Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,331
- 96,584
01:24 niki Kesha jua nalaza usingizi,
Upo au ushapoteaUsiwaze expert wangu,binafsi napotea mda c mrefu,halafu wanakuja wadau wenyewe
Umeingiaje02:29
Mkuu niliomba msaada makao makuu..😁😁😁😁 all in all nipo.hapa.na sifanyi tena zile habari za logout sijui 😁😁😁🙌🙌🙌🙌Umeingiaje
Mkuu niliomba msaada makao makuu..😁😁😁😁 all in all nipo.hapa.na sifanyi tena zile habari za logout sijui 😁😁😁🙌🙌🙌🙌
We jamaa ulalagi kwani
Kama mimi ni ndoto ndo imenistua haoa nimeota nafumaniwa na demu wangu daaaah 😂 🙌 🙏Nme stuka na ndoto ya kumpiga mtu mpaka nika muonea huruma
Yako iyo jau 😂😂 mm naota nime mpiga mpaka na mbeba kama mfuko nimtoe nje af mtu na mjua now tumepishana kauli tuKama mimi ni ndoto ndo imenistua haoa nimeota nafumaniwa na demu wangu daaaah 😂 🙌 🙏
Ahahahha inaelekea kitaalamu utakuja kumpiga kweli hapo umempiga kirohi mkuu ahahahaYako iyo jau 😂😂 mm naota nime mpiga mpaka na mbeba kama mfuko nimtoe nje af mtu na mjua now tumepishana kauli tu
Ata ivyo ni mdogo kwangu ana kaupumbavu asije kuji changanya tuAhahahha inaelekea kitaalamu utakuja kumpiga kweli hapo umempiga kirohi mkuu ahahaha
😅😅Ata ivyo ni mdogo kwangu ana kaupumbavu asije kuji changanya tu