Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,103
- 43,349
- Thread starter
- #121
Huwezi kuwa na mjadala wala hoja wala mitazamo kabla ya kwanza kuwa na facts!
Hatukuwa na facts, tulipotoshwa!
Hebu chambua facts zote zilizokuwemo kwenye ile taarifa na unioneshe ni zipi zilikupotosha. Ukishindwa niko tayari kukusaidia kwa urahisi tu.