JK amteua Jaji Kiongozi mpya

JK amteua Jaji Kiongozi mpya

Huwezi kuwa na mjadala wala hoja wala mitazamo kabla ya kwanza kuwa na facts!

Hatukuwa na facts, tulipotoshwa!

Hebu chambua facts zote zilizokuwemo kwenye ile taarifa na unioneshe ni zipi zilikupotosha. Ukishindwa niko tayari kukusaidia kwa urahisi tu.
 
I think we are all missing the point here. Uteuzi wa Jaji Kiongozi ni habari ambayo ilitakiwa iwe public knowledge lakini unaonekana umegubikwa na usiri kiasi fulani. Wengi humu JF hatukuwa na hii habari na ingawa nimepitia magazeti (si yote) sikuweza kupata hii habari kwa uhakika. Ningetegemea taarifa rasmi na iliyokamilika ikiambatana na wasifu wa mhusika ikitolewa na mamlaka husika.

Lakini kama inabidi kainzi ka MKJJ ndiko kanuse, kapate na katuletee taarifa tena nusu nusu, nampa big up hata kama taarifa yake haikuwa sahihi 100%. Pia nilitegemea humu atajitokeza memba mwenye taarifa zenye data zaidi akazimwaga kuondoa utata na si vinginevyo. Kumwita MKJJ mwongo kwa kutuwezesha kujua angalau kinachoendelea ni kujaribu kuminya haki yake na yetu ya kupashana habari. Binafsi namshukuru kwa taarifa yake.
 
Last edited:
Ilipofahamika kwamba hilo si kweli ikawa kama umeme umezimika ghafla kwenye tafrija ya kumshutumu Rais kwa kuteua jaji mwenye mwaka mmoja. Mziki ukazima ghafla, bia hazitoki, shutuma hazitoki, ubwabwa hautoki.

Siku nyingine tuwe na facts kwanza.

Pati imekwisha turudini nyumbani!
=======

Ukweli haijajulikana kwa sababu hamjatuletea aliteuliwa lini kuwa Jaji.
Pati haijaisha. Hana uzoefu hata wa utawala hana maana ofisi yake ya uwakili pale Kariakoo ilikuwa genge kama la kuuzia nyanya. Iringa alikuwa anajifawidhi mwenyewe na karani wake. Tupe tarehe ndipo mjadala uishe. Vinginevyo mwanakijiji yuko sahihi ni "kama" mwaka mmoja.
 
Mtu hujifunga kwa maneno yake mwenyewe!

Mkuu baija bolobi aliposema tunakufanya "Punching bag", wakati huu ni mjadala. Kwake yeye baija bolobi mjadala ni "Punching bag". Hivyo kwa kuwa hiyo ndio tafsiri yake, nikasema kumwambia, "Bendera fata upepo", ukiona kila kitu cha Mwanakijiji unga mkono, manake wewe hutaki kumfanya "punching bag". Nikimaanisha yeye hawezi kujadiliana nawe kwa kuwa kujadiliana nawe ni UBISHI, na Ubishi huu una undani wake (nimemuuliza huu undani hajajibu).

Sasa kama nawe hilo la kutaja "Punching bag", unalichukua hilo tu kuonesha mimi napambana nawe, tafsiri upendavyo.
 
Wekeni ushshidi wa maneno yenu mtaumbuka kama wale waliomshambulia FMES kwa maneno alipotoa habari za kusimamishwa kwa Katibu Mkuu wa UVCCM na walipojikuta kuwa wao ndio hawaelewi waliingia mitini kwa aibu kubwa sana .

JK anashangaza sana , huu uteuzi wake ni miongoni mwa mambo anayopaswa kuhojiwa kwa kuyatenda , SALVA RWEYEMAMU aliwekwa IKULU ili kutoa ufafanuzi wa mambo kama haya na sio vinginevyo.
 
Mkuu baija bolobi, "Acha wazee waende vitani, na watoto shule...". Kama huna hoja kaa kimya. "Bendera fata upepo", ukiona kila kitu cha Mwanakijiji unga mkono, manake wewe hutaki kumfanya "punching bag".
======

Halafu unambishi Mwana Kijiji kuwa haupo kwenye mapambano wakati uko vitani kama unavyosema. Umeambiwa nafasi za uteuzi zimeisha au zinakaribia kwisha?
.

Mkuu, kuna msemo wa kiingereza ndio nimetafsiri kwenda kwa kiswahili "Acha wazee (wakubwa) waende vitani, na watoto shule...". Hii kwa maana ya haraka ni kama waache wakubwa wafanye kazi, na watoto wasome. Sikuwa na maana ya vita, sema hapo vita ina maanisha zile kazi haziwezifanywa na watoto.
 
