Yegomasika
JF-Expert Member
- Mar 21, 2009
- 13,164
- 61,272
Karibu sana na huku sio kul kweny likes tu
Shukrani sana! Nitakuwa nakatiza mitaa hii mara kwa mara!
Karibu sana na huku sio kul kweny likes tu
aje akilambe sio kukinyonyaSna shidaaa ya kunyofolewa kiharage
Dah! afadhali mi sipo,kuzikana tenaNawatafuta hawa jamaa zangu nilipoteana nao tangu 2017 naomba yeyote mwenye contact zao anisaidie au awaambieni waje kuniona nimelazwa Mirembe kwa ajili ya kuwamiss:-
1.jje's
2.Neybright
3.Manga ML
4.Nleterewa Nganengo
5.Good Samaritan
6. ArleN
7. Hb wa kigogo
8.Kichwa Kichafu
9. Joseverest
10.wewe hapo......
Ujumbe: Nikifa kabla hamjaja kuniona msije kunizika!
Sawa sawa ,napita hapo sasa hvhuku mtaa wa saba.
Tupo tunaota moto kupunguza baridiHuu mtaa unasikitisha sahv hamna popo ata mmoja...baridi nn