JK amteua Jaji Kiongozi mpya

JK amteua Jaji Kiongozi mpya

Taratibu Gembe, nafasi hiyo uliyotaka hufanyiwa vetting kwanza na mafisadi je unao wa kukupigia debe?

Nani kiongozi wa Mafisadi hapa nchini?

Karibu Ban Ki- Moon nchini mwetu!
 
Court clears way for Mufti election

By Mashaka Mgeta, The Guardian, Saturday 12 October 2002

The High Court yesterday dismissed a plea for an order of injunction against the pending election of the new Mufti, who will head the Tanzania National Muslim Council (Bakwata).

The petitioners, Abubakar Juma Mwilima, Ali Said Bassaleh, Ramadhani Rubama and Omar Mbalamwezi, had lodged a case praying for the High Court to grant them an injunction order restricting the holding of the election.

They argued that holding the planned election would contravene the Bakwata Constitution and that of the United Republic of Tanzania. The sheikhs prayed for the High Court to declare both Bakwata and its constitution as null and void.

Some of the arguments were that the Constitution of Bakwata was infringing their freedom of expression on issues pertaining to their religion, that it was forcing them to become members of Bakwata and created room for some people to misappropriate the interests of the highest religious body contrary to the Islamic religion.

The petitioners prayed for the High Court to grant them an injunction order, restricting the holding of election of a new Mufti scheduled for tomorrow in Dodoma, pending determination of the case.They also argued that, if the election would be held as planned, they would suffer irreparable damages.

In his ruling, High Court Judge Luhekelo Kyando said that although the main case had a right to be heard, the Court saw no convincing reasons to grant an injunction order.

Judge Kyando said that the Court could not grant an injunction order basing on some reasons, including filing the case which was already time barred and failure to state precisely the damages which they could suffer, once the election is held.

He added that it was too difficult to convince the court on the said damages while all petitioners had told the court that they joined Bakwata in 1968.

Granting an injunction order, would mean Bakwata and the candidates would suffer due to costs of financing the election, Judge Kyando said.

Judge Kyando said that the main case would be mentioned on October 17, this year. Advocates, Professor Abdallah Safari, Charles Sengalawe and Fakihi Jundu, represented the petitioners while Advocate, Joseph Tadayo, represented Bakwata.

..website ya Tanganyika Law Society wanaeleza kwamba Jaji Fakihi Jundu alisajiliwa kama wakili wa mahakama kuu Dec 1994.

..habari iliyopo hapo juu inaelekeza kwamba mpaka October 12, 2002 Jaji Fakihi Jundu alikuwa bado hajateuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu.
 
Nyie mnachokonoa nyoka mwishowe mtagundua miguu yake mpofuke:🙂
Huyo sasa Jundu na Mwilima! Kumbuka na ofisi zake zilikuwa Kariakoo.
 
Nyie mnachokonoa nyoka mwishowe mtagundua miguu yake mpofuke:🙂
Huyo sasa Jundu na Mwilima! Kumbuka na ofisi zake zilikuwa Kariakoo.

BB kuwa na ofisi K.Koo kwako Tatizo? maana umekuwa unarudia rudia as if K.KOO hapafai watz kufungua Ofisi zao...!!!
 
...nafahamu kwanini amemteua Jundu na kuruka wengine!!!! Mengine siyo ya kuweka hapa bure!!

... hiyo kesi ya pili ndiyo sababu ya Jundu kuteuliwa...!!!

Mwanzoni ulificha kwa vile unajua kesi ya Mlingwa na Kiula jaji Jundu hakuiamua "kama mwaka mmoja" uliopita, bali miaka minne kasoro mwezi iliyopita (April, 2005).

Kuna dalili nzito sana hapa kutuelekeza kufikiria kwamba inawezekana huyu mtu, Mwanakijiji, alileta habari iliyochochea hukumu kali, za haraka, shutuma za udini, za uzoefu mfupi, kwa kupotosha makusudi.

Aliambiwa yuko kwenye shimo, angeacha kuendelea kuchimba, lakini kashindwa kujizui kama alivyoahidi kuficha hicho kisiri cha jaji kuteuliwa kwa sababu ya kesi ya Mlingwa na Kiula.

Inawezekana maelfu ya Watanzania, kihatari, wanasoma waandishi wapotoshaji, wachochezi. Yalitokea Rwanda.
 
