JK amteua Jaji Kiongozi mpya

Kuhani,

..kwani Julie Manning alipotoka kuwa AG moja kwa moja aliteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu?

..binafsi sifahamu Mama Manning alikuwa akifanya shughuli gani baada ya kuondoka wizara ya sheria, mpaka Raisi Mwinyi alipomteua kuwa mjumbe wa Tume ya Uchaguzi.

..vilevile sifahamu ni sababu zipi zilizopelekea Mama Manning akaondolewa toka kuwa Waziri wa Sheria na Mwanansheria Mkuu wa Serikali, na nafasi yake kuchukuliwa na Joseph Sinde Warioba.

..hivi kutoka kuwa AG na kuteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu siyo DEMOTION? vipi kuhusu AG[lubuva] kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufaa? au DPP[shaidi] kuwa Jaji wa Mahakama Kuu?

NB:

..kama madai ya Jaji Munuo ni kweli, kwamba yeye ndiye mwanamke wa kwanza kuteuliwa Jaji wa Mahakama Kuu, basi inawezekana Mama Julie Manning alikuwa mtaani kwa kipindi fulani kabla naye hajateuliwa kuwa Jaji.


Kuwa jaji wa mahakama kuu kutoka AG ni promotion, na mara nyingi AGs huwa wanateuliwa kuwa majaji na ndicho kitakachotokea kwa Johnson Mwanyika (kama JK akiamua kumwondoa). Lubuva pia alikuwa AG kabla ya kuteuliwa kuwa jaji wa mahakama kuu na baadaye mahakama ya rufaa. Kumbuka uteuzi wa majaji hapo mwanzoni kabla ya sheria haijabadilishwa, ilikuwa kwamba, Rais akimteua jaji hawezi kumfukuza kazi. Kufukuzwa kazi ilikuwa mpaka jopo la majaji kutoka jumuia ya madola wafanye uchunguzi kuhusiana na makosa anayotuhumiwa kwayo, na tume ya jopo hilo ndo lipendekeze kwa rais hatua za kuchukua kama ni kufukuzwa au vinginevyo.

Sheria hii ilifanyiwa mabadiliko miaka ya mwishoni mwa utawala wa Mzee Mkapa. Na kwa sasa rais ana uwezo wa kumfuta kazi jaji yeyote anayemteua.
 
Kuwa jaji wa mahakama kuu kutoka AG ni promotion, na mara nyingi AGs huwa wanateuliwa kuwa majaji na ndicho kitakachotokea kwa Johnson Mwanyika (kama JK akiamua kumwondoa). Lubuva pia alikuwa AG kabla ya kuteuliwa kuwa jaji wa mahakama kuu na baadaye mahakama ya rufaa. Kumbuka uteuzi wa majaji hapo mwanzoni kabla ya sheria haijabadilishwa, ilikuwa kwamba, Rais akimteua jaji hawezi kumfukuza kazi. Kufukuzwa kazi ilikuwa mpaka jopo la majaji kutoka jumuia ya madola wafanye uchunguzi kuhusiana na makosa anayotuhumiwa kwayo, na tume ya jopo hilo ndo lipendekeze kwa rais hatua za kuchukua kama ni kufukuzwa au vinginevyo.

Sheria hii ilifanyiwa mabadiliko miaka ya mwishoni mwa utawala wa Mzee Mkapa. Na kwa sasa rais ana uwezo wa kumfuta kazi jaji yeyote anayemteua.

Ngeleja, naomba usome Katiba kama ilivyorekebishwa kwani hayo maneno yenye wino wa Simba siyo sahihi. Kwa kukusaidia, soma Ibara ya 109 (5) na ibara ya 110A. Ibara ya 110A ndiyo inashughulikia nidhamu ya Majaji. Rais anaweza kumsimamisha Jaji baada ya kushauriana na Jaji Mkuu lakini hawezi kumfuta kazi kabla ya kuunda tume huru ya majaji wa Commonwealth of nations.

Kuhusu Manning kuteuliwa kuwa Jaji baada ya AG, siyo sahihi, kwani yeye alikuwa Jaji kwanza ndo akateuliwa kuwa AG. AG akiteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ni demotion kwani wadhifa wa AG unalingana na Majaji wa Rufani na siyo wa Mahakama Kuu. Ndiyo maana Lubuva aliteuliwa kwenda mahakama ya rufani. DPP kuteuliwa kuwa Jaji ni kwa ajili ya maslahi ya kustaafu lakini siyo promotion na ndiyo maana hata aliyekuwa Naibu Mwanasheria Mkuu aliteuliwa kuwa jaji ili akistaafu apate pension nzuri.
 
Ngeleja, naomba usome Katiba kama ilivyorekebishwa kwani hayo maneno yenye wino wa Simba siyo sahihi. Kwa kukusaidia, soma Ibara ya 109 (5) na ibara ya 110A. Ibara ya 110A ndiyo inashughulikia nidhamu ya Majaji. Rais anaweza kumsimamisha Jaji baada ya kushauriana na Jaji Mkuu lakini hawezi kumfuta kazi kabla ya kuunda tume huru ya majaji wa Commonwealth of nations.

