JF Mwanza Wing mpo? Arusha Wing tunakuja kuwashikaaa...

JF Mwanza Wing mpo? Arusha Wing tunakuja kuwashikaaa...

Eiyer hapa nishapaki kibegi changu nasubiri siku ya safari hata km nitakua mgonjwa siwezi ikosa hii.

Uko poa lkn swaiba?
Hakyanani lazima nije nikupokee aiseee
Nitakupeleka Ukerewe kule kwenye ule mti jani lake likidondoka tu linabadilika kuwa Mamba
Au we mwoga?

Niko poa sana best
Missing you much!!!!
 
Hakyanani lazima nije nikupokee aiseee
Nitakupeleka Ukerewe kule kwenye ule mti jani lake likidondoka tu linabadilika kuwa Mamba
Au we mwoga?

Niko poa sana best
Missing you much!!!!
Eiyer hayo mambo ya mamba na mie sina mbio sasa hilo jani lidondoke na kuwa mamba jaman situtaliwa no aisee huo utalii siuafiki acha tuanze mwaka mpya kwanza lol
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Muda huu kuna wingu la khatari na huenda mvua ikanyesha sana tu

Hivyo utavivaa wakati ule wa ku dance na "mengineyo"!

Haya bana jion nitapangua kibegi changu sasa niweke na masai shuka incase hali ikiwa ivo natupia tu
 
Si utakuwa na mimi bana?
Yaani mimi hata huyo mamba akiniona atakimbia tu...lol!

Usihofu mwaka utauona tu!

Hhahahaha! ww lzm utakua na mzizi wa babu lol!
Yaan mamba anakukimia hiyo itakua kivutio kipya cha utalii hahahah!
 
Back
Top Bottom