Last edited:
Mwanzoni ulificha kwa vile unajua kesi ya Mlingwa na Kiula jaji Jundu hakuiamua "kama mwaka mmoja" uliopita, bali miaka minne kasoro mwezi iliyopita (April, 2005)?

Kuna dalili nzito sana hapa kutuelekeza kufikiria kwamba inawezekana huyu mtu, Mwanakijiji, alileta habari iliyochochea hukumu kali, za haraka, shutuma za udini, za uzoefu mfupi, kwa kupotosha makusudi.

Aliambiwa yuko kwenye shimo, angeacha kuendelea kuchimba, lakini kashindwa kujizui kama alivyoahidi kuficha hicho kisiri cha jaji kuteuliwa kwa sababu ya kesi ya Mlingwa na Kiula.

Inawezekana maelfu ya Watanzania, kihatari, wanasoma watu wapotoshaji, wachochezi. Yalitokea Rwanda.

Damn! You are dramatic.....
 
Kuna dalili nzito sana hapa kutuelekeza kufikiria kwamba inawezekana huyu mtu, Mwanakijiji, alileta habari iliyochochea hukumu kali, za haraka, shutuma za udini, za uzoefu mfupi, kwa kupotosha makusudi.

Inawezekana maelfu ya Watanzania, kihatari, wanasoma watu wapotoshaji, wachochezi. Yalitokea Rwanda.


Hii si mara ya kwanza kwa Mwanakijiji, remember he is on a mission.
 
..CV ya Jaji Jundu kabla hajateuliwa Jaji wa Mahakama Kuu.

..imepatikana kwa ku-google.

CURRICULUM VITAE OF Mr.FAKIHI.A.R.JUNDU said:
Full Name: Fakihi Abdallah Rheno Jundu

Sex: Male

Nationality: Tanzania

Date of Birth: 20th July, 1949

Place of Birth: Mwamboni, Tanga, Tanzania

Marital Status: Married with 4 Children

Primary Education: 1961 -- 1964 St.Martin's Lower Primary School
Magila, Muheza, Tanga
1965 -- 1967 St.Francis' Upper Primary School
Kiwanda, Muheza

Secondary Education: 1968 -- 1971 Tanga Secondary School
Form I to Form IV
1972 -- 1973 Ndanda Secondary School
Form V to Form VI

Professional Qualification: 1974 -- 1977 LL.B. (Hons) from Faculty of Law,
University of Dar-Es-Salaam

Bar Qualification: Advocate of the High Court of Tanzania and
Subordinate Courts
Member, Tanzania Law Society
Partner, Semgalawe & Co., Advocates

Work Experience: 1977 -- 1978 State Attorney at the Attorney
General's Chamber.

1978 -- 1980 Legal Secretary in the Land Tribunal
Land Development Services Division, Land Officer.

1980 -- 1987 Senior Legal Secretary to
The National Agricultural & Food Corporation
with 26, subsidiary Companies.

1987 -- 1994 Corporation Secretary to the
National Textile Corporation with 14
Subsidiary Companies.

1994 to date -- Practicing as Private Advocate.

Seminars & Workshops attended: Has attended various local and international
Seminars and Workshops on various corporate issues.

Corporate Law Experience: Has handled various local and international
contracts on various subjects and issues on
corporate matters.

Retainership: Has been engaged by various Companies on
Retainership contract basis.

References: Mr.Iddi Simba, International Finance Advisory,
Services, 7th Floor, SUKARI House , P.O.Box 9004, Dar-Es-Salaam.

Mr.Moses Kibwana, Commissioner For External Finance
Ministry of Finance, P.0.Box 9111
Dar-Es-Salaam, Tanzania.

Office Address: Msimbazi Street, Kariakoo Area, P.O.Box 72109
Dar-Es-Salaam, Telephone 31928.

Residential Address: Flat No.203, Block 10, NHC Ilala Flats,
Dar-Es-Salaam, Telephone 864757.
 
Mwanzoni ulificha kwa vile unajua kesi ya Mlingwa na Kiula jaji Jundu hakuiamua "kama mwaka mmoja" uliopita, bali miaka minne kasoro mwezi iliyopita (April, 2005)?

Kuna dalili nzito sana hapa kutuelekeza kufikiria kwamba inawezekana huyu mtu, Mwanakijiji, alileta habari iliyochochea hukumu kali, za haraka, shutuma za udini, za uzoefu mfupi, kwa kupotosha makusudi.

