Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,148
- 137,142
You guys...this is getting out of hand now. Yaani haipiti siku humu bila hata kuwa ua ligi isiyo na kichwa wala miguu. Is all this really necessary? Sasa nani yuko "fixated" na nani hapa?
Na mnajiona wenyewe eti ni watu wazima...eti mmekua...eti mna hoja...eti mmesoma....Good grief! Watu wenye sifa hizi hawa act kama hivi. Yaani kila siku lazima mtu aambiwe kakosea....kapotosha...mwongo....sijui kafanya hivi...mara kafanya vile....
Ngoja nirude kwa Cupcake wangu....we have a great time together over there....at least we have a life!
Na mnajiona wenyewe eti ni watu wazima...eti mmekua...eti mna hoja...eti mmesoma....Good grief! Watu wenye sifa hizi hawa act kama hivi. Yaani kila siku lazima mtu aambiwe kakosea....kapotosha...mwongo....sijui kafanya hivi...mara kafanya vile....
Ngoja nirude kwa Cupcake wangu....we have a great time together over there....at least we have a life!