Kuhusu Manning kuteuliwa kuwa Jaji baada ya AG, siyo sahihi, kwani yeye alikuwa Jaji kwanza ndo akateuliwa kuwa AG. AG akiteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ni demotion kwani wadhifa wa AG unalingana na Majaji wa Rufani na siyo wa Mahakama Kuu. Ndiyo maana Lubuva aliteuliwa kwenda mahakama ya rufani. DPP kuteuliwa kuwa Jaji ni kwa ajili ya maslahi ya kustaafu lakini siyo promotion na ndiyo maana hata aliyekuwa Naibu Mwanasheria Mkuu aliteuliwa kuwa jaji ili akistaafu apate pension nzuri.

Lubuva aliteuliwa kuwa jaji wa mahakama kuu kwanza mwaka 1984, na baada ya kufanya kazi mahakama kuu ndo akateuliwa kwenda kuwa jaji wa mahakama ya rufaa. Sifa ya AG inalingana na sifa ya mtu yeyote anayeteuliwa kuwa jaji wa mahakama kuu. Labda jaribu tena kufuatilia utapata ukweli.
 
Ngeleja, naomba usome Katiba kama ilivyorekebishwa kwani hayo maneno yenye wino wa Simba siyo sahihi. Kwa kukusaidia, soma Ibara ya 109 (5) na ibara ya 110A. Ibara ya 110A ndiyo inashughulikia nidhamu ya Majaji. Rais anaweza kumsimamisha Jaji baada ya kushauriana na Jaji Mkuu lakini hawezi kumfuta kazi kabla ya kuunda tume huru ya majaji wa Commonwealth of nations.

Kuhusu Manning kuteuliwa kuwa Jaji baada ya AG, siyo sahihi, kwani yeye alikuwa Jaji kwanza ndo akateuliwa kuwa AG. AG akiteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ni demotion kwani wadhifa wa AG unalingana na Majaji wa Rufani na siyo wa Mahakama Kuu. Ndiyo maana Lubuva aliteuliwa kwenda mahakama ya rufani. DPP kuteuliwa kuwa Jaji ni kwa ajili ya maslahi ya kustaafu lakini siyo promotion na ndiyo maana hata aliyekuwa Naibu Mwanasheria Mkuu aliteuliwa kuwa jaji ili akistaafu apate pension nzuri.



Ili kuweka kumbukmbu sawa, nanukuu sehemu ya hotuba ya aliyekuwaPresident wa Tanganyika Law Society Dr. Fauz Twaib aliyoitoa siku ya kuagwa Damiani Lubuva, ambapo ametoa pia wasifu wake kwenye utumishi.

"...
My Lord, Honorable Mr. Justice Lubuva has a curriculum vitae that has cut across the entire legal landscape of our country: He spent his undergraduate years at the University of East Africa at Dar es Salaam. Before joining the bench his first appointment was a state attorney in the Attorney Generals Chamber, he then was seconded to the Permanent Commission of Enquiry as a Legal Officer, later went back to the Attorney Generals Chambers as a Senior State Attorney and then as a Chief State Attorney. Honorable Justice Lubuva has also served as a Judge Advocate in the Tanzania Peoples Defence Forces and as Chief Corporation Counsel in the Tanzania Legal Corporation. My Lord, Honorable Justice Lubuva has been Deputy Attorney General for the Revolutionary Government of Zanzibar and the Union Government and later an Attorney General and Minister for Justice of the Union Government. Honorable Justice Lubuva has also served as a Commissioner and Chairman at the Law Reform Commission of Tanzania. He served as a Judge in both the High Court of Tanzania and the Court of Appeal of Tanzania, from which he is now gracefully retiring. "

Note:Kwa kuwa alitumika kwenye mahakama zote (Mahakama kuu na Rufaa), ni wazi alianzia mahakama kuu, kisha apanda mahakama ya rufaa na sio kinyume chake.

To me to be a judge is a promotion from AG.
 
ngereja,

..inavyoelekea Mzee Lubuva alikuwa Jaji wa Mahakama Kuu kabla hajawa AG na Min for Justice. kwa msingi huo alikuwa promoted.

..baada hapo kipindi kile cha sakata ya OIC akatolewa kuwa AG na Min for Justice na kuteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani. in this particular case nadhani ni demotion.

..hata Mama Julie Manning naye sifahamu aliondoka ktk mazingira gani pale wizara ya sheria na AG chamber. lakini kumuondoa pale na kumrejesha mahakama kuu, Tume ya Uchaguzi etc etc., kwa mtizamo wangu ni demotion.

..naweza kukubaliana na wewe kuhusu case ya DPP aliyepita, Mr.Shaidi. yeye amepelekwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu. labda hiyo inaweza kuwa promotion.

..kuna kipindi fulani ktk muundo wa utawala pale wizara ya sheria, Katibu Mkuu wa Wizara alikuwa pia ni Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali.


Jobo,

..unapozungumzia masuala ya penshen, una maana Majaji wana penshen nzuri kuliko maofisa wa ngazi za Juu wa Serikali kama DPP na AG?
 