Aliambiwa yuko kwenye shimo, angeacha kuendelea kuchimba, lakini kashindwa kujizui kama alivyoahidi kuficha hicho kisiri cha jaji kuteuliwa kwa sababu ya kesi ya Mlingwa na Kiula.

Inawezekana maelfu ya Watanzania, kihatari, wanasoma waandishi wapotoshaji, wachochezi. Yalitokea Rwanda.

oh the master of hyperboles!
 
Uchochezi si mzuri Mwanakijiji, na ukiambiwa ukweli unachachawa kama uliyekunywa juice ya pilipili. Acha hizoooooo!
 
Mzee Mwanakijiji, sioni sababu ya watu kukushambulia kiasi hiki. Naamini wamekereka na ukweli uliowazi katika mada yako. Ikumbukwe kuwa ulichosema ni kuhusu uteuzi wa Jundu na ukweli kuwa hakukulia mahakamani na kwamba tangu ameteuliwa kuwa Jaji hana muda mrefu. Masuala ya dini yake hukuyaanzisha wewe na anayejaribu kukuita mwongo lazima ana lake jambo. Tatizo letu wanaJF tunashindwa kuapreciate information na tunajaribu kuficha uozo wetu kwa kukosoa vitu vidogovidogo.

Acha kula matapishi Mkuu Jobo, NANI ANAMSHAMBULIA MTU HAPA?, HUU NI MJADALA. Kuna ukweli gani uliowazi, kinyume cha neno ukweli ni UONGO, katika ile mada kulikuwa hakuna ukweli ulio wazi. Soma post ya SMU uone alikuwa Jaji wa Mahakama Kuu toka lini, halafu ndio useme kulikuwa na ukweli ulio wazi.

Toa jambo lililopo kwa aliyemwita Mwanakijiji MUONGO, na nilikuwa mimi. Sasa taja kuwa kuna JAMBO KATI YANGU NA MWANAKIJIJI, HATA NAYE ANAWEZA KUKUSAIDIA. Tatizo lako wewe (Jobo) na baadhi ya watu hapa huwa MNASOMA MAJINA BADALA YA POST, ndio mana nasema mKIKWAZO kwa JF. Ukiona jina Mwanakijiji hata kama kamwaga Pumba basi utakubali na kushabikia. Mwanakijiji huandika kimafumbo ili aweze kuruka, hata hii habari alianzisha ili kuikwepesha, huwezi leta habari ya kuambiwa ukafanya yako, na pia huwezi kuwa humjui mtu ukajifanya unamjua. Hivyo sasa anacheza na lugha, kutaka tuangalie ukweli na uongo katika ile post yake.

Ukisema Kikwete ni Mkwere, alikuwa Waziri wa mambo ya nje kabla ya kugombea urais, aliwahi kuwa Mwanajeshi, alifanya kazi za Chama Zanzibar, Tabora nk, fomu ya kwanza ya ujumbe wa NEC alipelekewa na Pius Msekwa akitumwa na Nyerere, aliwahi kuiba Kuku. Ikaja kujulikana kuwa hakuwahi kuiba Kuku, habari yote inaharibiwa na hilo la kusema uongo kuwa aliwahi kuiba kuku. Sasa Mwanakijiji usitake kutuondoa katika mada, hata kama unataka tukubali mengine yalikuwa kwel, ulitudanganya uliposema kuwa ana KAMA MWAKA tangu teuliwe jaji mahakama kuu. Na tukatumia muda kujadili hilo.

Tatizo ni laho hapa JF, usiseme "tatizo letu hapa JF".

Mada ni kuwa tulidanganywa, kuwa jamaa ana kama mwaka mmoja, tukajadili ikafikia mpaka watu wakageuza kuwa ya udini sababu tu ya kuonekana kwanini ateuliwe kwa kuwa na uzoefu wa "kama mwaka mmoja".
 
Acha kula matapishi Mkuu Jobo, NANI ANAMSHAMBULIA MTU HAPA?, HUU NI MJADALA. Kuna ukweli gani uliowazi, kinyume cha neno ukweli ni UONGO, katika ile mada kulikuwa hakuna ukweli ulio wazi. Soma post ya SMU uone alikuwa Jaji wa Mahakama Kuu toka lini, halafu ndio useme kulikuwa na ukweli ulio wazi.

