Je, hii ni sawa?

Je, hii ni sawa?

Fuata tu ushauri wa wazazi, wanawake wengi tukijitegemea kwa muda tunakuwa viburi na ngumu kuwa chini ya mtu. No wonder na ndoa zimekuwa mitihani siku hizi.
 
Ikiwa kazi nikaribu na home, tulia hapo home....
 
Kwaiyo nizeekee kwetu sababu nitaonekana nimepangishia nyumba kweli
Mtu ajionavyo ndivyo alivyo km unaona utazeekea kwenu ndivyo ilivyo na atakae ona mume atamkuta nyumbani kwao ndivyo ilivyo MAISHA NI KUPANGA NA KUPANGA NI KUCHAGUA
 
Fuata tu ushauri wa wazazi, wanawake wengi tukijitegemea kwa muda tunakuwa viburi na ngumu kuwa chini ya mtu. No wonder na ndoa zimekuwa mitihani siku hizi.

Asante nimekwelewa
 
Mtu ajionavyo ndivyo alivyo km unaona utazeekea kwenu ndivyo ilivyo na atakae ona mume atamkuta nyumbani kwao ndivyo ilivyo MAISHA NI KUPANGA NA KUPANGA NI KUCHAGUA

Sawa mkuu
 
Ukiruhusiwa kuhama na wazazi wako mkuu usisite kunielekeza/kunambia mtaa utakapohamia.
 
Sasa nikimpata ntamrudi vipi nyumbani sindontaolewa huko nilipoipata mkuu
mwanangu tulia kwanza nyumbani. Sasa hivi wanakukataza, taratibu watakukubalia... Nakuombea upate mume haraka... Wasichana wanakaa mbali na nyumbani kama wako mkoa mwingine au jiigrafia ya anapofanyia kazi hairuhusu...
Kuwa mwangalifu sana kuzalishwa sio ticket ya kuolewa wengi wamebaki single mother. Pia jiepushe na waume za watu kwa kuepuka mawazo ya makahaba eti hakuna cha peke yako, ...malipo utayapata hapahapa chini ya jua.
Mungu akujalie uwe msikivu na mwenye kuamua mambo kwa hekima. Ubarikiwe mama
 
mwanangu tulia kwanza nyumbani. Sasa hivi wanakukataza, taratibu watakukubalia... Nakuombea upate mume haraka... Wasichana wanakaa mbali na nyumbani kama wako mkoa mwingine au jiigrafia ya anapofanyia kazi hairuhusu...
Kuwa mwangalifu sana kuzalishwa sio ticket ya kuolewa wengi wamebaki single mother. Pia jiepushe na waume za watu kwa kuepuka mawazo ya makahaba eti hakuna cha peke yako, ...malipo utayapata hapahapa chini ya jua.
Mungu akujalie uwe msikivu na mwenye kuamua mambo kwa hekima. Ubarikiwe mama

Asante baba nitafanyia kazi busara zako
 
Labda expression ya hili swala umelichukia kama ujuaji mkuu ila sikua namaanisha kujiona najua zaidi
Kwa 28 age! Sepa tu hapo home ukatafute bahati kwingine,kama waoaji hapo kwenu hawajakuona ujue riziki haipo hapo.ukikaa hapo itafika hata 35.
 
Kwa 28 age! Sepa tu hapo home ukatafute bahati kwingine,kama waoaji hapo kwenu hawajakuona ujue riziki haipo hapo.ukikaa hapo itafika hata 35.

Ndonilichokua nauliza inamaana maisha yangu yatasimama kwakua sijapata mume au kuwa nyumbani pekee ndoticket ya kuolewa
 
Ndonilichokua nauliza inamaana maisha yangu yatasimama kwakua sijapata mume au kuwa nyumbani pekee ndoticket ya kuolewa
Halafu kwanza sio kila mwanamke lazima aolewe,pambana na maisha wewe kama wewe ,ikitokea mungu akakupatia mume shukuru,chukua hatua.ulipofikia hapo naunga mkono hoja ya wewe kuondoka hapo nyumbani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom