english medium

An English-medium education system is one that uses English as the primary medium of instruction—particularly where English is not the mother tongue of the students.
Initially this is associated with the expansion of English from its homeland in England and the lowlands of Scotland and its spread to the rest of Great Britain and Ireland, beginning in the sixteenth century. The rise of the British Empire increased the language's spread to British colonies and in many of these it has remained the medium of education. The increased economic and cultural influence of the United States since World War II has also furthered the global spread of English, as has the rapid spread of Internet and other technologies. As a result of this, in many states throughout the world where English is not the predominant language there are English-medium schools. Also in higher education, due to the recent trend towards internationalization, an increasing number of degree courses, particularly at Master's level, are being taught through the medium of English.Known as English-Medium Instruction (EMI), or ICLHE (Integrating Content and Language in Higher Education), this rapidly growing phenomenon has been contested in many contexts.

View More On Wikipedia.org
  1. F

    Shule ya English Medium imegoma kumuhamisha mwanangu. Hatiani kukosa mtihani wa darasa la nne

    Mimi ni single mother umri wangu ni miaka 34. Kwa ufupi Nina watoto wawili wa kiume wa kwanza ana miaka tisa wa pili ana miaka saba. Huyu kwanza yupo darasa la 4 na wa pili yupo darasa la 3. Kilicho nifanya nilete ujumbe huu hapa Jamii Forums ni kitendo cha dhulma kinacho taka kufanywa na shule...
  2. MKATA KIU

    Manispaa ya Kinondoni imefanya jambo kubwa sana kuongeza English medium primary school za ada nafuu

    Habari wadau. Ukweli nampongeza sana mkurugenzi wa manispaa ya kinondoni kwa kuamua kubadili shule za msingi zilizokuwa swahili medium na kwenda english medium. Hii inawaokoa wazazi kwa kuwapunguzia gharama za ada kubwa kulipa private schools wakati elimu ni hiyo hiyo. Na pia shule za olimpio...
  3. The Burning Spear

    Makapuku wengi wanajifariji kwa kuziponda English Medium

    Ujinga ni mzigo Ignorance is so expensive. Kuna watu wamekaririshwa tunasoma tuajiriwe. Maarifa siyo kitu muhimu kwao.. Hakuna mzazi anayepanda kumwona mtoto wake akiteseka, uchumi ndo utalazimu tu kufanya vinginevyo.. Na walioshindwa kuwasomesha watoto wao shule Nzuri huja na vijisababu...
  4. M

    Shule za English medium zisizo na remedial za lazima

    Wadau, Moja kati ya kero yangu kubwa kwenye hizi english medium ni huu mfumo wa kulazimisha watoto wa Standard 4 na 7 kufanya remedial kwa lazima , hata pale ambapo hakuna ulazima huo. Najua shule zinafanya biashara lakini si kwa kuwapa watoto stress zisizo na lazima . Watoto mwaka mzima...
  5. blogger

    Wazazi kuna hizi shule za English Medium ni majina tu ila ni takataka. Lakini bado zipo!

    Embu fikiria mtoto wako wa std six hajui Mkoa gani huanza kabla ya kufika Dar...!?? Geography. Au hajui Verb forms za Verb 'be'.. English. Wazee..! Kuna ujinga na tunapigwa. Nilitaka wasafirisha wanangu waende holidays ila nimekuta weupe. Naingia nao Class. I'm a teacher... Walimu Wao...
  6. B

    Je, prem number ya wanafunzi darasa la pili kwenye shule ya English Medium ambayo bado haijakamilisha usajili zina kubalika kisheria?

    Watoto walikuwa wanasoma kwenye shule ya English Medium nikawapeleka kwenye shule ya kiswahili. Shule ya English Medium hawakunipa uhamisho kwa sababu walikuwa bado wananidao so nikawa nalipa deni lao taratibu ili nikikamilisha wajue prem number za watoto. Now Mungu ameniinua tena kiuchumi...
  7. LIKUD

    English Medium iliyo karibu na Chanika

    Mpangaji wangu amepanga kwangu Chanika anatafuta shule nzuri ya English Medium iliyopo karibu na Chanika. Au inayo weza kufikika kwa urahisi kutoka Chanika. Inaweza kuwa Mvuti, Chamazi, Segerea, Ukonga, Gomz etc. Ada kuanzia laki tisa hadi milioni moja na laki 2 kwa mwaka. iwe na watoto wengi...
  8. Mto Songwe

    Hakuna faida ya kumpeleka mtoto English Medium (mabasi ya njano)

    Kuna huu mkumbo tulionao watu weusi wa kuigana igana mambo hata yasiyo na maana. Hapa nitazungumzia huu mtindo walionao wazazi wengi kupeleka watoto wao English medium kwa minajiri kwamba wakapate elimu bora. Inshort hakuna faida yoyote ya kumpeleka mtoto English medium kwa elimu ya bongo...
  9. B

    Nilichokigundua kuhusu watanzania, mara baada ya kuwatoa watoto wangu English Medium na kuwaleta Kayumba

    Ni kwamba hawa watu wa mtaani kwetu wananiiga au na wao uchumi umewapiga kama Mimi. Ni hivi niliwahi kuandika Uzi hapa nikisema nimeamua kuwatoa watoto wangu English Medium na kuwaleta Kayumba baada ya uchumi wangu kuzorota. Then nikaja nikaanzisha Uzi kuhusu FAIDA binafsi nilizo zipata...
  10. F

    Shule za English Medium ni kiwanda cha kuongeza Depression kwa wazazi na watoto. Serikali iboreshe shule za umma

    Wazazi wengi wana msongo wa mawazo kutokana na stress za kutafuta ada za shule za kina junior wao wanaosoma english medium eg. Atlas, Tusiime, etc. Muda wa kulipa ada ukifika mzazi anakuwa na hasira hasira tu sababu ya msongo wa mawazo Watoto na wao wana msongo wa mawazo kutokana na ratiba ya...
  11. LIKUD

    Kulipa mamilioni kusomesha 'Generation Z' ni kama kucheza kamari!

    Generation Z au Zoomers ni kizazi cha waliozaliwa kuanzia mwaka 1997 hadi 2012. Umri wao ni kati ya miaka 9 hadi 24. Kizazi kitakachofuata baada ya Generation Z kitaitwa Generation Alpha (Generation Alpha and the generations that will come thereafter will be more worse than Generation Z)...
  12. kocha Nabi

    Mnaosomesha watoto English Medium pokeeni maua yenu

    Watu wengi hawafahamu kwanini wanapeleka watoto wao English Medium, wengi wanaamini ni sehem sahihi ya kupata elimu nzuri, ama kwavile mtu unapesa acha uwaoneshe watu anazo kwa kupeleka watoto wake shule hizo. Sababu kuu ni moja tu ambayo sitakaa niisahau, katika harakati zangu kipindi natoka...
  13. B

    Mrejesho: Faida nilizopata baada ya kuwatoa watoto wangu shule ya English Medium na kuwarejesha kayumba

    Miezi michache iliyopita nilianzisha Uzi hapa JF wenye title" Tunaowatoa watoto wetu shule za English Medium na kuwarejesha kayumba njooni tufarijiane hapa" Soma: Tunaowatoa watoto wetu shule za kiingereza njooni hapa tufarijiane Lengo la Uzi lilikuwa kupata watu watakaonipa "faida"...
  14. BLACK MOVEMENT

    Shule nyingi zinazoitwa English Medium ni za kisanii tupu

    Bado naamini Elimu iko kwenye shule za International School tu, kule kuna world clasll education, English medium ni utapeli mkubwa sana. International School watoto hawasomi tu just kusoma kama ilivyo English Medium, kule watoto wanafunsdishwa skills zote za maisha kama wanazo taka, na hata...
  15. K

    Naomba kujuzwa English medium nzuri maeneo ya Boko - Bunju

    Habari zenu wana jamvi. Naomba recomendation za shule nzuri za msingi- english medium ambayo mbali na kufundishwa vizuri, pia watoto wananolewa vizuri kuongea kingereza kizuri. Itanipa unaafuu zaidi kama nitapata shule zilizo maeneo ya Tegeta-Boko-Bunju. Ada pia iwe stahimilivu🙏 Natanguliza...
  16. 2019

    Al- Nahdhwa English Medium | Pre&Primary school: nembo yenu ya LGBTQ inadhalilisha shule hii

    Waislamu siwapangii lakini kutokana na maana mbaya ya rangi hizi ni bora tu mbadilishe hii nembo, mnatafsiriwa vibaya sana. Kibaya zaidi ni shule ya kidini bora ingekuwa ya kidunia. Soma pia 👉👉Mamlaka za Saudi Arabia zapiga marufuki bidhaa zote zenye upinde wa mvua ikiwemo nguo na Midoli
  17. PinGonHi

    Looking for an employee in my online business with knowledge of English

    Requirements to the employee: Must know English, have an android phone and a desire to work and learn. The employee must be from the city of "dar es salaam" and must be able to move freely around the city About work: the first +-4 days of training are not paid, then pay $3 a day fixed rate +...
  18. emmarki

    Ni shule gani ya msingi (english medium) iliyoko Mabibo na viunga vyake

    Nategemea kuhamia mabibo katika harakati zangu za kutafute mkate wa kila siku. Naomba kujuzwa kama kuna shule nzuri ya primary (English Medium) kwa ajili ya kusoma kinda wangu. Iwe mabibo au kuna shule yenye school bus yanayopita maeneo hayo
  19. blogger

    Private schools (English medium) ada kupanda maradufu 2023. Serikali iingilie kati

    Serikali haina budi kufanya lolote liwezekanalo kufanya Shule hizi za private zisipandishe ada kiholela. Zinaweza zikapunguziwa gharama za uendeshaji ili ziwe na nafuu kwa malipo huko serikali. Baadhi ya Shule vikao vishaanza. Kuna ongezeko la ada la kutisha na wanajiamulia wenyewe kwa utetezi...
  20. nguvusimba

    Naomba kujuzwa shule nzuri ya english medium iliyopo karibu na Mbezi Makabe

    Habari wanajamvi, naomba kujuzwa shule nzuri yenye nafasi ya kuhamia ya english medium iliyopo karibu na mbezi makabe. Ninataka kuwahamishia watoto wangu wawili, darasa la nne mwakani na darasa la pili. pia mdogo wao anatarajia kuanza chekechea ya watoto. Iwe na matokeo mazuri na malezi...
Back
Top Bottom