welding1682
JF-Expert Member
- Aug 20, 2019
- 1,695
- 3,593
uzuri ni mwana chama wa ccm
Huyu Slaa alipokuwa Mayor wa jiji la Dar es Salaam, alipingana sana na Magufuli. Wakati magufuli akiwa waziri wa ujenzi walikuwa wanabishana kuhusu kung'oa mabango ya biashara kutoka barabara za Tanroad.Msichokifahamu ni kwamba waziri SLAA ni MAGUFULI namba mbili, anapita kwenye njia ambayo viongozi wengi hawawezi kupita
Jerry Silaa hajawahi kuwa meya wa Jiji, alikuwa meya wa IlalaHuyu Slaa alipokuwa Mayor wa jiji la Dar es Salaam, alipingana sana na Magufuli. Wakati magufuli akiwa waziri wa ujenzi walikuwa wanabishana kuhusu kung'oa mabango ya biashara kutoka barabara za Tanroad. Alimshutumu magufuli kwamba anaendesha wizara kwa mihemko na hafuati sheria.
Sasa Leo tena Slaa naye kawa Magufuli?
"Msichokifahamu ni kwamba waziri SLAA ni MAGUFULI namba mbili", ngoja kwanza tumalizane na waziri Silaa kisha tutamjadili huyu waziri SLAA kama yupo.Msichokifahamu ni kwamba waziri SLAA ni MAGUFULI namba mbili, anapita kwenye njia ambayo viongozi wengi hawawezi kupita
Huyu jamaa huwa simuelewi vizuri. Mara anakaza, mara anashabikia bandari (ndo iliyomtoa) kapewa maagizo apite alimokuwa anapita lukuvi mana hali ilikuwa imekaa vibaya kwa wapiga kura, ni kama anavyofanya makonda tu.Msichokifahamu ni kwamba waziri SLAA ni MAGUFULI namba mbili, anapita kwenye njia ambayo viongozi wengi hawawezi kupita
Tunaelekea msimu wa uchaguzi, don't be fooled.Hapa naanza kumuelewa Waziri Slaa.
Huyu Msama anasumbua sana
Acha tuone mwisho wa hili picha
Mejaku na baba Levo. Hivi ha Saturday wa Kigoma wametoa wapi Tania ya umatonya ingawa ni modern matonyaNchi hii bhana ! Makonda naye ana chawa
Slaa ni tapeli mpiga diliTungepata Mawaziri watatu tu kama Slaa nchi ingenyooka, Ardhi, Mambo ya ndani, Katiba na Sheria™
Mjinga wewe kinacho takuwa ni kuweka mifumo dhabiti sana ya uwajbikaj, swala sio kuwapata mawaziri watatu kama Slaaa, hizi ni hadaaa za kuwahadaa wapumbavu type yako.Tungepata Mawaziri watatu tu kama Slaa nchi ingenyooka, Ardhi, Mambo ya ndani, Katiba na Sheria
Matapeli wote wanachawaNchi hii bhana ! Makonda naye ana chawa
Slaa mwenyewe ni tapeli haswaMjinga wewe kinacho takuwa ni kuweka mifumo dhabiti sana ya uwajbikaj, swala sio kuwapata mawaziri watatu kama Slaaa, hizi ni hadaaa za kuwahadaa wapumbavu type yako.
Huyu ni kada wa CCMMkimalizana nae kstika hili Mamlaka nyingine imkamate kwa Kosa la Kudhulumu Mishahara na Stahiki za Wafanyakazi ( Waandishi wa Habari ) wa iliyokuwa Media ( hasa Gazeti ) akiongozwa na Marehemu Dada Yamola.
CCM imejaa matapeli tupuPori la WAHALIFU.....
Huyu fala alimharibia Rose Muhando maisha kabisa.Msama kama msama promota majalala anabip na chini ana ndala!