chase amante
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 5,553
- 2,073
LABDA tume ya uchaguzi itoke ULAYA .AFRICA KINA JECHA NI WENGI SANAHiyo siku ikifika mtayeyuka na viId vyenu.
Yatawakuta yaliyomkuta Sadamu husseni na Albashiri wa SudaniLABDA tume ya uchaguzi itoke ULAYA .AFRICA KINA JECHA NI WENGI SANA
Hoja dhaifu, kwani ile 420 t. aliyotudanganya jiwe kwamba tutalipwa iko wapi?Lakini itabidi kwanza TL akili kwamba alitupotosha katika vita ya mageuzi ya madini. Aliwasihi sana wabunge wasipitishe marekebisho ya sheria za madini kwamba tutashitakiwa MIGA na akasisitiza kwamba ACCACIA itatufilisi sisi watanzania. Sasa kwasababu hayo yote yalienda mrama- proved failure, akianza kwa kuomba msamaha hapo kura tutampa. Tutajua ni mwenzetu sisi waTz wa hali ya chini.
About 3,000 people were killed during post-election violence 10 years ago, when the former President Laurent Gbagbo refused to step down after losing to Mr Ouattara.LABDA tume ya uchaguzi itoke ULAYA .AFRICA KINA JECHA NI WENGI SANA
Nimesoma mitazamo mbali mbali ya kikao hiki lakini bado sikupata mwanga wa moja kwa moja kuhusu dhumuni kuu la kikao hiki.
Lissu ndio mwanasiasa pekee ambae anauzika kwa sasa kuliko wakati wote ule! Kama mbobezi wa sheria,kama mwanasiasa mwenye utashi na uwezo mkubwa wa kujieleza,mwenye uthubutu wa kugusa hata wale wasioguswa kwa kusema ukweli wa wazi pasipo uoga!
Katika kipindi hiki kigumu cha nchi yetu inachopitia hasa kutofuata Sheria na kudhulumu haki ya kuishi na uoga wa wananchi kwa Chama dola CCM Lissu ndio suluhisho pekee la nchi yetu hakuna mwingine!mimi simuoni hata kwa tochi
Iwapo upinzani hasa CHADEMA wakisimama na Lissu kama mgombea hakika Rais Magufuli atapata wakati mgumu sana na yeye analijua hilo !Ndipo tunapotazama kikao cha juzi! Je, Lissu akiungwa mkono na vyama vyote pinzani, CCM watauweza mziki wake tena katika kipindi ambacho Tanzania inatazamwa kwa jicho la tatu na hao wanaowaita mabeberu kwenye la demokrasia.
Je, CCM wataambulia hata kura milioni moja?
Kikao kile kwa maoni yangu kinamhusu Tundu Lissu na ugombea wake wa kiti cha Urais!! Rais Magufuli anataka kuzigawa kura za Lissu ili asijegaragazwa vibaya Oktoba mwaka huu!!!
Rais Magufuli yupo tayari Maalim Seif ashinde Zanzibar kuliko Lissu ashinde Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
Lissu anamnyima usingizi Rais Magufuli na ndio maana ya kile kikao juzi kuzigawa kura zake huku akilitafuta bao la mkono jingine hapo Oktoba mwaka huu!
Tuendeleze tafakuri ndugu zangu!!!
Kuna vitu namkubali sana tena sana ila dish lake huyumba sanaKura za Lissu zitakuwa kwwnye 60% na wagombea waliobakia watagombania 40%. Watu washachoka kuishi kwa vitisho na kejeli kila wakiamka! Nchi imekuwa kama Scania iliiyofungwa tairi za basikeli? Inaahindwa kusonga mbele na kila tairi limeinamia opposite direction!
Una uhakika kwamba mbowe hakuitwa?Lissu anamnyima usingizi Rais Magufuli na ndio maana ya kile kikao juzi kuzigawa kura zake huku akilitafuta bao la mkono jingine hapo Oktoba mwaka huu!
Sawa, tume iundwe basi tuone. Na sidhani kama tume huru ikiundwa ni lazima wapinzani washinde, kinachotakiwa ni uchaguzi ulio huru na wa haki. Mshindi awaye yeyote apatikane kihalaliKwa mazingira ya sasa hata kukiwa na tume huru atashinda Magu.
Uhakika wa kura za Lissu ni moja tu ambayo ni ya kwake. Lissu mwenyewe Hana uhakika kama mke wake atampigia yeye au CCM achilia mbali watu wake wa karibu, Kwa mantiki hii ushindi kwa Lissu ni mdogo sana.
Miaka ya nyuma hazina ya CHADEMA ilikuwa ni wale wenye umri kati ya miaka 18-25, kwa Sasa kundi hilo wamekuwa ni watu wazima ,wengine wameamua kubadilika, wengine wamejiunga CCM na wengine wanaona CHADEMA si sehemu salama kwa vijana kisiasa.
Mpaka hapo umeona ni kwa namna gani kura za CHADEMA zitakavyopungua kutoka kundi Hilo. Cha kukumbuka zaidi, Lowassa ndio mpinzani wa mwisho kupata zaidi 35% ya kura ,kwa miaka zaidi ya 100 Tanzania haitashuhudia tena wingi wa kura za upinzani wa zaidi ya 20%.
Wewe wasemaYatawakuta yaliyomkuta Sadamu husseni na Albashiri wa Sudani
Lazima tuangalie mifano ya yaliowakuta viongozi wabishi wa kuachia madarakaWewe wasema