Toa jambo lililopo kwa aliyemwita Mwanakijiji MUONGO, na nilikuwa mimi. Sasa taja kuwa kuna JAMBO KATI YANGU NA MWANAKIJIJI, HATA NAYE ANAWEZA KUKUSAIDIA. Tatizo lako wewe (Jobo) na baadhi ya watu hapa huwa MNASOMA MAJINA BADALA YA POST, ndio mana nasema mKIKWAZO kwa JF. Ukiona jina Mwanakijiji hata kama kamwaga Pumba basi utakubali na kushabikia. Mwanakijiji huandika kimafumbo ili aweze kuruka, hata hii habari alianzisha ili kuikwepesha, huwezi leta habari ya kuambiwa ukafanya yako, na pia huwezi kuwa humjui mtu ukajifanya unamjua. Hivyo sasa anacheza na lugha, kutaka tuangalie ukweli na uongo katika ile post yake.

Ukisema Kikwete ni Mkwere, alikuwa Waziri wa mambo ya nje kabla ya kugombea urais, aliwahi kuwa Mwanajeshi, alifanya kazi za Chama Zanzibar, Tabora nk, fomu ya kwanza ya ujumbe wa NEC alipelekewa na Pius Msekwa akitumwa na Nyerere, aliwahi kuiba Kuku. Ikaja kujulikana kuwa hakuwahi kuiba Kuku, habari yote inaharibiwa na hilo la kusema uongo kuwa aliwahi kuiba kuku. Sasa Mwanakijiji usitake kutuondoa katika mada, hata kama unataka tukubali mengine yalikuwa kwel, ulitudanganya uliposema kuwa ana KAMA MWAKA tangu teuliwe jaji mahakama kuu. Na tukatumia muda kujadili hilo.

Tatizo ni laho hapa JF, usiseme "tatizo letu hapa JF".

Mada ni kuwa tulidanganywa, kuwa jamaa ana kama mwaka mmoja, tukajadili ikafikia mpaka watu wakageuza kuwa ya udini sababu tu ya kuonekana kwanini ateuliwe kwa kuwa na uzoefu wa "kama mwaka mmoja".

ok..very good.
 
Acha kula matapishi Mkuu Jobo, NANI ANAMSHAMBULIA MTU HAPA?, HUU NI MJADALA. Kuna ukweli gani uliowazi, kinyume cha neno ukweli ni UONGO, katika ile mada kulikuwa hakuna ukweli ulio wazi. Soma post ya SMU uone alikuwa Jaji wa Mahakama Kuu toka lini, halafu ndio useme kulikuwa na ukweli ulio wazi.

Toa jambo lililopo kwa aliyemwita Mwanakijiji MUONGO, na nilikuwa mimi. Sasa taja kuwa kuna JAMBO KATI YANGU NA MWANAKIJIJI, HATA NAYE ANAWEZA KUKUSAIDIA. Tatizo lako wewe (Jobo) na baadhi ya watu hapa huwa MNASOMA MAJINA BADALA YA POST, ndio mana nasema mKIKWAZO kwa JF. Ukiona jina Mwanakijiji hata kama kamwaga Pumba basi utakubali na kushabikia. Mwanakijiji huandika kimafumbo ili aweze kuruka, hata hii habari alianzisha ili kuikwepesha, huwezi leta habari ya kuambiwa ukafanya yako, na pia huwezi kuwa humjui mtu ukajifanya unamjua. Hivyo sasa anacheza na lugha, kutaka tuangalie ukweli na uongo katika ile post yake.

Ukisema Kikwete ni Mkwere, alikuwa Waziri wa mambo ya nje kabla ya kugombea urais, aliwahi kuwa Mwanajeshi, alifanya kazi za Chama Zanzibar, Tabora nk, fomu ya kwanza ya ujumbe wa NEC alipelekewa na Pius Msekwa akitumwa na Nyerere, aliwahi kuiba Kuku. Ikaja kujulikana kuwa hakuwahi kuiba Kuku, habari yote inaharibiwa na hilo la kusema uongo kuwa aliwahi kuiba kuku. Sasa Mwanakijiji usitake kutuondoa katika mada, hata kama unataka tukubali mengine yalikuwa kwel, ulitudanganya uliposema kuwa ana KAMA MWAKA tangu teuliwe jaji mahakama kuu. Na tukatumia muda kujadili hilo.

Tatizo ni laho hapa JF, usiseme "tatizo letu hapa JF".

