fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 11,109
- 19,990
Ni kweli but it sounds awkward.Lugha inakuwa kila siku misamiati inaongezeka..kwa kuwa wewe hupendi kusikia neno fulani haina maana halitazungumzwa.
Ni kweli but it sounds awkward.Lugha inakuwa kila siku misamiati inaongezeka..kwa kuwa wewe hupendi kusikia neno fulani haina maana halitazungumzwa.
Hujui asili yake so una haki ya kukaa kimya ama kuuliza..Unadhani anayeanika fedha hadharani na anayemuonya asifoke katika maisha ya kawaida jamii inampokea yupi? Huu msamiati hauna jinsia, kama wewe ni mwanaume ukampost mpenzi wako mzuri wenye wake wasio presentable wana haki ya kikatiba ya kuomba wasifokewe.
Depending on who behold it...Ni kweli but it sounds awkward.
Kuna mtu humu JF nilimuuliza huu msemo umeanzia wapi akasema kwa TID lkn majuzi kati nikicheki TV nikaona anahojiwa TID khs msemo wa NI YEYE kutumiwa na Chadema then wakamhoji Baba Level khs msemo wake wa Usinifokee kutumika mitandaoni.
Ni baba levo ndio muasisi sioKuna mtu humu JF nilimuuliza huu msemo umeanzia wapi akasema kwa TID lkn majuzi kati nikicheki TV nikaona anahojiwa TID khs msemo wa NI YEYE kutumiwa na Chadema then wakamhoji Baba Level khs msemo wake wa Usinifokee kutumika mitandaoni.
Akasema huo ni msemo kwny wimbo wake aliouachia majuzi kati,ndipo nikajua source ya msemo huu.
Absolutely mkuu.
HahahahaHujui asili yake so una haki ya kukaa kimya ama kuuliza..Unadhani anayeanika fedha hadharani na anayemuonya asifoke katika maisha ya kawaida jamii inampokea yupi? Huu msamiati hauna jinsia, kama wewe ni mwanaume ukampost mpenzi wako mzuri wenye wake wasio presentable wana haki ya kikatiba ya kuomba wasifokewe.
Hahahaha, Mkuu unatosaHahaha ujeda unatokea wapi mkuu?!!
Mi raia kama wewe tu. Rufurahi pamoja
Hili ndilo la msingiView attachment 1532651
Ngoja nimalizie kinywaji changu nikamfate mama Bhoke nyumbani!
Ungekua karibu hapa ukainsist niondoke mapema hii na kwa chambichambi nilizokuona nazo najua unataka kutia nia,hapo mwenye maamuzi ni mwenye kura yake biside.Si wajumbe
Kumbe huwa unaenda huko?Carnival
Mimi nitalinda mchanaLindo iimeisha
Gwanda na buti vipo?Mimi nitalinda mchana
VipoGwanda na buti vipo?
Usisahau kadi ya chama...Vipo
Tena mie jeshi la mtu mmoja