Manyanza
Platinum Member
- Nov 4, 2010
- 21,050
- 54,013
Ni hivi kuna siku nilikuwa nimelala, sasa pale kitaani kulikuwa kuna kikundi cha wazee kazi yao ilikuwa ni kushurutisha sana wananchi usiku wakilala.Ulipiga teke ukuta kaka utaachaje kuvimba😅😅
Kuna siku nimelala , usiku wa manane nikaanza kuweweseka kufumbua macho uso kwa uso na Kibibi cha pale kitaa. Nikageuza kichwa nikalala miguuni nikamuona huyu hapa, nikamwambia huwezi katika jina la Yesu.
Nikageukia tena upande wa kichwani bado yupo sijui ilikuwaje nili ruka summer sort kama mcheza kareti nikampigq teke kwenye taya mpaka mguu ukawa unauma. Ikabidi niamke nikawasha jiko la mchina la mafuta ya taa nikabandika maji nikajikanda mguu.
Kesho yake mida ya saa 4 asubuhi kuamka nikamuona yule Kibibi America taya lote
Hii ni kweli sio hadithi