Arushaone
Platinum Member
- Mar 31, 2012
- 15,237
- 13,567
Last edited by a moderator:
Hata hivyo lengo ni kuonja kuonja ili tusijenge vibanda tehe tehe.Siku mbili Mwanza hazitoshi, labda kama lengo ni kuonja onja.
Nihakikishie kama utakuja nifanye yangu fasta...!!!!!!!!!!!!!Preta kama mwaka jana tulivoenjoy TANGA na mwaka huu nadhani tuta-enjoy zaidi.
Kama kawa, hesabu na mimi, tutakuwa pamoja.
Nina hamu na Rock City.
CC: kandukamo1 nisubiri huko huko, naja.
nilikuwa nakutafuta bwana kumbe jana ilikuwa birthday yako? nitakuja na keki yako tutaikata mwanza live
Nihakikishie kama utakuja nifanye yangu fasta...!!!!!!!!!!!!!
Oooh maamaaaah!
Sijawahi fika ki pande kile cha nchi .
I'm soooo looking forward . Tunaenda na daladala
Au Mtei lol -🙂
Mke mweza, safari hii nitaomba dual.
Mulamukasi, mimi naomba niwe kwenye kamati ya kupokea wageni. Nina sifa na uzoefu wa kutosha kwenye hii nyanja, nipe hiyo kazi tafadhali!.
Nipo wikendi ilikuwa ndefu kweli....
Mara moja Kamati ya makaribisho ikae kwa ajili ya ugeni huu mzito....
Nina hamuje?
usije na tindikali kamati ya ulinzi Arushaone na Mwanyasi kutoa ulinzi wa kutosha kwa kitu kipya Elizabeth Dominic
acha kabisa nafikiri wakumbatiaji watakuwa wengi kufunika Part 1
usije na tindikali kamati ya ulinzi Arushaone na Mwanyasi kutoa ulinzi wa kutosha kwa kitu kipya Elizabeth Dominic
Blaki Womani umepatia sana, ukizingatia Arushaone ana kampuni ya security, halafu na mimi kazi yangu Bodyguard wa ikulu ndogo, Madame B akija na Tindikali tutaimwaga kabla ya matumizi aliyokusudiausije na tindikali kamati ya ulinzi Arushaone na Mwanyasi kutoa ulinzi wa kutosha kwa kitu kipya Elizabeth Dominic