JF Mwanza Wing mpo? Arusha Wing tunakuja kuwashikaaa...

JF Mwanza Wing mpo? Arusha Wing tunakuja kuwashikaaa...

inaweza kuwa nafasi ya pekee ya kula bata na wana jf wa nyumbani na ukweni............
 
umekumbuka eeeeh na wewe ulikuwa unakaba bawana khaaaa this time nitakuja na mtu wangu kabisaaaa

Sasa hivi nimeshafanya booking kwa C6 Mwanzaaa.....usiogope sikabi teeenaa

 
Last edited by a moderator:
Yes!! We will be together then we go to take Nsenene au siyo KOKU? Kuja huku mpaka Jan. 2014 OK?

Habari ndo hiyo, yaani hiyo mpaka KANYIGO, BUGENGERE, MISENYI na kwingineko senene kahawa kwa sana.

By the way waendelleaje???
 
Mkuu wallahi mwaka huu siendi kuhesabiwa, na nikienda Mwanza narudi mwakani, liwapo na liwe bhana kwani nini?


BTW Habari za huko duniani mkuu!

Huku kwema mkuu,
Preta kapotea njia akidhani ya mwaka jana yatajirudia. Safari hii ntaufunga mgodi kwa ajili yake.
 
Preta kama mwaka jana tulivoenjoy TANGA na mwaka huu nadhani tuta-enjoy zaidi.
Kama kawa, hesabu na mimi, tutakuwa pamoja.
Nina hamu na Rock City.
CC: kandukamo1 nisubiri huko huko, naja.
 
Last edited by a moderator:
Yaani kosa letu ni kuwa matrilionea? Acheni ubaguzi bwana. Kina bakhresa, mengi na Mo hawako interesting hata kidogo. Sie tumet
oka mbali banaa, tunataka kukuambukizeni upako.
teh! Bibie wewe na Paw hamuhusiki ile ni party ya mabilionea nanyi sio!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom