? au Jina kwako Tatizo?

Hivi itakuwaje siku masheikh wakigombea Ubunge kama Wachungaji...? either CCM au chama chochote si itakuwa balaa?

Mwenzako MKJJ alikuja na Gea ya "kama mwaka mmoja" ili wana JF washutumu uteuzi usio na uzoefu...lkn Kashindwa kukubali kuwa alikosea analeta Lahaja zake...!!! Nyie Mnataka uzoefu miaka mingapi?...Kuna Mdau kaweka hapo mnataka mtu mzoefu kama Kijah aliekaa wizara ya Fedha miaka mingi? lkn pia mtadai ni udini?....
 
Back
Top Bottom