JF Mwanza Wing mpo? Arusha Wing tunakuja kuwashikaaa...

JF Mwanza Wing mpo? Arusha Wing tunakuja kuwashikaaa...

Mulamukasi, mimi naomba niwe kwenye kamati ya kupokea wageni. Nina sifa na uzoefu wa kutosha kwenye hii nyanja, nipe hiyo kazi tafadhali!.

Mkuu Yegomasika,


Nasubiri kuona kama na wewe hutafanya kama washikaji zangu walikuwa wanaita..."kubilima"!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Kuna mrembo wangu sijamuona kwenye uzi huu! Akikonfirm tu nami naibuka rock city fasta!
 
[FONT=comic
sans ms]Haiyaaa haiyaaaaa........wale wazee wa kula
bata......mabilionea wa Chugga.........kama ilivyo kawaida
yetu.......December ndio hiyo......
Sasa basi.........mwaka huu upepo unaelekea kanda ya
ziwa......MWANZA......yes..........Sato na Nembe hamna bahati.........

Ni tarehe 27th December 2013.........kurudi tarehe 29th Dec
2013..........
Wewe mdau wa JF......unayeelewa maana ya kupumzika baada ya mizunguko ya
mwaka mzima.........unga bogi......haijalishi unatokea
wapi.........wewe tukutane Mwanza tule raha........

Nia na dhumuni ni kusocialize kama kawaida.........na kutembelea vivutio
vya upande huo......bila kusahau kisiwa cha Saanane (si tumeamua
kutalii bana).........

kama utashiriki........itikia hapa......hii ni introduction peke
yake......itineray na kiasi kitakachohusika........nitawaletea rasmi
baada ya kufanyika uchunguzi yakinifu...............

Wenu mtiifu.....
Preta.....
Bata Eaters Logistic Manager.........

CC....
PakaJimmy...
Mzee wa
Rula
......
Filipo.....

marejesho.....
Blaki
Womani
....@CANTALICIA.......
Smile......
Madame
B
......
watu8.......

Mwanyasi.....
Dark
City
.......
Arushaone.......
Lily
Flower
........
KOKUTONA......

Erickb52......

LiverpoolFC....

IGWE........

[/FONT]


[FONT=comic
sans ms]
[/FONT]

warmly welcom
 
Back
Top Bottom