Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,988
- 22,379
Kumbe na busara unazo piaLabda expression ya hili swala umelichukia kama ujuaji mkuu ila sikua namaanisha kujiona najua zaidi
Kumbe na busara unazo piaLabda expression ya hili swala umelichukia kama ujuaji mkuu ila sikua namaanisha kujiona najua zaidi
Sorry, maana yangu ni moja, kwamba unapofikiria hilo jiridhishe mwenyewe kwamba sijachangia chochote kwa kutoolewa katika umri huu, bali Mungu bado haja mleta mtu aliyenipangia. Then ndipo u move on with your decision.Nimekuelewa ila nimependa hii NB yako huwezi kumuuliza Ke kwanini hajaolewa sababu sio amri yake kuolewa wala hawezi jilazimisha kwa mwanaume maisha hayaishi sababu hujaolewa
Nakutafuta mkuuKwani ukizeekea kwenu nini kinatokea? Hapo ni kwenu na hao ni wazazi wako
Pia mtoa mada unatakiwa kujua hisia za mzazi kuelekea mtoto wake, hasa mtoto wa kike
Wazazi huumia sana kumuona mtoto wao wa kike akiishi peke yake, kwa sababu wanakuwa na wasiwasi kwamba labda mtoto wetu hataolewa, na pia wanahisi kwamba atatumika sana na wanaume tofauti tofauti ( wanawaza hivi hata kama mtoto wao anaishi peke yake baada ya kupangiwa kazi mkoa tofauti). Lakini pia wanaona kama jamii itawachukulia vibaya kwa kukuruhusu uondoke.
Kama una kipato cha kuweza kiendesha maisha yako bila kutegemea msaada wa familia kaaa na wazazi uwaombe wakuruhusu ujiyegemeee. Kukaa maisha ya kujiyegemea kutakufanya uongeze utafutaji kwa kuwa utakuwa unaona mapungufu yaliyopo ndani.
Ili inabidi ujitegemee kama una umti wa 25+
May be this is realitySababu kuu ya huu uzi ni kuomba ushauri na kuona fikra za wengine zikoje juu ya swala hili ndomana nimejaribu kujibu kila uzi ili nichallage waliokua wanaenda kinyume na mawazo yangu bt sijafanikiwa kupata sababu zaidi ya kuona ukandamizaji na dharau tu kwamba Ke hawezi kujitegemea kabla hajaolewa or akijitegemea basi atatumika tu na kuishia kuwa single mum apart from this reasommn hamna alieleta jibu tofauti this means mnaona Ke ni dhaifu kiasi cha kuwaona ni wa kutumika tu this includes u
I seeBoth mkuu ingekua ushauri tu nisingejibu kimtazamo wangu
Good100%
Ninachokwambia ni uhalisia. Ila unachokisema ww ni unachodhani. Tunaishi nao mitaani, tunaona yanayotokeaSababu kuu ya huu uzi ni kuomba ushauri na kuona fikra za wengine zikoje juu ya swala hili ndomana nimejaribu kujibu kila uzi ili nichallage waliokua wanaenda kinyume na mawazo yangu bt sijafanikiwa kupata sababu zaidi ya kuona ukandamizaji na dharau tu kwamba Ke hawezi kujitegemea kabla hajaolewa or akijitegemea basi atatumika tu na kuishia kuwa single mum apart from this reasommn hamna alieleta jibu tofauti this means mnaona Ke ni dhaifu kiasi cha kuwaona ni wa kutumika tu this includes u
Prove itTena zaidi ya hizi mkuu sema ubishi tu
May beFew have proven wrong n maybe am one of them