Jengo refu zaidi Duniani la Burj Khalifa - Dubai lapambwa kwa picha za Bendera ya Tanzania

Hujafika Burj Khalifa na hujui ni nini maana ya world tallest building. Endelea kusoma wajuzi wa marketing specifically billboard marketing wakufahamishe.

Ushamba mzigo
Umesoma shule gani wewe? What Marketing cognitive psychology you tried to achieve? Billboard Marketing ndio uchafu gani kwenye Marketing paradigms?

Kutangaza bendera kwenye tallest building ina impact gani? umefanya Marketing gani? Taifa lenye miaka zaidi ya 60 ya uhuru? Are you serious?

Ndio maana tumekazana kuelezea vivutio kwenye warsha huko ughaibuni bila kuwekeza kwenye mahitaji yanayovutia investors. Before due diligence investors wana vitu wanataka kujua ili viwape sababu ya kuamua kuendelea na due diligence before investment! Just basic information

Tunaweza kutumia ma guru "Investment analyst" kutusaidia ku explore nchi nzima na kutengeneza taarifa muhimu wanazotaka investors na kuziweka mtandaoni then tutajua tufanye marketing ya namna gani with available information. Tunahangaika na mambo ya mbali sana while basics hata hatufikiri!

Kwanini muwekezaji atumie nguvu kujua basics kama registered land, Available Skills, logistics n.k kama watumishi wengi wa umma hata email kujibu ni tabu tutasonga mbele?

Issue za kwenda ulaya na viongozi alafu unachukua projector kuelezea tuna Mount Kilimanjaro , Serengeti na idadi ya wanyama ni very traditional! Hizo ni very basics na with Google, interested investors atazipata tu.
 
Kuna mammtu humu jf ni vilaza kabisa,halafu wengine unakuta eti wasomi na wana watoto na familia kabisa…Eti wanahoji faida ya kuwekwa bendera ya taifa katika jengo hilo? Are they serious? Haya basi bakini na mbuga zenu na madini yenu bila kutangaza kama hamtokufa na njaa..Wapumbavu kabisa
 
Bondpost, mkuu sina nyongeza kwa hii shule uliyopiga hapa. Naamini unaweza ukaiboresha na kuiweka kwenye majarida makubwa ya marketing hata like la Havard Business Review. Au unaweza ukafanya hata professorial lecture kwa wanafunzi wa postgraduate kwenye university yeyote nchini.

Kama kuna mwana JF anakubishia ni kwa sababu zifuatazo:

1. Ni mbumbumbu wa biashara za kimataifa

2. Ni mmoja kati ya WAPINZANI wa kazi za Rais SSH, lazima wapinge kila kitu chake
I appreciate that.
 
Bendera imetangaza vipi utalii? Ukikuta Bendera ya Jamaica pale posta utavutiwa na Jamaica? Hivi unajua hata TIC yetu haina vitu vya msingi mtandaoni ambavyo vingesaidia wawekezaji wanaotafuta taarifa muhimu za nchi waweze kuzitumia kufanya maamuzi ya angalau ya awali?
Labda nikuulize, ulitafuta information gani kwenye website ya TIC haukupata? Tuanze hapo maana mie ni mdau wa TIC
 
Hongera kwa uandishi wako. Yaani unaandika kwa maneno mepesi sana kiasi hata mtu ambaye hajawahi kufika Std 1, anaelewa.

Mtu asipokuelewa ajihesabu ni mlemavu wa akili. Hakuna msaada tunaweza kumsaidia. Hongera Bondpost
Mkuu nashukuru Kama unapata point kwenye maandishi yangu, wengi wakiona unatetea jambo wanaanza kushambulia tu bila kusoma kwa Nia ya kuchanganua points muhimu au wengi ni mkumbo tu wa vijana .
 
Kwaiyo uchumi wa Nchi umekua Sasa Tanzania tumekua Kama Dubai 🤣🤣🤣kizazi hiki nikama tulichokuwa tunasimuliwa kuwa Wazungu walikwenda mkoa furani,wakakuta wazee wa kijijini hicho wanacheza draft kwa kete za dhahabu,badae huyu mzungu kaamua kuwachongea kete za prastick zenye rangi ya kuvutia,kawaretea na kuwapa ,nawao wakampa kete hizo za dhahabu,hao mababu wakabaki wanashangiria, sasahivi naona hiyo roho ndio imerudi, Mtu mzima anashangilia kuona rangi ya bendera kwenye mnara wa jengo refu anakenua meno, utafikiri kuna kilichoongezeka hapa Nchini,hauni Ngorongoro ndivo inaondoka hivo.
Kuna madarasa ya MEMKWA au ya QT, jitahidi ukasome kule kwanza ili ujue kusoma na kuandika ndipo uje ujaribu kubishana na wenye akili. Kwa uandishi wako wewe hili jukwa siyo saizi yako.
 