Joka Kuu,
Jaji akistaafu analipwa vizuri kuliko hata mtu aliyewahi kuwa Katibu mkuu au Waziri. Anaendelea kupoke pensheni sawa na asilimia 80 ya Jaji alyeko kwenye ofisi na huduma zingine kama wanazopata viongozi wa kitaifa au majenerali wa jeshi. DPP anapoteuliwa kuwa Jaji hajapata promotion bali anaenda kule kwa nia ya kuandaa mazingira ya kustaafu vizuri. Sikumbuki ni lini Lubuva alikuwa JAJI wa Mahakama Kuu, pengine ni kabla ya kuwa AG na Waziri. Ukisoma masharti ya kuteuliwa kuwa AG yako mkabala na yale ya Jaji wa Mahakama ya Rufani kwa hiyo akiteuliwa AG kuwa Jaji wa Mahakama Kuu definately hiyo ni demotion.
 
Huyu jamaa ni dini gani vile....!! Maana teuzi za Muungwana bwana hufanyikia Jamatini ...
Tujikumbushe kutoka kwa wanafiki kama hawa wanaolaani udini leo kwenye uchaguzi wa Mwanasheria mkuu. Double standards za JF.
 
Ukweli wa mambo, na kama watu tunasoma na kufuatilia historia ni kwamba Julie Manning ndiye mwanamke wa kwanza kuwa jaji wa mahakama kuu nchini Tanzania, na kimsing alikuwa mwanamke wa kwanza kuwa jaji wa mahakama kuu katika Afrika Mashariki na kati.Hii imerekodiwa kwenye kitabu kinaitwa "Chronology of Womens History" kilichoandikwa na Kirstin Olsen. Na hii ilikuwa mwaka 1973. Na kisha mwaka 1975 Julie Manning alikuwa waziri wa sheria hadi mwaka 1979. Baadaye amekuwa kamishna kwa muda mrefu kwenye Law Reform Commission, na pia kamishna kwenye tume ya uchaguzi ya Tanzania.

Mkuu nimeona maelezo yako ingawa ni ya zamani nikaona niyajibu. Ni kweli kwamba Julie Manning alikuwa mwanamke wakwanza kuwa Jaji na nafikiri ndio maana mwandishi Kirstin Olsen alimuweka kwenye kitabu cha historia. However, ujaji wake ulikujaga kufutwa/kuondolewa kimya kimya hivyo kwenye historia ya Tanzania au tuseme kwenye vitabu vya Tanzania hayuko kabisa. Kwa taarifa za uhakika nilizonazo ni kwamba alipopewa ujaji alishindwa kabisa ku-perform i.e. hakuweza kusikiliza kesi hata moja. Watu wakaanza kujiuliza imekuwaje afike hapo alipo asiweze kusikiliza kesi. Mwl. Nyerere akamuita na akawa na mazungumzo naye. Kilichotokea baada ya hapo ni Julie Manning kuondolewa majukumu ya Ujaji na kuwepewa kazi zingine za Sheria. Walichokiongea na Nyerere hakuna alichokifahamu na mwenyewe Julie Manning mpaka leo hajakizungumza publicly. Maneno yalienea kwamba watu walimfichia mafaili ili aonekane hajawahi kusikiliza kesi hata moja. However, watu wa ndani wa mahakama wanasema Julie alipewa hayo madaraka kinyemela ambayo hakustahili (alikuwa hajaiva kisheria kuwa jaji). Because it was a huge embarrassment kwa waliompendekeza na waliomteua ndio maana kuondoka kwake ilikuwa siri kubwa kati yake na Mwalimu. Ukifuatilia sana wakongwe wa sheria hata leo hawamuiti Jaji bali Mama or Ms Manning. Nakumbuka kwenye mkutano wa women judges Arusha watu walikuwa wanamuita Ms Manning. Kutokana na hiyo incidence ndio maana Serikali ya TZ inamtambua Jaji Munuo kama mwanamke wakwanza Jaji. Hakuna anayeongelea kitimu timu kilichompata mama Manning wakati huo and I suspect the chapter is closed since yeye mwenyewe amekuwa kimya for all those years.
 
Tatizo ni speed ya kupanda vyeo kwa huyo jamaaa, aafanya uteuzi hata ni four year iliyopita, kwani leo awe jaji kiongozi? Kwa kumbukumbu zangu kidogo, kuwa jaji kiongozi ni lazima uwe kama nyani mzee aliyekwepa mishale mingi, kwa maana ya jaji aliyesiliza kesi nyingi na kuzitole maamuzi. Sasa huyu jaji sidhani kama anakesi yeyote ambayo ameitolea maamuzi mpaka sasa
Hii taarifa ina makosa, angalia hayo maandishi mekundu hapo juu. Jaji jandu aliteuliwa kuwa kuwa Jaji wa mahakama kuu zaidi ya miaka miwili (naweza kusahihishwa)
 
Sijasema Ujaji Mkuu bali alitoka uwakili na kupelekwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu.


exactly! as far as I know



I would not dare to speculate the motives naamini JK anatimiza wajibu wake wa Kikatiba.
Nashukuru mkuu! It seems like it was yesterday!
 
Back
Top Bottom