Je, hii ni sawa?

Je, hii ni sawa?

Halafu kwanza sio kila mwanamke lazima aolewe,pambana na maisha wewe kama wewe ,ikitokea mungu akakupatia mume shukuru,chukua hatua.ulipofikia hapo naunga mkono hoja ya wewe kuondoka hapo nyumbani.

Asante kwa mchango wako mkuu
 
Pia kama pato lako ni 30k kwa siku,una nafasi kubwa ya kuwashawishi
 
Wakuu nisaidieni kunishauri nahitaji kujitegemea kutoka nyumbani na kwenda kupanga ila tangu niwashirikishe nyumbani kuhusu mpango wangu kila mtu amelichukulia kwa mtazamo negative kwamba ni mapema kwenda kupanga kwa mtoto wa kike,natakiwa niondoke mpaka niolewe,najiona nimekua,nimepata bwana/danga ndoananichanganya,nitakua siheshimiki katika jamii.

Je kama Ke siruhusiwi kuendesha maisha yangu kwakua sijaolewa bado?

Hii ni sawa kweli?
Kwa kweli kwa mtoto wa kike anayelelewa na wazazi sioni sababu za msingi za kukufanya uondoke nyumbani labda kuwe sababu za msingi kama kazi,au elimu tofauti na hayo labda unatafuta uhuru ambao baadae unaweza ukageuka kilio.
 
Mkuu ukishapanga ulete mrejesho nataka kuja likizo kwako tukifunga shule
 
Mkuu ukishapanga ulete mrejesho nataka kuja likizo kwako tukifunga shule
 
Kwani ukizeekea kwenu nini kinatokea? Hapo ni kwenu na hao ni wazazi wako

Sawa ila swali kuu ni kwamba sina haki ya kuendeleza maisha yangu sababu tu jamii itanichukulia mhuni
 
Kwa kweli kwa mtoto wa kike anayelelewa na wazazi sioni sababu za msingi za kukufanya uondoke nyumbani labda kuwe sababu za msingi kama kazi,au elimu tofauti na hayo labda unatafuta uhuru ambao baadae unaweza ukageuka kilio.

Asante nimekwelewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom