Je, hii ni sawa?

Je, hii ni sawa?

Tena nikakwambia ukitaka kupanga consult me nina nyumba mbili....weyeeeee!!!!
Sababu kuu ya huu uzi ni kuomba ushauri na kuona fikra za wengine zikoje juu ya swala hili ndomana nimejaribu kujibu kila uzi ili nichallage waliokua wanaenda kinyume na mawazo yangu bt sijafanikiwa kupata sababu zaidi ya kuona ukandamizaji na dharau tu kwamba Ke hawezi kujitegemea kabla hajaolewa or akijitegemea basi atatumika tu na kuishia kuwa single mum apart from this reasommn hamna alieleta jibu tofauti this means mnaona Ke ni dhaifu kiasi cha kuwaona ni wa kutumika tu this includes u
 
una kazi gani...? una uhakika wa kupata kiasi gani kwa siku...? una weza kujihudumia...ukiumwa...? kulipa kodi...? kulipa biri ya umeme...? kama kuna jibu la hapana hapo kaa chonjo wasikilize wazazi wako
 
una kazi gani...? una uhakika wa kupata kiasi gani kwa siku...? una weza kujihudumia...ukiumwa...? kulipa kodi...? kulipa biri ya umeme...? kama kuna jibu la hapana hapo kaa chonjo wasikilize wazazi wako

Sawa nimekuelewa
 
Nimekwelewa sana tu na asante kwakuchangia ila sijapata mtu na nadhani naumia zaidi napoona nakuwa denied kuendesha maisha kwa maamuzi yangu mwenyewe just becouse sijaolewa...inamaana nisipopata mtu ntaishiaga kukaa kwetu
Kwa jeuri hii hata wakukuoa haji leo wala kesho so go on with your life
 
Wazazi wanaweza kuwa sawa ila unaweza usitambue hili kwa Sasa,utawashukuru baadaye
Kama sehemu unapofanya kazi si mbali Na nyumbani then hakuna umuhimu wa kutoka kwenda kupanga.

Wadada wengi japo Sio wote wanaotoka nyumbani na kwenda kupanga mwisho wake huwa ni mimba na kuzalishwa bila ndoa...ule Uhuru unazidi.
Huo Ni mtazamo wangu kutokana na experience yangu
Nimeshuhudia haya kwa macho yangu
Sikushauri kwenda kupanga dadangu
Lakin pia hata wakiolewa ndoa hazidumu, kwasababu baada ya kupanga mdada anazoea kuishi peke yake na kujiamulia kila jambo tofauti na alipokuwa kwa wazazi. Kwa hiyo suala la mume kuja kuanza kumpangia mambo na kumtawala linaanza kumuumiza na mara nyingi wanaachika ili warudi kwenye maisha ya uhuru

Unafikiri ni kwa nin wanawake wa zamani hawakuwa wakiachika kirahisi? Sababu moja wapo ni hii, kwamba hawakuwahi kuishi peke yao na kujiamulia mambo.
Kwa hiyo wazazi wake wanania njema sana na huyu binti.

NB: lakin swali la ziada, unakubalije kufika 28 to 30 year ukiwa bado hujaolewa, nadhani unatakiwa kujichunguza wewe mwenyewe na kama una mtu tayar basi olewa na mkaanzishe maisha kuliko kwenda kupanga mtaani na kuishi peke yako
 
Lakin pia hata wakiolewa ndoa hazidumu, kwasababu baada ya kupanga mdada anazoea kuishi peke yake na kujiamulia kila jambo tofauti na alipokuwa kwa wazazi. Kwa hiyo suala la mume kuja kuanza kumpangia mambo na kumtawala linaanza kumuumiza na mara nyingi wanaachika ili warudi kwenye maisha ya uhuru

Unafikiri ni kwa nin wanawake wa zamani hawakuwa wakiachika kirahisi? Sababu moja wapo ni hii, kwamba hawakuwahi kuishi peke yao na kujiamulia mambo.
Kwa hiyo wazazi wake wanania njema sana na huyu binti.

