Je, hii ni sawa?

Je, hii ni sawa?

PM kufata nini? Ushauri wa hapa ni kwa msaada wa vizazi vitakavyo kuta thread na achilia mbali vizazi kuna watu humu humu wanajifunza huko PM unataka kumfanya nin? Dada wa watu mbona yeye akufanya siri na kwenye hili jambo hakuna siri tujaribu kubadilika sio mda wote tunawaza chini tu af kutwa kulaumu maisha magumu.

Mkuu wangu nimeongea kiutani sikua serious na pia mimi sina maisha magumu kama unavyosema. Na kumbuka ni hulka yetu wanaume kamili kuwaza chini inapotokea una ham, au vip siku njema huko uliko.
 
Halafu kwanza sio kila mwanamke lazima aolewe,pambana na maisha wewe kama wewe ,ikitokea mungu akakupatia mume shukuru,chukua hatua.ulipofikia hapo naunga mkono hoja ya wewe kuondoka hapo nyumbani.

Kila mwanamke akiolewa nyumba ndogo tutatoa wap
 
Mkuu wangu nimeongea kiutani sikua serious na pia mimi sina maisha magumu kama unavyosema. Na kumbuka ni hulka yetu wanaume kamili kuwaza chini inapotokea una ham, au vip siku njema huko uliko.
Sawa mkuu mengine ni nyongeza tu lakini hoja ilikuwa ni umuhimu wa mchango wako jukwaani asante na siku njema kwako pia
 
Atleast nimepata anaeelekeana na mawazo yangu asante kwakuchangia kuhusu hao wadada ntazingatia
Ukiwa unataka ushauri hakikisha auna mawazo yako binafsi na km Unamawazo yako binafsi yafanyie kazi ayo ayo maana wew unakua tayar na mapendekezo yako ivyo ata ukishauriwa nikazi bure nakushaur usitafte kushauriwa na unamapendekezo yako utapotea
 
Wewe kuna kitu hauko sawa ndo maana wazazi wako hawataki uhame. Labda tukuulize, huo uhuru unaotaka ni uhuru gani? Nini unakosa by the way.
Au unafata mkumbo kuona mabint wengine wamepanga nawe ukapange unahisi kuna kitu umepungukiwa?

Wewe hauko sawa somewhere ndio maana hata uzi huu umeuweka MMU.
 
Wazazi wanaweza kuwa sawa ila unaweza usitambue hili kwa Sasa,utawashukuru baadaye
Kama sehemu unapofanya kazi si mbali Na nyumbani then hakuna umuhimu wa kutoka kwenda kupanga.

Wadada wengi japo Sio wote wanaotoka nyumbani na kwenda kupanga mwisho wake huwa ni mimba na kuzalishwa bila ndoa...ule Uhuru unazidi.
Huo Ni mtazamo wangu kutokana na experience yangu
Nimeshuhudia haya kwa macho yangu
Sikushauri kwenda kupanga dadangu

Asante kwa ushauri nimekwelewa
 
Amua wewe utulie kwenu upate mme au ukapange uishie kwa madanga?
Hakuna mtu mpuuzi atakayekuoa ukiwa umepanga na kwenu ni hapohapo
Ingekuwa kwenu mkoa hapo afadhali ila kwenu ni hapohapo bado umepanga tena mtoto wa kike? Maana yake unapenda kujitegemea na hupend kuwa chini ya mtu
Hata mme utamsumbua maana unapenda uhuru

Sawa ninekuelewa mkuu ingawa sivyo ninavyofikiria
 
PM kufata nini? Ushauri wa hapa ni kwa msaada wa vizazi vitakavyo kuta thread na achilia mbali vizazi kuna watu humu humu wanajifunza huko PM unataka kumfanya nin? Dada wa watu mbona yeye akufanya siri na kwenye hili jambo hakuna siri tujaribu kubadilika sio mda wote tunawaza chini tu af kutwa kulaumu maisha magumu.

Asante
 
Hata me nimesoma majibu yake hapa naona hajafata ushaur ila amekuja kututarifu kuwa anapanga
Aisee usisahau kunambia umehamia wap niwe nakuja kupaki Bm yangu hapo

Umekuza mambo mkuu siko huko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom