toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Huu ni uzi maalum wa kujifunza kununua bidhaa mbalimbali kutoka alibaba. Natumai wanunuzi wa alibaba mpo huku.
Tunapaswa kujifunza ni yapi ya kuzingatia kwani wengi wetu tumezoea kununua aliexpress.
Na naomba nikiri kuwa alibaba sasa hivi wanauza pia bidhaa moja moja zipo nyingi tu.
Cha msingi ni kutazama minimum order ukiona.minimum order ni 1 ujue hapo utaweza kununua bidhaa hata 1 tu kama tulivyozoea mitandao mingine
Halafu huku bidhaa ni rahis mno kuliko popote pale duniani.
Naomba wenye ujuzi waje watufunze na ambao mshawahi kununua humu hususan bidhaa moja moja
Napenda kujua yafuatayo;-
Gharama za usafirishaji
Mzigo unafika kwa siku ngapi? mapema au unachelewa?
Vipi kuhusu kukatwa kodi ya vitu kama ukinunua tv yako, ama radio kubwa kama subwofer?
Jee wanaruhusu paypal?
Ni hayo tu natumai uzi huu tutajifunza mengi
Tunapaswa kujifunza ni yapi ya kuzingatia kwani wengi wetu tumezoea kununua aliexpress.
Na naomba nikiri kuwa alibaba sasa hivi wanauza pia bidhaa moja moja zipo nyingi tu.
Cha msingi ni kutazama minimum order ukiona.minimum order ni 1 ujue hapo utaweza kununua bidhaa hata 1 tu kama tulivyozoea mitandao mingine
Halafu huku bidhaa ni rahis mno kuliko popote pale duniani.
Naomba wenye ujuzi waje watufunze na ambao mshawahi kununua humu hususan bidhaa moja moja
Napenda kujua yafuatayo;-
Gharama za usafirishaji
Mzigo unafika kwa siku ngapi? mapema au unachelewa?
Vipi kuhusu kukatwa kodi ya vitu kama ukinunua tv yako, ama radio kubwa kama subwofer?
Jee wanaruhusu paypal?
Ni hayo tu natumai uzi huu tutajifunza mengi