Kama mazingira ya kazini na nyumbani sio mbali, huna sababu za kupanga. Wewe ni mtoto wa kike, ikitokea ukapangiwa kazi nje/mbali na wazazi basi hapo ni sawa/lazima upange, ila upo home na sio mbali ya kazini wala huna sababu ya kuondoka.
Najua unachotaka hapo ni freedom, ili kidume kiweze kuja na kukukanda kirahisi, but a decent lady would stay with her parents till she ties the knots.
Ni pm tafadhal kuna waoaji kibao wanatafuta mkeUhh weee
🤣🤣🤣🤣Hapa umeongea kama wewe sasa. Like nimekupa nkimaanisha
Fanya fanya kutuma nauli tutimize ndoto hizoi dont know why but hua nawish nikuone one day