feysher
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 2,656
- 2,762
Wakuu nisaidieni kunishauri nahitaji kujitegemea kutoka nyumbani na kwenda kupanga ila tangu niwashirikishe nyumbani kuhusu mpango wangu kila mtu amelichukulia kwa mtazamo negative kwamba ni mapema kwenda kupanga kwa mtoto wa kike,natakiwa niondoke mpaka niolewe,najiona nimekua,nimepata bwana/danga ndoananichanganya,nitakua siheshimiki katika jamii.
Je kama Ke siruhusiwi kuendesha maisha yangu kwakua sijaolewa bado?
Hii ni sawa kweli?
Je kama Ke siruhusiwi kuendesha maisha yangu kwakua sijaolewa bado?
Hii ni sawa kweli?