JamiiForums Usiku wa manane
Uume unasimama mno Kuanzia saa tisa usiku sijui kwanini
Mummy water kakutembelea

9c6f599dbc8888519f89fc1b57ed20ce (1).jpg
 
2347hrs

"We don't have AK47 but we have our hands and stones"
- Winnie Mandela

From the movie Mandela Long walk to the freedom
 
2350hrs

Mandela ametufundisha nguvu ya kusamehe, pamoja na kufungwa kwa 27 na makaburu,alisema amewasamehe,kwahiyo hata watu wake wasamehe pia

Alisema Chuki ya race kati ya black na white people itawaletea ugonjwa ambao utatawala kizazi baada ya kozazi

Mandela anastahili heshima yake,alichugua msamaha dhidi ya chuki
 
Back
Top Bottom