Mkuu baija bolobi aliposema tunakufanya "Punching bag", wakati huu ni mjadala. Kwake yeye baija bolobi mjadala ni "Punching bag". Hivyo kwa kuwa hiyo ndio tafsiri yake, nikasema kumwambia, "Bendera fata upepo", ukiona kila kitu cha Mwanakijiji unga mkono, manake wewe hutaki kumfanya "punching bag". Nikimaanisha yeye hawezi kujadiliana nawe kwa kuwa kujadiliana nawe ni UBISHI, na Ubishi huu una undani wake (nimemuuliza huu undani hajajibu).

Sasa kama nawe hilo la kutaja "Punching bag", unalichukua hilo tu kuonesha mimi napambana nawe, tafsiri upendavyo.

natafsiri kile nilichokiona tu.. siyo nipendavyo kwa sababu siwezi kusema nimenyeshewa na upepo wakati ni mvua kwa sababu napenda kutafsiri matone ya mvua kuwa ni upepo! Umemshangaa yeye kutojiunga kunifanya niwe punching bag, ukiashiria kuwa wewe unafanya hivyo which is fine with me.
 
Hebu chambua facts zote zilizokuwemo kwenye ile taarifa na unioneshe ni zipi zilikupotosha. Ukishindwa niko tayari kukusaidia kwa urahisi tu.

Nimesema hakukuwa na facts, sasa utasemaje nichambue facts zilizokuwemo kwenye taarifa isiyo na facts?

Hahaa hahahahahahhaaa

Uliyoyasema yalipotosha.

Sasa nilitumia msemo wa Waingereza "if you find yourself in a hole stop digging." Ngoja nitumie wa wahenga wetu wenyewe ambao labda tunaweza ku relate nao zaidi: "Muungwana akivuliwa nguo anachutama."

Chutama!

Ya nini kuanza ku justify qualification ya "kama mwaka mmoja" kwa kitu cha miaka minne mitano? Unataka wapambe wako tu unaocheka cheka nao ndio wakuvike majoho na kukutetea, utadumaa! Kama hao jamaa ndio sounding board wako, obviously wata ku damn down! You know very well baadhi yao ni lightweight clowns ambao kazi yao wakati wote ni ku flirt flirt na mizaha kwenye kila thread. Really Mwanakijiji, sio kulumbana nawe wala kuleta ligi, lakini usibweteke na wasiokukosoa.

Ulichosema kilipotosha wengi waliojitika katika mjadala wa jaji mwenye uzoefu wa "kama mwaka mmoja."
 
natafsiri kile nilichokiona tu.. siyo nipendavyo kwa sababu siwezi kusema nimenyeshewa na upepo wakati ni mvua kwa sababu napenda kutafsiri matone ya mvua kuwa ni upepo! Umemshangaa yeye kutojiunga kunifanya niwe punching bag, ukiashiria kuwa wewe unafanya hivyo which is fine with me.

Hii ni mara ya pili katika wiki hii kwa wewe kuleta taarifa zisizo na ukweli, sijui na taarifa ngapi zisizo na ukweli umewahi kuzileta huko nyuma.

wabongo bwana, eti mkubwa hasemi samahani!
 
Nimesema hakukuwa na facts, sasa utasemaje nichambue facts zilizokuwemo kwenye taarifa?

Hahaa hahahahahahhaaa

Uliyoyasema yalipotosha.

Of course "umesema" na watu wakubali kwa vile umesema Hakukuwa na facts:

Nilisema nitakusaidia:

FACTS nilizodai:

a. Kichwa cha habarri kinasema JK amteua jaji Kiongozi mpya - that is a fact!
b. Imetajwa kuwa aliyefanya uteuzi huo ni Rais - that is a fact
c. Kwamba aliyeteuliwa ni Jaji Fakihi Jundu - that is a fact (jina nililikosea mimi)
d. Kwamba aliyeteuliwa alikuwa Jaji wa Mahakama Kuu huko Iringa - that is a fact
e. Kwamba kabla ya kuwa Jaji wa Mahakama Kuu alikuwa Wakili wa kujitegemea - that is a fact
f. Kwamba alikuwa ameteuliwa Jaji wa Mahakama Kuu "kama mwaka mmoja uliopita" - FACT iliyodaiwa now being disputed at the exact time. Imeshasahihishwa na FACT ya uhakika kuwa amekuwa Jaji wa Mahakama Kuu angalau miaka miwili, na kwa kadiri ninavyokumbuka sasa atakuwa ameteuliwa sometimes late 2005.

Sasa Kuhani kati ya FACTS hizo zote hapo ni zipi za kweli? Of course I know y ou are answer... they are all LIES!
 
