Maserati
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 11,602
- 20,098
Nipoooo. Nalala mapema baridi hiliiiUpo kama kakakuona jamani
Nipoooo. Nalala mapema baridi hiliiiUpo kama kakakuona jamani
Bhana leo usiondoke mapema kuna Dingimtoto ananionea sana.Nipoooo. Nalala mapema baridi hiliii
Anakuonea wapi baby??Bhana leo usiondoke mapema kuna Dingimtoto ananionea sana.
Yaani ananiambia eti nguvu yangu ni wewe tu akikuteka mi nazimia.Anakuonea wapi baby??
Heeeee maza wa kitaaa, Jei Jizii, oohh sorry Jei jezi, mmmh. Yaani kutamka jina lako mi mpaka nimuulizeOoops
habari za wanajamvi wa uzi huu upendwao na watu wengi. Uzi wenye habari za kikubwa na si uzi uliotekwa na wanafunzi. Nimewamisi sana tena sana. Nakumbuka sana mifupa yangu ilivyokuwa ikishamiri kwa story na vicheko vya baadhi ya stories za humu.
Najua na nilikuwa napata taarifa zenu kutoka kwa KK kila siku na leo nimemweleza kuwa naja humu na imetubidi tupumzishe assignment niliyokuwa nafanya kwa muda.
Herry ya mwaka mpya wote wote sitaki kuanza kutaja majina maana naweza msahau mtu mmoja ikalet shida. Ila Thad Mungu anakuona ulivyokuwa ukinizunguka.
mimi bado nakupenda
jomoni! Basi nifundishe!Heeeee maza wa kitaaa, Jei Jizii, oohh sorry Jei jezi, mmmh. Yaani kutamka jina lako mi mpaka nimuulize![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
jomoni! Basi nifundishe![/QUOTEhahahhahahahahaha
umuulize nani jaman? Unaliwezea bhana fanya fanya mazoezi
ulivyoniita maza wa kitaa nikagundua wewe ndie yule jiran yangu unanifungiaga tinted wakati huu wa mvua hutaki kutoa lift. Kesho usifanye hivyo bhana maana sharing is caring
teh meaning sharing a car and not otherwise
Ooooops!
Mbona unalimwaga hapa jamani! Si ungeninong'oneza kuleeee. Duh, saa mbona unaniharibia Ubunge wangu jamani. Nataka kugombea, kama nimekukosea unanifuata taratibu.
Mida mida mida yenyewe hiyoWellah! wellahhhhhhh!
Karibu Sana comrade.Hodi
Leo mapema mkuu nini tatizo Au Inna kutoonekanaUsiku mwema mi nalala
Jiandika aisee sio kwa umbea huu. Acha nitafute ile nimeandika nione nani ka editMbona unalimwaga hapa jamani! Si ungeninong'oneza kuleeee. Duh, saa mbona unaniharibia Ubunge wangu jamani. Nataka kugombea, kama nimekukosea unanifuata taratibu.
Nakupenda Sana mpenzi karibu tena kipenziOoops
habari za wanajamvi wa uzi huu upendwao na watu wengi. Uzi wenye habari za kikubwa na si uzi uliotekwa na wanafunzi. Nimewamisi sana tena sana. Nakumbuka sana mifupa yangu ilivyokuwa ikishamiri kwa story na vicheko vya baadhi ya stories za humu.
Najua na nilikuwa napata taarifa zenu kutoka kwa KK kila siku na leo nimemweleza kuwa naja humu na imetubidi tupumzishe assignment niliyokuwa nafanya kwa muda.
Herry ya mwaka mpya wote wote sitaki kuanza kutaja majina maana naweza msahau mtu mmoja ikalet shida. Ila Thad Mungu anakuona ulivyokuwa ukinizunguka.
mimi bado nakupenda
Nakupenda zaidi yà maneno yanavyoweza kuelezea.Nakupenda Sana mpenzi karibu tena kipenzi
Hebu sema tenaNakupenda Sana mpenzi karibu tena kipenzi