Je, hii ni sawa?

Je, hii ni sawa?

Utazeekea nyumbani miaka 28 sio mchezo mkuu nenda kajilie utawala mwenyewe uko.
 
Unataka tu huru ili uwe unapata dozi ya kutosha huna lolote. Maadili gani hayo ya kutaka kwenda kupanga wakati wewe ni mtoto wa kike?

Kaa nyumbani mpaka utakapoolewa ndiyo uende kupanga huko na mume wako.

Unakosa nini nyumbani kwenu?
 
Unataka tu huru ili uwe unapata dozi ya kutosha huna lolote. Maadili gani hayo ya kutaka kwenda kupanga wakati wewe ni mtoto wa kike?

Kaa nyumbani mpaka utakapoolewa ndiyo uende kupanga huko na mume wako.

Unakosa nini nyumbani kwenu?

Sawa mkuu asante kwa ushauri
 
Sawa mkuu
Mkuu kwani Uko mkoani gani? Naomba tufahamiane Mkuu.

Usije ukakuta ni Mdogo wangu maana wiki hii yote ameng'ang'ania anataka kuhama home.

Nikamsihi asubiri aolewe kwanza naona amenblock kabisa.
 
Unaomba ushauri au unatafuta wakukuunga mkono kwenye mawazo yako? Maana naona kila aliye against na wewe, hutaki kukubaliana nae as if ushafanya maamuzi tayari.

Jiulize yafuatayo:

1. Kwann uhame nyumbani? Uhuru gani unakosa? Kwann unahisi unabanwa?

2. Unataka kuanza kujitegemea?, sawa. Huna mtoto bado, unahudumia wazazi wako vizuri? Au mpaka wakwambie ndio ujue wanahitaji kitu fulani au vitu fulani?

Ushauri wangu:

Hapo kwenu, najua utakuwa na chumba chako. Make it full. Jaza mahitaji yako yote muhimu ndani ya icho chumba as if umepanga. Chukua jukumu la kuilea familia yako, hasa wazazi ( sio mpaka wakuombe au uambiwe)


Kitu ambacho hujui/hukioni kwasasa:

Sasa hivi yawezekana unamsimamo thabiti, ila tambua ni nadra sana kwa msichana kucontrol uhusiano, mara nyingi nyie huwa mnafatisha na ni ngumu kujua wanaume wanafikiria nini mkiwa kwenye mahusiano. Utapanga chumba, utapata mpenzi. Atakuwa sometimes analala na kuamkia hapo (huwezi kumzuia),kiufupi utakuwa kama mke, hadi siku atakayokupiga chini.

Unaweza ukakuta ndani ya miezi 4 ya kuwa nje ya nyumbani ukawa umepitia mahusiano machache lakini umetumika sana tofauti na ungekuwa nyumbani.


Nyongeza:

Jiulize kama unahitaji ushauri au unahitaji mtu wa kusupport mawazo yako. Alafu chukua hatua.


Analyse
 
Unaomba ushauri au unatafuta wakukuunga mkono kwenye mawazo yako? Maana naona kila aliye against na wewe, hutaki kukubaliana nae as if ushafanya maamuzi tayari.

Jiulize yafuatayo:

1. Kwann uhame nyumbani? Uhuru gani unakosa? Kwann unahisi unabanwa?

2. Unataka kuanza kujitegemea?, sawa. Huna mtoto bado, unahudumia wazazi wako vizuri? Au mpaka wakwambie ndio ujue wanahitaji kitu fulani au vitu fulani?

Ushauri wangu:

Hapo kwenu, najua utakuwa na chumba chako. Make it full. Jaza mahitaji yako yote muhimu ndani ya icho chumba as if umepanga. Chukua jukumu la kuilea familia yako, hasa wazazi ( sio mpaka wakuombe au uambiwe)


Kitu ambacho hujui/hukioni kwasasa:

Sasa hivi yawezekana unamsimamo thabiti, ila tambua ni nadra sana kwa msichana kucontrol uhusiano, mara nyingi nyie huwa mnafatisha na ni ngumu kujua wanaume wanafikiria nini mkiwa kwenye mahusiano. Utapanga chumba, utapata mpenzi. Atakuwa sometimes analala na kuamkia hapo (huwezi kumzuia),kiufupi utakuwa kama mke, hadi siku atakayokupiga chini.

Unaweza ukakuta ndani ya miezi 4 ya kuwa nje ya nyumbani ukawa umepitia mahusiano machache lakini umetumika sana tofauti na ungekuwa nyumbani.


Nyongeza:

Jiulize kama unahitaji ushauri au unahitaji mtu wa kusupport mawazo yako. Alafu chukua hatua.


Analyse

Sababu kuu ya huu uzi ni kuomba ushauri na kuona fikra za wengine zikoje juu ya swala hili ndomana nimejaribu kujibu kila uzi ili nichallage waliokua wanaenda kinyume na mawazo yangu bt sijafanikiwa kupata sababu zaidi ya kuona ukandamizaji na dharau tu kwamba Ke hawezi kujitegemea kabla hajaolewa or akijitegemea basi atatumika tu na kuishia kuwa single mum apart from this reasommn hamna alieleta jibu tofauti this means mnaona Ke ni dhaifu kiasi cha kuwaona ni wa kutumika tu this includes u
 
Hata mimi nilokushauri?! Mmmmh!!
Sababu kuu ya huu uzi ni kuomba ushauri na kuona fikra za wengine zikoje juu ya swala hili ndomana nimejaribu kujibu kila uzi ili nichallage waliokua wanaenda kinyume na mawazo yangu bt sijafanikiwa kupata sababu zaidi ya kuona ukandamizaji na dharau tu kwamba Ke hawezi kujitegemea kabla hajaolewa or akijitegemea basi atatumika tu na kuishia kuwa single mum apart from this reasommn hamna alieleta jibu tofauti this means mnaona Ke ni dhaifu kiasi cha kuwaona ni wa kutumika tu this includes u
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom