Tha tha thi thi tuthio mabilionea itakuaje au teendelee kuthugua gaga hadi tuwe mabilionea😕
Hakimbii mtu hapa!!!
Mimi mtanikuta...nina long vacation ya kuvumbua mambo mbali mbali huko usukumani....
Ila kuna neno umelitaja Preta na mimi silielewi ...
Umesema mtakula sato na nini vile??
Babu DC!!
Babuuuuu.... Vinaitwa Vi.nembe, vitamu niaje!!! Uliza watu wa Mwanza watakujuza...
ahahaaaa ukweli ndo huo babu...babu utakuwa na nani tena?
Bibi yenu...
Babu DC!!
nilikuwa nakutafuta bwana kumbe jana ilikuwa birthday yako? nitakuja na keki yako tutaikata mwanza liveHureee yaani ukikosa mdau basi hairudi tenaaaa.
Kuonja onja ndio habari ya mujini, uliza uambiwe.
Haki ya nani mkifanya sanaa tutawamaliza....
Tena ukizingatia tuna kibali kutoka kwa mzee Pinda....tutawachapa tu!!
Babu DC!!!
Kuonja onja ndio habari ya mujini, uliza uambiwe.
Mbado kuelewa....
Katika maisha yangu yote na uzee huu, najua kimoja tu....hivyo vingine ndo vinini??
Babu DC!!
halafu preta weka update mara kwa mara watu wanaoenda ili tufanyiane booking mapema! yasijekutokea ya tanga tunamgombania mtu mmoja cc@Arushaone
Mama wa nyuki, wapi wewe siku hizi??
Naona kweli mwisho wa mwaka unakaribia...
watu wanafanya retirement ya imprests...
Babu DC!!
umekumbuka eeeeh na wewe ulikuwa unakaba bawana khaaaa this time nitakuja na mtu wangu kabisaaaaHaha ha ha ha ha ha haaaaaaa haaaa. Yaani nimecheka saaana saaana