Hii ni mara ya pili katika wiki hii kwa wewe kuleta taarifa zisizo na ukweli, sijui na taarifa ngapi zisizo na ukweli umewahi kuzileta huko nyuma.

wabongo bwana, eti mkubwa hasemi samahani!

kwamba hakuna Jaji Mpya kiongozi anaitwa Fakihi Jundu aliyeteuliwa na Rais kuchukua nafasi ya Jaji Masati aliyepeleka Mahakama ya Rufani!? na habari ipi nyingine ya isiyo na ukweli? Jiunge tu kwenye mstari..
 
kwamba hakuna Jaji Mpya kiongozi anaitwa Fakihi Jundu aliyeteuliwa na Rais kuchukua nafasi ya Jaji Masati aliyepeleka Mahakama ya Rufani!? na habari ipi nyingine ya isiyo na ukweli? Jiunge tu kwenye mstari..

Kwamba jaji huyo...... 'mwaka mmoja' haikuwa uongo? Kilichobaki ni hii thread kufungwa kwani ume/lireport uongo tena. Sasa basi, siku nyingine ukipewa habari ichunguze, ukiona inayumba mwambie huyo aliyekupa hiyo habari ajiunge JF na kuanzisha thread ili aweze kujibu maswali husika; hapa kujiunga ni bure kama ilivyokuanzisha thread na mengineyo.
 
Kwamba jaji huyo...... 'mwaka mmoja' haikuwa uongo? Kilichobaki ni hii thread kufungwa kwani ume/lireport uongo tena.

Hivi ile thread ya kuzuiliwa kwa Jamiiforums kwenye campus za UDSM ilifungwa?

This is hilarious....hahahaaaaaaa
 
Mkuu, kuna msemo wa kiingereza ndio nimetafsiri kwenda kwa kiswahili "Acha wazee (wakubwa) waende vitani, na watoto shule...". Hii kwa maana ya haraka ni kama waache wakubwa wafanye kazi, na watoto wasome. Sikuwa na maana ya vita, sema hapo vita ina maanisha zile kazi haziwezifanywa na watoto.

=====
Kama hauko vitani tuletee Jaji Jundu aliteuliwa lini kuwa Jaji wa Mhakama Kuu. Vinginevyo unakemea uropokaji kwa kuropoka mwenyewe.
 
Kwamba jaji huyo...... 'mwaka mmoja' haikuwa uongo? Kilichobaki ni hii thread kufungwa kwani ume/lireport uongo tena. Sasa basi, siku nyingine ukipewa habari ichunguze, ukiona inayumba mwambie huyo aliyekupa hiyo habari ajiunge JF na kuanzisha thread ili aweze kujibu maswali husika; hapa kujiunga ni bure kama ilivyokuanzisha thread na mengineyo.

sawa.. kwa hiyo habari ilikuwa ni ya uongo? Kwamba nikisema Rais wa kwanza wa Tanzania aliitwa Julius Kambarage Nyerere. Alisoma Chuo Kikuu cha Makerere na baada ye Edinburg huko Uingereza. Mwalimu Nyerere alizaliwa kama miaka 90 iliyopita.

Katika habari hiyo utaniambia nimesema uongo kwa sababu ushahidi wote unaonesha kuwa Nyerere alizaliwa miaka 87 iliyopita! Je lengo ni kupotosha, nitakuwa nimesema uongo? au nilitakiwa kusema alizaliwa miaka 87 iliyopita kwa vile najua alizaliwa mwaka gani?

Of course katika mawazo yako na ya Kuhani jibu ni kuwa ni uongo na kuwa katika maelezo hayo mafupi kuhusu Nyerere hakuna fact yoyote ile kisa ati nimesema "kama miaka 90 iliyopita".

Na wengine wanakuja na ujasiri wa kusema kufundisha uandishi, kwanini basi msijaribu kuonesha mfano ili wengine mjifunze.. ooops! wengine walijaribu wakavurunda!

Wengine hatuogopi kufanya makosa au kuharibu. Mara kadhaa tunajifunza zaidi kwa kadiri tunavyokwenda mbele lakini hatuwezi kamwe kukanusha tunachokifanya kwa sababu mtu fulani ameshindwa kuchambua tunachosema. Au kwamba watu wanajadili kitu ambacho hatukikiandika lakini kwa uelewa wao wanaendelea kujadili kwa uhuru wao.
 
Hivi ile thread ya kuzuiliwa kwa Jamiiforums kwenye campus za UDSM ilifungwa?

This is hilarious....hahahaaaaaaa

mbona hakuna thread kama hiyo? somaga vichwa vya habari usiweke projection yako ukafikiri mtu kasema kitu fulani wakati hakusema.
 
Haa haaaaaaaaaaaaa

Moderators kumbe hawataki thread zisizo sahihi...hhaahaaaaaaaaaaa!

This is funny.......goodness gracious!


.......NO this is not funny......bana.......the funniest one was Dr Masau's Case na uchunguzi wake bana............
 
.......NO this is not funny......bana.......the funniest one was Dr Masau's Case na uchunguzi blah blah blah.........

ooouuch! usiende huko bwana... nani amekuambia anaweza kukosea? mwaka mmoja baadaye he never owned up to that.. he almost destroyed somebody's career...
 
Back
Top Bottom