Mwanaye DAS wa Morogoro, mwingine kashinda kura za maoni Kawe kawashinda magwiji😂😂😂, Jesca yupo kwenye kazi nzuri EWURAWadau,
Huu ni uzi wa swali.
Nimefuatilia kwa karibu kuona jinsi Rais Magufuli anavyoilea familia yake na nikaona kuna mfanano fulani na jinsi hayati baba wa taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere alivyoilea familia yake.
Kwanza sijaona mama yetu Janet Magufuli akiwa na taasisi yake Kama wake wengi wa marais waliopita haswa awamu ya tatu na nne. Mama Janet yuko bize kumsaidia mumewe kwenye yale yaliyopangwa kwenye ilani. Hi inatoa fursa ya kutokumuhusisha au kumpaka Rais matope kwa kupitia taasisi ya mkewe.
Watoto wa Rais Magufuli ni Kama hawapo. Ninamfahamu Jesca tuu na huyu nilimfahamu kipindi kill cha ishu ya wanafunzi wa udom.
Kwa uelewa wangu hili halitokei kwa bahati mbaya bali kwa Rais aliyepo madarakani kutotaka kushea uongozi wake na familia yake. Mwalimu Nyerere ni mfano mzuri katika hili.
Amani
Matusi gani yako kwenye comment yangu? Kumbe kila siku mnawasingizia hao CDM wanawatukana kisa wanasema ukweli? Hebu nambie nimekutukana wapi?Uwongo na matusi havileti kura
Vijana wa Chadema mtalia huu mwaka
Matusi gani yako kwenye comment yangu? Kumbe kila siku mnawasingizia hao CDM wanawatukana kisa wanasema ukweli? Hebu nambie nimekutukana wapi?
Atapata uteuzi kwani ameonesha kwa vitendo kuwa anakubalika. Kumbuka alishinda, akakatwa na akakaa kwa kutuliaBaada ya uchaguzi kuisha ulete mrejesho alipo mtoto wa dada
Na ndio ukweli. Hata "Kangi, Makonda na wengineo" ni suala la muda tuAtapata uteuzi kwani ameonesha kwa vitendo kuwa anakubalika. Kumbuka alishinda, akakatwa na akakaa kwa kutulia
Maana yangu kubwa n kuwa Rais Magufuli ameonesha kuheshimu madaraka yake na kutokuifabya familia yake kama vile nao ni sehemu ya uongozi. Hayo mengine n tafsiri yakoKinachojadiliwa ni katika utawala/uongozi wake hilo la familia au ukoo wake unakuhusu nini? hata wewe hapo kwa shemeji yako unapoishi Mara jirani akaanza kukufuatilia kwanini huendi kupanga kwako utajisikiaje si lazima ulielie majirani wambea sana,hawa viongozi wa kisiasa tuliwapa dhamana tuwape Uhuru na familia zao muhimu wanatekeleza majukumu tuliyowapa Fanya kazi kwa bidii jitengenezee kipato chako itakuepusha na majungu,na kama utaendelea hivyo tabia ya kufuatilia maisha ya watu kuna hatari ya kuja kuwa mchawi mkubwa sana katika umri mdogo na huenda vijana ktk mtaa wako wakuua kwa uchawi wako na kufuatilia maisha ya watu.
Uwongo na matusi havileti kura, mtalia sana
Aisee umenena vema,ila wewe ni mpango wa ibilisiNdio maana tunasema Rais Magufuli ni mpango wa Mungu kuzaliwa Tanzania,
Ameipa heshima Tanzania
Mmeishiwa hamna nyimboHili la John kuzaliwa Tanzania msitudanganye. Mnajua wazi ana ncgi mama alikozaliwa na kuletwa Tanzania akiwa na zaidi ya miaka 3.
"Roho chafu/evil spirit"Aisee umenena vema,ila wewe ni mpango wa ibilisi
Huo sio wivu wala husda, ni uchawiNi wanafunzi wangapi aliohitimu nao Jesca wamepata ajira? Baba wa Taifa aliacha kuijenga Butiama ili isubiri maendeleo ya miji mingine kwanza. Bado unafananisha Real Madread na Abajalo?