Mada ni kuwa tulidanganywa, kuwa jamaa ana kama mwaka mmoja, tukajadili ikafikia mpaka watu wakageuza kuwa ya udini sababu tu ya kuonekana kwanini ateuliwe kwa kuwa na uzoefu wa "kama mwaka mmoja".

Mkuu Mfumwa,
Niko pamoja na wewe kwani tulidanganywa ili malengo fulani yatimizwe. Ninakubaliana na wewe, mama na wengine kuwa aliyedanganya awe muungwana na akiri kosa lake.
Vinginevyo nafikiria kuanzisha mchakato wa impeachment dhidi ya yule aliyesema uongo na hataki kukubali.
 
Rais Kikwete amemteua Jaji Fakihi Jandu kutoka Mahakama Kuu Iringa kuwa Jaji Kiongozi mpya kuchukua nafasi ya Jaji Salum Massati ambaye ameteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufaa.

Jaji Jandu alikuwa Wakili wa kujitegemea kama mwaka mmoja uliopita hadi alipoteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu na sasa kuwa Jaji kiongozi..

Mimi siyo mwanasiasa na sina nia ya kuingilia uhuru wa Mahakama. Labda kitu cha kujiuliza ni Jaji Kiongozi ni nani katika Mahakama? JK ndiye kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Bara. Anatarajiwa kuwa the most senior in the rank of judges of the High Court.

Jaji Jundu ameteuliwa kushika wadhifa wa ujaji kama miaka mitano hivi iliyopita akitokea katika Uwakili wa Kujitegemea. Alikuwa na ofisi chovuchovu sana pale Dar na mara chache alikuwa akienda Arusha kufanya kazi katika ofisi za uwakili za Mwale Advocates mara baada ya Wakili JJ Mwale kufariki.

Kiula, Mlingwa let off the hook
2005-04-13 15:48:28
By Keregero Keregero

The High Court has terminated a criminal case facing former Minister for Works Nalaila Kiula and quashed the three-year jail sentence imposed on former Works Principal Secretary George Mlingwa.

In a precedent-setting two-hour ruling, Justice Faki Jundu dismissed the State’s appeals against the respondents yesterday, but upheld the one by Mlingwa who had challenged his conviction and the jail sentence.

Dismissing the appeal by the State against Kiula’s acquittal by a lower court, Justice Jundu said there was nothing irregular with the decision of the Kisutu Resident Magistrate’s Court.

Nadhani kwa sasa tunaweza kusema kwa uhakika, Bw Fakhi Jundu aliteuliwa kuwa Jaji kabla ya tarehe 13 April 2005. Lakini, bado hatujapata jibu lini hasa aliteuliwa kuwa Jaji.

Sasa Mkuu Mwanakijiji anataka kukwepesha mjadala, sio uzoefu, bali kwa hukumu ya Kiula. Hivi huyu ni muandishi makini kweli, mpaka mtu awe Jaji/Hakimu makini kazi yake ni kufunga ama kutia tu watu hatiani. Anataka kutueleza kuwa hawa jamaa walikuwa na makosa, mahakama haikutenda haki. AIBU!!!!

SMU.. hiyo kesi ya pili ndiyo sababu ya Jundu kuteuliwa...!!! Ni ujumbe umetumwa!!..

Baada ya lile la uzoefu na alilotaka liwe la kidini kuanza kuyeyuka (manake UWONGO siku zote hujitenga kwenye UKWELI). Sasa anasema kuwa Jaji Jundu kuteuliwa kwake ni sababu ya KESI YA KIULA. HUYU JAMAA anatia AIBU na kama si KICHEFUCHEFU. Anataka kugeuza MADA hivihivi.
 
Mkuu Mfumwa,
Niko pamoja na wewe kwani tulidanganywa ili malengo fulani yatimizwe. Ninakubaliana na wewe, mama na wengine kuwa aliyedanganya awe muungwana na akiri kosa lake.
Vinginevyo nafikiria kuanzisha mchakato wa impeachment dhidi ya yule aliyesema uongo na hataki kukubali.

Mkuu Pundamilia, ukweli keshauona, na kila wakati anajaribu kukwepa ili tutoke nje ya mada, ila tunajitahidi kuwa makini. KAMA ALIINGILIA "DIRISHANI" SASA TUNAMUONESHA MLANGO...
 
Back
Top Bottom