Bongotunacheza
JF-Expert Member
- Dec 7, 2018
- 718
- 1,643
Watoto walikuwa wanasoma kwenye shule ya English Medium nikawapeleka kwenye shule ya kiswahili. Shule ya English Medium hawakunipa uhamisho kwa sababu walikuwa bado wananidao so nikawa nalipa deni lao taratibu ili nikikamilisha wajue prem number za watoto. Now Mungu ameniinua tena kiuchumi hawa watoto nawapeleka kwenye shule nyingine ya English Medium ambayo ina la kwanza hadi la saba ( hii waliokuwa wanasoma awali ilikuwa na la kwanza hadi la tatu).
Kwenye shule hii mpya walitaka niwape majina ya watoto na shule wanayo soma. Mkuu wa shule alipopokea majina ya watoto akayawasilisha kwa afisa elimu. Afisa elimu anasema hiyo shule haijasajiliwa. But prem numbers za watoto zipo so watahamishwa hivyo hivyo. Swali langu ni je? Shule ya English Medium ambayo bado haija kamilisha usajili, prem numbers zake zinaweza kuwa valid? Au niachane nazo niwaambie uongozi wa shule hii mpya wanifanyie utaratibu upate prem numbers mpya?
Wajuzi wa mambo naomba mnisaidie kujua tafadhali
Kwenye shule hii mpya walitaka niwape majina ya watoto na shule wanayo soma. Mkuu wa shule alipopokea majina ya watoto akayawasilisha kwa afisa elimu. Afisa elimu anasema hiyo shule haijasajiliwa. But prem numbers za watoto zipo so watahamishwa hivyo hivyo. Swali langu ni je? Shule ya English Medium ambayo bado haija kamilisha usajili, prem numbers zake zinaweza kuwa valid? Au niachane nazo niwaambie uongozi wa shule hii mpya wanifanyie utaratibu upate prem numbers mpya?
Wajuzi wa mambo naomba mnisaidie kujua tafadhali