Jesca anafanya nini morogoro, alishamalizaga M. A yake udom. Magufuli asije wafanya wanawe ka nyerere wasile mema ya nchi, huku kina January, nape, Ridhiwani na Mwinyi kabebwa Hadi anakuwa rahisi kabisaJesca mwenyewe yupo morogoro anakula mshahara, na juzi mtoto wa dada alishinda kura za maoni kawe.
Naona Maisha yake ktk utendaji wake kuyafuatilia yamekushinda sasa unaamua kuingilia malezi ya familia yake na siku si nyingi utarudi uanze kusema "Hivi Magufuli anavyosema ataongeza mke wa pili Znz baada ya kustaafu kwanini asinichukue Mimi mbara mwenzie Magufuli ni mbaguzi hatufai.
Kinachojadiliwa ni katika utawala/uongozi wake hilo la familia au ukoo wake unakuhusu nini? hata wewe hapo kwa shemeji yako unapoishi Mara jirani akaanza kukufuatilia kwanini huendi kupanga kwako utajisikiaje si lazima ulielie majirani wambea sana,hawa viongozi wa kisiasa tuliwapa dhamana tuwape Uhuru na familia zao muhimu wanatekeleza majukumu tuliyowapa Fanya kazi kwa bidii jitengenezee kipato chako itakuepusha na majungu,na kama utaendelea hivyo tabia ya kufuatilia maisha ya watu kuna hatari ya kuja kuwa mchawi mkubwa sana katika umri mdogo na huenda vijana ktk mtaa wako wakuua kwa uchawi wako na kufuatilia maisha ya watu.
Mtoa mada anatuyeyusha!! Kila siku watu wanatoa upuuzi anaoufanya JIWe yeye ina maana hauoni kabisa.Mtoto wa dada yupo hazina,ndio mtoa pesa mkuu wa nchi.
Shemeji kapewa Tenda ya kujenga airport,wakati hajawahi hata kujenga Darasa au choo,
What's ****.
Ujumbe huu umfikie Gwaji boy, mzee wa mauno au show kaliiiSALAAM ZA GWAJIMA KUTOKA MWISHO WA RELI.
1. Ulituaidi Chuo Cha Marubani hukutimiza.
2. Uliaidi kujenga Chuo Cha Biblia, hukutimiza.
3. Uliaidi kujenga Hospitali Kata ya Salasala, hukutimiza Hilo.
4. Uliaidi kumfufua Amina Chifupa, Hukutimiza pia.
5. Uliaidi kugeuza Misikiti kuwa Sunday schools, Hujatimiza.
6. Umeshindwa kulipia semitrailer mbili bandalini (90Mil.)
7. Ulituaidi na ukatutaka kuchanga fedha za kuanzisha TV lkn hujatimiza.
8. Ulituaidi na kutuchangisha fedha za kuanzisha Radio, lkn hujatimiza.
9. Ulituuzia viwanja (2015) kule Kiluvya (Mwanakondoo), lkn mpaka Leo hujatupatia.
10. Ulituaidi kuleta ndege 12 za abiria, lkn hujatimiza.
11. Ulituaidi treni ya umeme lkn hujatimiza.
12. Ulituaidi lujenga kanisa lenye uwezo wa Kubeba watu 250,000 kwa ibada moja, lkn hujatimiza na bado tuko chini ya mabati.
13. Leo unatuaidi kwenye kampeni kuwapeleka wananchi wa Kawe Marekani, Askofu! Askofu! Askofu! Mungu anakuona ujue.....dhambiya Uongo ni ya shetani mwenyewe kabisa.
14. Aidha, bado tunakumbuka juu ya ile video. Maana mwenendo wako baada ya ile video umebadilika Sana, ijapokuwa bado hatuamini Kama Kuna mahusiano.
Embu tuachie Kawe yetu bana...