NB: lakin swali la ziada, unakubalije kufika 28 to 30 year ukiwa bado hujaolewa, nadhani unatakiwa kujichunguza wewe mwenyewe na kama una mtu tayar basi olewa na mkaanzishe maisha kuliko kwenda kupanga mtaani na kuishi peke yako
Hii kufika 30 hujaolewa Kuna sababu nyingi mkuu,,sidhani Kama Kuna mwanamke anapenda kufika umri huo bila kuwa kwenye ndoa
Sometimes disappointment hutokea mambo yanaenda ndivyo sivyo ,unakuja gundua mtu uliemtegemea akuoe alikuwa anakupotezea muda

Kwangu naona tatizo sio 28,
Ila Kama analitafuta balaa aende kupanga..yaani kupanga Ni kutafuta balaa kwa Hali na Mali..hili nimeshuhudia kwa macho yangu mwenyewe
Hata ile chance iliyokuwepo ya kuolewa hupotea ukienda kupanga

Shetani amewanasa wadada hapa.,na wengi Sana wamenaswa wameishia kubeba Mimba na kuwa single mama.

Japo Kuna wanaoweza kusurvive ila ni wachache sana
 
Hii kufika 30 hujaolewa Kuna sababu nyingi mkuu,,sidhani Kama Kuna mwanamke anapenda kufika umri huo bila kuwa kwenye ndoa
Sometimes disappointment hutokea mambo yanaenda ndivyo sivyo ,unakuja gundua mtu uliemtegemea akuoe alikuwa anakupotezea muda

Kwangu naona tatizo sio 28,
Ila Kama analitafuta balaa aende kupanga..yaani kupanga Ni kutafuta balaa kwa Hali na Mali..hili nimeshuhudia kwa macho yangu mwenyewe
Hata ile chance iliyokuwepo ya kuolewa hupotea ukienda kupanga

Shetani amewanasa wadada hapa.,na wengi Sana wamenaswa wameishia kubeba Mimba na kuwa single mama.

Japo Kuna wanaoweza kusurvive ila ni wachache sana
Ulichokiongea ni sawa, lengo la kuuliza hilo swali ni kumpa challenge ajifikirie kwanza, kama kunatatizo lolote upande wake. Then afikirie maisha yake ya ndoa wakati wa kuolewa utakapo fika, na si kwamba nimemshutumu kwamba yeye ndiye mwenye matatizo.
 
Ulichokiongea ni sawa, lengo la kuuliza hilo swali ni kumpa challenge ajifikirie kwanza, kama kunatatizo lolote upande wake. Then afikirie maisha yake ya ndoa wakati wa kuolewa utakapo fika, na si kwamba nimemshutumu kwamba yeye ndiye mwenye matatizo.
Sawa,,nimekuelewa vema
 
Lakin pia hata wakiolewa ndoa hazidumu, kwasababu baada ya kupanga mdada anazoea kuishi peke yake na kujiamulia kila jambo tofauti na alipokuwa kwa wazazi. Kwa hiyo suala la mume kuja kuanza kumpangia mambo na kumtawala linaanza kumuumiza na mara nyingi wanaachika ili warudi kwenye maisha ya uhuru

Unafikiri ni kwa nin wanawake wa zamani hawakuwa wakiachika kirahisi? Sababu moja wapo ni hii, kwamba hawakuwahi kuishi peke yao na kujiamulia mambo.
Kwa hiyo wazazi wake wanania njema sana na huyu binti.

NB: lakin swali la ziada, unakubalije kufika 28 to 30 year ukiwa bado hujaolewa, nadhani unatakiwa kujichunguza wewe mwenyewe na kama una mtu tayar basi olewa na mkaanzishe maisha kuliko kwenda kupanga mtaani na kuishi peke yako

Nimekuelewa ila nimependa hii NB yako huwezi kumuuliza Ke kwanini hajaolewa sababu sio amri yake kuolewa wala hawezi jilazimisha kwa mwanaume maisha hayaishi sababu hujaolewa
 
Pia mtoa mada unatakiwa kujua hisia za mzazi kuelekea mtoto wake, hasa mtoto wa kike
Wazazi huumia sana kumuona mtoto wao wa kike akiishi peke yake, kwa sababu wanakuwa na wasiwasi kwamba labda mtoto wetu hataolewa, na pia wanahisi kwamba atatumika sana na wanaume tofauti tofauti ( wanawaza hivi hata kama mtoto wao anaishi peke yake baada ya kupangiwa kazi mkoa tofauti). Lakini pia wanaona kama jamii itawachukulia vibaya kwa kukuruhusu uondoke.
 
Kama una kipato cha kuweza kiendesha maisha yako bila kutegemea msaada wa familia kaaa na wazazi uwaombe wakuruhusu ujiyegemeee. Kukaa maisha ya kujiyegemea kutakufanya uongeze utafutaji kwa kuwa utakuwa unaona mapungufu yaliyopo ndani.
Ili inabidi ujitegemee kama una umti wa 25+
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom