Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 13,573
- 18,599
weka screenshot ya hiyo page.Najaribu kujisajili paypal inazngua hususan nikijaza tarehe na mwaka wa kuzaliwa sasa sijui nakosea nn wakuu
weka screenshot ya hiyo page.Najaribu kujisajili paypal inazngua hususan nikijaza tarehe na mwaka wa kuzaliwa sasa sijui nakosea nn wakuu
Seller wengi wa Amazon hawatumi mzigo kuja Tanzania nakushauri tumia forwading company mimi ninatumia forwading company inaitwa Shipito ipo marekani kujisajili ni bure ukishajisajili wanakupa anuani ya Marekani yenye id zako ambayo wewe utaitumia kuwapa seller wa Amazon au Ebay ambao hawatumi mzigo bongo kisha watatuma kupitia anuani hiyo ya Shipito mzigo utafika kwenye Company ya Shipito kisha Shipito watakutumia email kuwa wamepokea mzigo wako hapo sasa ni wewe unaweka anuani yako ya huku bongo kisha unachagua njia mbalimbali za na gharama za mzigo wako kufika kuanzia siku 45 mpaka siku 3 mzigo unakufikia kutegemea na njia uliyochagua.shida ya amazon hawana tanzania naona tu Usa hata ukiagiza bidhaa kwenye taifa usa inaonekana tu
Habari mkuu?Pia hapa www.v.ht/buy4me
- HapanaHabari mkuu?
Hivi amazon wanayo option ya kulipia kupitia paypal?
Pia nimejaribu kujiunga na hii shipping company ya MyUs lakini katika kulink paypal imenikatalia. ttzo linakuja kwenye nini labda? paypal acc yangu iko vizuri na ninaitumia pindi nifanyapo manunuzi ebay- Hapana
- Wanamfumo wao ulio salama, ni AMAZON PAY, link kadi yako kama ufanyavyo kwa PAYPAL
ZIP CODE?
POST CODE?
CITY/PROVINCE CODE?
Tuwasubiri pa1...asanteOne time na mimi nilikuwa najifunza hivyo kufika stage kama hiyo yako nikakwama, Natumai wataalamu watatuelezea tujue kwa kina
Asante kwa angalizo.Wizi ni mkubwa tuwe makini
kampuni gani wanaongoza kwa huo wizi...Alibaba au EbayWizi ni mkubwa tuwe makini
Haha aseme tuwe na tahadhari zaidi mkuu...kampuni gani wanaongoza kwa huo wizi...Alibaba au Ebay
Je ni mtandao upi umepanga kufanya manunuzi?>ZIP CODE?
>POST CODE?
>CITY/PROVINCE CODE?
NA NYINGNE ZENYE MUELEKEO HUO NAAMINI WAZOEFU WANAELEWA,SASA NAOMBA MSAADA HIZO CODES UNAJAZA VITU GANI AISEE... NAJUA WAPO WADAU WENYE KUFANYA HIZI MAMBO KILA WAKATI! MSAADA WENU PLZ.