Umesoma shule gani wewe? What Marketing cognitive psychology you tried to achieve? Billboard Marketing ndio uchafu gani kwenye Marketing paradigms?

Kutangaza bendera kwenye tallest building ina impact gani? umefanya Marketing gani? Taifa lenye miaka zaidi ya 60 ya uhuru? Are you serious?

Ndio maana tumekazana kuelezea vivutio kwenye warsha huko ughaibuni bila kuwekeza kwenye mahitaji yanayovutia investors. Before due diligence investors wana vitu wanataka kujua ili viwape sababu ya kuamua kuendelea na due diligence before investment! Just basic information

Tunaweza kutumia ma guru "Investment analyst" kutusaidia ku explore nchi nzima na kutengeneza taarifa muhimu wanazotaka investors na kuziweka mtandaoni then tutajua tufanye marketing ya namna gani with available information. Tunahangaika na mambo ya mbali sana while basics hata hatufikiri!

Kwanini muwekezaji atumie nguvu kujua basics kama registered land, Available Skills, logistics n.k kama watumishi wengi wa umma hata email kujibu ni tabu tutasonga mbele?

Issue za kwenda ulaya na viongozi alafu unachukua projector kuelezea tuna Mount Kilimanjaro , Serengeti na idadi ya wanyama ni very traditional! Hizo ni very basics na with Google, interested investors atazipata tu.
Punguza stress ueleweke maana unaandika tu kama gari iliyokata centre bolt. Umejichanganya sana yaelekea una FRUSTRATIONS zinakusonga
 
Mama yupo focused na anajua anachofanya,huenda akawa Rais atakaye kumbukwa kwa kufanya mambo makubwa zaidi.
 
Jengo refu zaidi Duniani la Burj Khalifa pale Dubai muda huu limenakshiwa kwa Bendera ya Tanzania mwanzo mpaka mwisho lote. Dunia nzima sasa inatazama maajabu haya kwenye Jengo hilo refu zaidi Duniani huku Utalii wa Taifa letu ukizidi kutangazwa.

Yote hii ni matunda ya ziara ya siku 3 ya Rais Samia Suluhu Hassan Dubai na heshima inayopewa Taifa letu baada ya ziara hiyo iliyokuwa na mafanikio makubwa sana ya Kiuchumi na Uwekezaji.

Hiyo ni pamoja na mafanikio mengine makubwa ya ziara hiyo ambayo ni Kusainiwa kwa Hati 36 za Makubaliano ya Ushirikiano kwenye sekta mbalimbali yenye thamani ya Shilingi Trilioni 17.1 ambayo itatoa ajira 204,575 kwa Watanzania. Ziara ya Rais Samia Dubai imetulipa kwelikweli. Kazi Iendelee.

Bwanku M Bwanku
bwanku55@gmail.com

View attachment 2134743
View attachment 2134474

View attachment 2134476

View attachment 2134477
Hakuna watu chawa kama huyu jamaa..njia yako ni ile ile waliyoipitia wakina msiba na sabaya.

Baada ya kuweka rehani rasilmali za nchi wamepongezwa kwa bendera kuwashwa..hapo means deal done.

#MaendeleoHayanaChama
 
Jengo refu zaidi Duniani la Burj Khalifa pale Dubai muda huu limenakshiwa kwa Bendera ya Tanzania mwanzo mpaka mwisho lote. Dunia nzima sasa inatazama maajabu haya kwenye Jengo hilo refu zaidi Duniani huku Utalii wa Taifa letu ukizidi kutangazwa.

Yote hii ni matunda ya ziara ya siku 3 ya Rais Samia Suluhu Hassan Dubai na heshima inayopewa Taifa letu baada ya ziara hiyo iliyokuwa na mafanikio makubwa sana ya Kiuchumi na Uwekezaji.

Hiyo ni pamoja na mafanikio mengine makubwa ya ziara hiyo ambayo ni Kusainiwa kwa Hati 36 za Makubaliano ya Ushirikiano kwenye sekta mbalimbali yenye thamani ya Shilingi Trilioni 17.1 ambayo itatoa ajira 204,575 kwa Watanzania. Ziara ya Rais Samia Dubai imetulipa kwelikweli. Kazi Iendelee.

Bwanku M Bwanku
bwanku55@gmail.com

View attachment 2134743
View attachment 2134474

View attachment 2134476

View attachment 2134477
Sasaivi jamani tuko busy na kinachoendelea Ukraine tuacheni na hizi ajira hewa
 
as long as tuko na maCCM tugemee haya...kila zama na aina yake ya kuthubutu...hapo Hangaya naye kafanya yake
 
Back
Top Bottom