JF Mwanza Wing mpo? Arusha Wing tunakuja kuwashikaaa...

JF Mwanza Wing mpo? Arusha Wing tunakuja kuwashikaaa...

Ukitia tu mpira kwapani walahi Mwanza sikuji...


Hebu punguza uchokozi mkuu.....

Mbona keshasema kuwa atakuwa live had mwisho wa match??

May be kama unahofia kuwa refa ndiyo anaweza kutimua mbiyo za Kipepe...

Babu DC!!
 
Bodybuilder_workouts.jpg

Nani ataleta mchezo nami baunsa niko hapa?

Santeee usisahau kutupia zile sun gogo ka za bodigadi wa Mbowe
 
Babu hawa wajukuu zako mimi nawajua bila kuwatilia chambo ka hivyo walau wanakuchomesha mahindi...

Hebu punguza uchokozi mkuu.....

Mbona keshasema kuwa atakuwa live had mwisho wa match??

May be kama unahofia kuwa refa ndiyo anaweza kutimua mbiyo za Kipepe...

Babu DC!!
 
Babu hawa wajukuu zako mimi nawajua bila kuwatilia chambo ka hivyo walau wanakuchomesha mahindi...


Duuuuuuuuuuhhhhhhhhhh,

Hivi hiyo michezo ya kung'atishwa mbu bado iko katika dunia hii ambayo kila mtu ni mjasiriamali??

Babu DC!!
 
Back
Top Bottom